Waziri Hamza ni mfano wa kifaranga tu, Sasa tunaomba mtetea ajitokeze mwenyewe

Waziri Hamza ni mfano wa kifaranga tu, Sasa tunaomba mtetea ajitokeze mwenyewe

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Zanzibar Kuna Waziri anaitwa Hamza, hakuna anayemjua hasa bara, ametumwa ajenda ya kutikisa Muungano. Anatoa maneno ya chokochoko ili kutibua maji ya kisima...
Au ametumwa na zitto kabwe

USSR
 
Zanzibar Kuna Waziri anaitwa Hamza, hakuna anayemjua hasa bara, ametumwa ajenda ya kutikisa Muungano. Anatoa maneno ya chokochoko ili kutibua maji ya kisima...
Video clip tafadhali
 
Zanzibar Kuna Waziri anaitwa Hamza, hakuna anayemjua hasa bara, ametumwa ajenda ya kutikisa Muungano. Anatoa maneno ya chokochoko ili kutibua maji ya kisima.....

Namshauri aliyemtuma ajitokeze, kwa kuwa anafahamika vizuri. Waziri Hamza ni kifaranga tu, na mama yake (mama kuku) ndiye aliyempa hadhi ya kuongea kwa cheo hicho. Bila cheo hicho asingeongea
Safi sana Hamza shikilia hapohapo hadi tuone nyeti za kuku!
 
Zanzibar Kuna Waziri anaitwa Hamza, hakuna anayemjua hasa bara, ametumwa ajenda ya kutikisa Muungano. Anatoa maneno ya chokochoko ili kutibua maji ya kisima...
Wastaarabu hatuchukii majadiliano....

Ila kweli mh.Hamza yaani tugawe nusu kwa nusu baada ya matumizi ya SMT?!!!
Hesabu gani hizi akhy?!!![emoji849][emoji849]

Tanganyika haipo.....ama unataka kuifufua kutoka huko kaburini?!!!

Zanzibar ni ndogo..raia wachache...inakuwaje ugawane nusu kwa nusu?!!! seriously?!!!
 
Mh.Hamza asisahau kuwa changamoto zipo na zinaendelea kwa raia walioko bara na visiwani.....

Anachokiongea anajichanganya tu.....

Inawezekana kwake fursa ya uhuru wa raia wa muungano hazioni ama amevaa "miwani ya bati"?!!!!

Fursa ziko nyingi.....hii ni zaidi ya hayo mapato asemayo ?!!!!

Kwa hali zipi bora sana walizonazo raia wa bara ipelekee mapato yagawanywe nusu kwa nusu ?!!!!

Amesahau kuwa raia wa Zanzibar walioko bara ni wengi zaidi ya walioko huko visiwani?!!!

Hili halioni?!!
Hili halielewi?!!!

#MuunganoWetuNiWaKipekee[emoji120]
#NaUpekeeWakeNdioUboraWenyewe[emoji120]

#SiempreJMT[emoji120]
 
Hamza kweli katumwa, sbb mambo ya Muungano tokea lini tena Waziri anabwatuka bwatuka, sijawahi ona hii tabia, isije kuwa Hamza ndio kama alivyokuwaga Musiba enzi ya JPM..!!
 
Anataka Muungano wa usawa kati ya watu milioni 50 dhidi ya watu milioni 1!! Si wajitenge tu. Maana hata faida yao kwa Tanganyika siioni.
Nchi aiangaliwi au kuheshimiwa kuringana na idadi ya watu mkuu. Je,mkataba wa kisiasa wa Muungano umelisema ilo kua tuangalie idadi ya watu ndiyo tugawe ayo mapato? Huwezi kua na Muungano alafu hapo hapo kuna upande wenye Rais na upande mwingine hauna Rais.
 
Soma historia hawakuungana Watu bali ziliungana Serikali katika sekta kadhaa tu

Hamza yuko sahihi Watanganyika wengi hawajui historia!
Baba mtumishi hivi kweli asilimia kubwa ya maisha ya watanzania wakiwemo wa visiwani hayazunguki katika yale mambo 22 ya Muungano?!!!

Mh.Hamza anataka nini la ajabu?!!!

Hivi kweli mgawo wa 4.5 ni mdogo sana kwa "udogo wa Zanzibar?!!!

Anatakaje 50% baada ya matumizi ya Muungano?!![emoji849][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Zanzibar Kuna Waziri anaitwa Hamza, hakuna anayemjua hasa bara, ametumwa ajenda ya kutikisa Muungano. Anatoa maneno ya chokochoko ili kutibua maji ya kisima.

Namshauri aliyemtuma ajitokeze, kwa kuwa anafahamika vizuri. Waziri Hamza ni kifaranga tu, na mama yake (mama kuku) ndiye aliyempa hadhi ya kuongea kwa cheo hicho. Bila cheo hicho asingeongea.

---
Pia soma
- Waziri Hamza: Mapato ya Muungano ukitoa matumizi kinachobaki ndio Tugawane Zanzibar na Bara na siyo hii 4.5% tunayopata sasa!
Achana kaz ya wakandarasi... Wapo kazini...
 
Soma historia hawakuungana Watu bali ziliungana Serikali katika sekta kadhaa tu

Hamza yuko sahihi Watanganyika wengi hawajui historia!
Sasa unataka nisome historia ya kitu gani, na wakati hata huo muungano wenyewe nauona ni wa kidwanzi tu!
 
Baba mtumishi hivi kweli asilimia kubwa ya maisha ya watanzania wakiwemo wa visiwani hayazunguki katika yale mambo 22 ya Muungano?!!!

Mh.Hamza anataka nini la ajabu?!!!

Hivi kweli mgawo wa 4.5 ni mdogo sana kwa "udogo wa Zanzibar?!!!

Anatakaje 50% baada ya matumizi ya Muungano?!![emoji849][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe unayajua matumizi ya Muungano?
 
Safi sana Hamza shikilia hapohapo hadi tuone nyeti za kuku!
Hajaanza leo....

Mh.Hamza ni mtu "smart" na mzalendo ila kwa hili....hebu ajaribu kuweka hisia pembeni.....

Maisha ya watanzania kwa umoja wao yanazunguka sana katika hayo mambo "22 ya Muungano"....inakuwaje kwa uchache wa wazanzibari tutoke kutoka 4.5% twende 50/50?!!!!
 
Back
Top Bottom