Waziri Japhet Hasunga: Serikali kuanzisha Mamlaka rasmi itakayosimamia mazao ya mboga na matunda nchini (Horticulture)

Waziri Japhet Hasunga: Serikali kuanzisha Mamlaka rasmi itakayosimamia mazao ya mboga na matunda nchini (Horticulture)

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Waziri wa kilimo Mhe. Japhet Hasunga ameihaidi menejimenti ya Tanzania Horticultural Association (TAHA) ushirikiano katika kukuza tasnia ya horticulture nchini Ahadi hiyo imetolewa na mhe.Hasunga alipotembelea ofisi za makao makuu ya taasisi hiyo zilizoko mkoani Arusha

Akitoa maelezo mafupi kuhusu tasnia hiyo kwa Mhe. Waziri, Afisa Mkuu Mtendaji wa TAHA Dkt. Jacqueline Mkindi amemweleza waziri jitihada zilizofanywa na taasisi hiyo katika kukuza tasnia ya horticulture tangu kuanzishwa kwakwe mwaka 2004. Aidha Dkt. Mkindi amesema kwa miaka yote licha ya jitihada zinazofanywa na TAHA na manufaa zinazoshuhudiwa na wananchi lakini serikali imekuwa na mchango mdogo kwa kutoitambua tasnia hiyo kama sekta rasmi inayoweza kuwezesha upatikanaji wa ajira na kukuza pato la taifa.

Dkt. Mkindi amesema horticulture ndiyo kilimo chenye manufaa kwa sasa duniani kwani mazao yake yanauhitaji mkubwa na soko la uhakika. Akitolea mfano wa zao la parachichi, Dkt. Mkindi amesema zao hilo linahitajika kwenye masoko yote dunia na hasa parachichi kutoka Tanzania Amemwomba waziri kupitia wizara ya kilimo kutoa msaada mkubwa hasa katika kusimamia ushindani wa kibiashara kwa kuzingatia kuwa kuna mataifa yanakuja na mbinu chafu ili kudhoofisha biashara hiyo kwa kutambua kuwa Tanzania itanufaika sana.

Vile vile Dkt. Mkindi amemwomba Mhe.Waziri kusaidia kusukuma uanzishwaji wa mamlaka ya usimamizi wa tasnia ya horticulture ili kuipa nguvu Zaidi katika kuzalisha na kuongeza pato la taifa, kwani haipewi uzito mkubwa kwa sasa kutokana na kukosekana kwa mamlaka husika ya kusimamia tasnia hiyo.

Kwa upande wake Waziri wa kilimo Mhe.Japhet Hasunga, amesema hakuwa na uelewa wa kutosha juu ya tasnia hii hivyo kufanya maamuzi yote kuegemea kwenye takwimu na maelezo kutoka kwa watendaji wa wizara Aidha amesema kwa ufahamu na uelewa alionao juu ya tasnia hiyo atautumia katika kutoa maamuzi yenye tija itakayosukuma mbele kilimo hasa cha horticulture

Mhe.Hasunga amesema kuhusu ombi la Dkt.Mkindi kuhusu usimamizi wa soko la nje na kudhibiti propaganda potofu, amemsema serikali kupitia wizara yake itashughulikia jambo hilo kwa unyeti wake. Hata hivyo amesema serikali inashughulikia taratibu kadhaa ili kuwezesha makubaliano ya pande zote za nchi ili kuwezesha kufunguka kwa masoko yatakayofanikisha biashara ya mazao ya horticulture nchini.

Akitolea mfano wa soko la Uchina na Arabuni ambayo amesema serikali na makubaliano ya awali(memorandum of understanding) ambayo inahitaji kutimiza baadhi ya masharti machache na maelekezo kadhaa ili kuifanya itumike Mwisho waziri Hassunga ameiomba TAHA kushirikiana na serikali kikamilifu katika kutoa mwongozo na ushauri wa kitaalum kwa kuzingatia kuwa asasi hiyo ndiyo yenye uzoefu na sekta, hivyo kuwezesha sera mpya kutoa dira thabiti kwa ajili ya ustawi wa kilimo hicho nchini.
DSC_0987.jpg
Waziri wa kilimo Mhe. Japhet Hasunga akilakiwa na Afisa Mkuu Mtendaji wa TAHA Dkt. Jacqueline Mkindi

