Waziri Innocent Bashungwa amwakilisha Rais kwenye kumbukumbu ya Hayati Dkt. Magufuli

Waziri Innocent Bashungwa amwakilisha Rais kwenye kumbukumbu ya Hayati Dkt. Magufuli

Shakari

Senior Member
Joined
Jul 6, 2022
Posts
188
Reaction score
570
Waziri wa Ulinzi, Innocent Bashungwa amemwakilisha Rais Samia Suhulu Hassan kwenye misa ya kumuombea Hayati Dk. John Pombe Joseph Magufuli leo Machi 17 2023 nyumbani kwa Hayati Magufuli Chato mkoa wa Geita.

Nanukuu
"Nimepata heshima ya kumuwakilisha mhe. Rais wetu Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye misa ya kumuombea mzee wetu mpendwa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, leo Machi 17 ambapo ni miaka miwili tangu ameitwa na Mwenyezi Mungu. Endelea kupumzika kwa amani uncle JPM"
 
Mwakani atatumwa DC. 2025 Mtendaji wa kata.
IMG_20230313_032911.jpg
 
Eti "Uncle JPM".[emoji23][emoji23][emoji23]

Tanzania ukute huko mbinguni ni "Chanel Ya Komedy (Ze Komedy Show)", malaika wanatuangalia na kucheka tu![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Baba yake Inno na magufuli walisoma pamoja, lakini mama yake inno ni msukuma wa ukoo wa akina magufuli, na inno alikua anamwita uncle kiukoo hivo hakuna kitu kakosea labda wewe usiyewajua hao ndio utashangaa
 
Baba yake Inno na magufuli walisoma pamoja, lakini mama yake inno ni msukuma wa ukoo wa akina magufuli, na inno alikua anamwita uncle kiukoo hivo hakuna kitu kakosea labda wewe usiyewajua hao ndio utashangaa
Unaanzaje kuingiza undugu kwenye kazi ya kiserikali?

Huyo katumwa kiserikali kwenda kumwakilisha Rais Samia au kaenda kindugu?. Chizi wewe!
 
Back
Top Bottom