Waziri January Makamba hana msaada wowote kwenye Wizara ya Nishati. Tumechoka!

Waziri January Makamba hana msaada wowote kwenye Wizara ya Nishati. Tumechoka!

Watanzania kwa Sasa wanaabudu umeme siyo vizuri kabisa kwa maisha ya binadamu Taifa limekuwa la Walanguzi Kila kitu ni shida Watanzania wapole mpaka wamekuwa mazuzu, leo mtu kafungua ofisi lakini hafanyi kazi sababu ya umeme na ukimuuliza waziri wa umeme Nani anakujibu sijui...
Daah!! Kama mim wik iliyoisha mpaka nliamua kuisusa office , maana unatumia chombo cha Moto kwenda ofisini, unaweka mafuta ( mafuta yenyewe bei ghari), unaingia ofisin hakuna umeme, unabaki kupiga stor zen unageuka home, kesho yake hvyo hvyo, Yan ni Hasara tupu, nikaona isiwe tabu office pga chini!!
 
Watanzania kwa Sasa wanaabudu umeme siyo vizuri kabisa kwa maisha ya binadamu Taifa limekuwa la Walanguzi Kila kitu ni shida Watanzania wapole mpaka wamekuwa mazuzu, leo mtu kafungua ofisi lakini hafanyi kazi sababu ya umeme na ukimuuliza waziri wa umeme Nani anakujibu sijui...
Ni shidaaa sana,yani kama una kiofisi kama ki stationary au cha kuuza bizaa za kutegemea umeme na hauna Mbadala wake,imekula kwako
 
Itoshe tu kusema kwa sasa hatuoni faida yoyote ya waziri wa nishati, huduma mbovu na za hovyo za sasa kwa mara ya mwisho tuliziona miaka ya 2012 huko

Hapa nilipo mpaka sasa hakuna umeme tangu saa mbili asubuhi sasa hivi inaelekea saa 12 jioni hakuna umeme,

Mnategemea sisi wananchi tutafanyaje uzalishaji?

Watu wana mitambo ya tofali wengine welding watu wana stationary na vengine vingi siku nzima umeme hakuna mnataka tuishije? na hiii sio mara ya kwanza ni mazoea sasa

Sasa hivi imezoeleka mtu ibapita siku nzima hujazalisha hata shilingi mia sababu ya umeme,

Mbona kama mnatulazimisha tumkumbuke Magufuli?

Tukiongea mnasema watanzania wamezoea kulalamika mbona hatuambiwi sababu ni nini ya mgao wa umeme?

Mi naomba niulize hivi huu mgao wa umeme ulikuwa umesubiri kalemani atoke ndio uanze?

Tunajuta ni bora hata angebaki Medard Kalemani

Makamba hamna kitu kabisa

CCM sio wa kuendekeza tena, tumechoka tumechoka
Inauma sana. Kweli uzalishaji umesimama kabisa. And Wengi sisi shughuli zetu ndio hizi Uki show up ndio watoto wale. Hand to Mouth kinda of economy. Ewe Mh. fanya hima tuondolee hili tatizo
 
tanesco inakwama wapi ? Mbona kuna ruzuku ( mtaji) kuna mainjinia , madokta , maprofesa nk nini imeshindikana?
 
Itoshe tu kusema kwa sasa hatuoni faida yoyote ya waziri wa nishati, huduma mbovu na za hovyo za sasa kwa mara ya mwisho tuliziona miaka ya 2012 huko

Hapa nilipo mpaka sasa hakuna umeme tangu saa mbili asubuhi sasa hivi inaelekea saa 12 jioni hakuna umeme,

Mnategemea sisi wananchi tutafanyaje uzalishaji?

Watu wana mitambo ya tofali wengine welding watu wana stationary na vengine vingi siku nzima umeme hakuna mnataka tuishije? na hiii sio mara ya kwanza ni mazoea sasa

Sasa hivi imezoeleka mtu ibapita siku nzima hujazalisha hata shilingi mia sababu ya umeme,

Mbona kama mnatulazimisha tumkumbuke Magufuli?

Tukiongea mnasema watanzania wamezoea kulalamika mbona hatuambiwi sababu ni nini ya mgao wa umeme?

Mi naomba niulize hivi huu mgao wa umeme ulikuwa umesubiri kalemani atoke ndio uanze?

Tunajuta ni bora hata angebaki Medard Kalemani

Makamba hamna kitu kabisa

CCM sio wa kuendekeza tena, tumechoka tumechoka
Tulia sindano iingie.
 
Watu mmelipwa kiasi gani kumchafua?
Hapana sio kulipwa mkuu... umeme unakatika sana na hii ni toka Makamba awe waziri wa hiyo wizara.
Anatufelisha sana sisi wengine bila umeme hatupati ridhiki.
 
Daah!! Kama mim wik iliyoisha mpaka nliamua kuisusa office , maana unatumia chombo cha Moto kwenda ofisini, unaweka mafuta ( mafuta yenyewe bei ghari), unaingia ofisin hakuna umeme, unabaki kupiga stor zen unageuka home, kesho yake hvyo hvyo, Yan ni Hasara tupu, nikaona isiwe tabu office pga chini!!
Ndiyo umejua Magufuli alikuwa anafanya kwa ajili yako?
 
Hiyo maintenance inachukua muda gani? na mitambo yote inafanyiwa kwa wakati mmoja? naona kuna michezo michafu hapa na waziri hajitambui, nchi iko gizani ila kila siku waziri yuko safarini na kutoa visingizio kibao visivyoeleweka, usiamini mswahili
 
Itoshe tu kusema kwa sasa hatuoni faida yoyote ya waziri wa nishati, huduma mbovu na za hovyo za sasa kwa mara ya mwisho tuliziona miaka ya 2012 huko

Hapa nilipo mpaka sasa hakuna umeme tangu saa mbili asubuhi sasa hivi inaelekea saa 12 jioni hakuna umeme,

Mnategemea sisi wananchi tutafanyaje uzalishaji?

Watu wana mitambo ya tofali wengine welding watu wana stationary na vengine vingi siku nzima umeme hakuna mnataka tuishije? na hiii sio mara ya kwanza ni mazoea sasa

Sasa hivi imezoeleka mtu ibapita siku nzima hujazalisha hata shilingi mia sababu ya umeme,

Mbona kama mnatulazimisha tumkumbuke Magufuli?

Tukiongea mnasema watanzania wamezoea kulalamika mbona hatuambiwi sababu ni nini ya mgao wa umeme?

Mi naomba niulize hivi huu mgao wa umeme ulikuwa umesubiri kalemani atoke ndio uanze?

Tunajuta ni bora hata angebaki Medard Kalemani

Makamba hamna kitu kabisa

CCM sio wa kuendekeza tena, tumechoka tumechoka
Acha upumbavu wewe

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Ndiyo umejua Magufuli alikuwa anafanya kwa ajili yako?
Huo ni wajibu wa kila atakayeitwa Rais , sio tubembeleze nakat kwenye tozo tunakamuliwa kupitiliza!!

Hata leo, umeme haukuwepo mpaka nimeamua niamshe tu, hii ni tabu, balaa na kuingizana Hasara za kipumbavu!!
 
Back
Top Bottom