DSC_1087.jpg
Afisa Mkuu Mtendaji wa TAHA Dkt. Jacqueline Mkindi akimkaribishaWaziri wa kilimo Mhe. Japhet Hasunga

DSC_1177.jpg
Waziri wa kilimo Mhe. Japhet Hasunga akiongea
DSC_1343.jpg

Waziri wa kilimo Mhe. Japhet Hasunga akisindikizwa na Afisa Mkuu Mtendaji wa TAHA Dkt. Jacqueline Mkindi

Kilimo cha mbogamboga ( horticulture ), hiki ni kilimo ambacho ni cha muda mfupi ambacho ni bora zaidi kukitumia ili kujaribu kuepukana na umaskini. Kilimo cha mbogamboga ni bora zaidi sababu asilimia 95% duniani hutumia mboga na matunda ili kujenga mwili na kuutia mwili joto .

Kujua zaidi juu ya Kilimo hiki, soma;

Kilimo cha mboga mboga Tanzania/ horticulture, Jinsi ya kuandaa shamba,palizi na kuvuna
 
Kama ww ni mkulima kisha ukaitegemea serikali kupiga hatua ni kupoteza muda. Huyo waziri hayo aliyosema ni kama zile ahadi ambazo watu hutoa msibani kutokana na hisia, ila baada ya msiba kupita na hisia kushuka, hakuna mtoa ahadi hata mmoja hutekeleza alichoahidi. Nina uzoefu na hizo porojo za serikali hususan kwenye sekta ya kilimo.
 
Waziri wa kilimo Mhe. Japhet Hasunga ameihaidi menejimenti ya Tanzania Horticultural Association (TAHA) ushirikiano katika kukuza tasnia ya horticulture nchini Ahadi hiyo imetolewa na mhe.Hasunga alipotembelea ofisi za makao makuu ya taasisi hiyo zilizoko mkoani Arusha

Akitoa maelezo mafupi kuhusu tasnia hiyo kwa Mhe. Waziri, Afisa Mkuu Mtendaji wa TAHA Dkt. Jacqueline Mkindi amemweleza waziri jitihada zilizofanywa na taasisi hiyo katika kukuza tasnia ya horticulture tangu kuanzishwa kwakwe mwaka 2004. Aidha Dkt. Mkindi amesema kwa miaka yote licha ya jitihada zinazofanywa na TAHA na manufaa zinazoshuhudiwa na wananchi lakini serikali imekuwa na mchango mdogo kwa kutoitambua tasnia hiyo kama sekta rasmi inayoweza kuwezesha upatikanaji wa ajira na kukuza pato la taifa.

Dkt. Mkindi amesema horticulture ndiyo kilimo chenye manufaa kwa sasa duniani kwani mazao yake yanauhitaji mkubwa na soko la uhakika. Akitolea mfano wa zao la parachichi, Dkt. Mkindi amesema zao hilo linahitajika kwenye masoko yote dunia na hasa parachichi kutoka Tanzania Amemwomba waziri kupitia wizara ya kilimo kutoa msaada mkubwa hasa katika kusimamia ushindani wa kibiashara kwa kuzingatia kuwa kuna mataifa yanakuja na mbinu chafu ili kudhoofisha biashara hiyo kwa kutambua kuwa Tanzania itanufaika sana.

Vile vile Dkt. Mkindi amemwomba Mhe.Waziri kusaidia kusukuma uanzishwaji wa mamlaka ya usimamizi wa tasnia ya horticulture ili kuipa nguvu Zaidi katika kuzalisha na kuongeza pato la taifa, kwani haipewi uzito mkubwa kwa sasa kutokana na kukosekana kwa mamlaka husika ya kusimamia tasnia hiyo.

Kwa upande wake Waziri wa kilimo Mhe.Japhet Hasunga, amesema hakuwa na uelewa wa kutosha juu ya tasnia hii hivyo kufanya maamuzi yote kuegemea kwenye takwimu na maelezo kutoka kwa watendaji wa wizara Aidha amesema kwa ufahamu na uelewa alionao juu ya tasnia hiyo atautumia katika kutoa maamuzi yenye tija itakayosukuma mbele kilimo hasa cha horticulture

Mhe.Hasunga amesema kuhusu ombi la Dkt.Mkindi kuhusu usimamizi wa soko la nje na kudhibiti propaganda potofu, amemsema serikali kupitia wizara yake itashughulikia jambo hilo kwa unyeti wake. Hata hivyo amesema serikali inashughulikia taratibu kadhaa ili kuwezesha makubaliano ya pande zote za nchi ili kuwezesha kufunguka kwa masoko yatakayofanikisha biashara ya mazao ya horticulture nchini.

Akitolea mfano wa soko la Uchina na Arabuni ambayo amesema serikali na makubaliano ya awali(memorandum of understanding) ambayo inahitaji kutimiza baadhi ya masharti machache na maelekezo kadhaa ili kuifanya itumike Mwisho waziri Hassunga ameiomba TAHA kushirikiana na serikali kikamilifu katika kutoa mwongozo na ushauri wa kitaalum kwa kuzingatia kuwa asasi hiyo ndiyo yenye uzoefu na sekta, hivyo kuwezesha sera mpya kutoa dira thabiti kwa ajili ya ustawi wa kilimo hicho nchini.
DSC_0987.jpg
Waziri wa kilimo Mhe. Japhet Hasunga akilakiwa na Afisa Mkuu Mtendaji wa TAHA Dkt. Jacqueline Mkindi

DSC_1087.jpg
Afisa Mkuu Mtendaji wa TAHA Dkt. Jacqueline Mkindi akimkaribishaWaziri wa kilimo Mhe. Japhet Hasunga

DSC_1177.jpg
Waziri wa kilimo Mhe. Japhet Hasunga akiongea
DSC_1343.jpg

Waziri wa kilimo Mhe. Japhet Hasunga akisindikizwa na Afisa Mkuu Mtendaji wa TAHA Dkt. Jacqueline Mkindi

Kilimo cha mbogamboga ( horticulture ), hiki ni kilimo ambacho ni cha muda mfupi ambacho ni bora zaidi kukitumia ili kujaribu kuepukana na umaskini. Kilimo cha mbogamboga ni bora zaidi sababu asilimia 95% duniani hutumia mboga na matunda ili kujenga mwili na kuutia mwili joto .

Kujua zaidi juu ya Kilimo hiki, soma;

Kilimo cha mboga mboga Tanzania/ horticulture, Jinsi ya kuandaa shamba,palizi na kuvuna
Ya korosho yanataka kujirudia kwenye mazao ya mbogamboga
 
Hii ni habari njema.
P
Lakini Pascal kuna ujinga flan kwenye hii nchi. Kila zao lililoanzishiwa board au mamlaka basi zao hilo limeishia pabaya sana. Mfano:
1. Board ya Korosho hamna inachofanya kwenye korosho zaidi ya wizi, ufisadi na kulipana posho.

2. Bodi ya kahawa ni hivyo hivyo
3. Boadi ya pamba ni hivyo hivyo
4. Bodi ya katani ni hivyo hivyo
5. Bodi ya tumbaku ni hivyo hivyo
6. Bodi ya chai

Kimsingi bodi zote za mazao zimekuwa sehemu ya kuhalalisha dhuluma dhidi ya wakulima masikini ambao hata kwenye hizo bodi huwa hawana nafasi ya kuwakilishwa na kusikilizwa kero zao.

Sijui hii ya "hortculture" sababu ina wadau wengi ngozi nyeupe hawatakubali ujinga.

Mi nataka kusema zao lolote likianzishiwa bodi nchini ndiyo linakuwa limeanza safari yake ya kuzimu.

Bora mazao yawe huru bila bodi. Mbona hawanzishi bodi ya mahindi, au ulezi au ndizi au mchele? Hayo yote tunaexport.

Nasubiri wakiona wakulima wa maparachichi tunamake sana hela watatuanzishia bodi ya maparachichi
 
Lakini Pascal kuna ujinga flan kwenye hii nchi. Kila zao lililoanzishiwa board au mamlaka basi zao hilo limeishia pabaya sana. Mfano:
1. Board ya Korosho hamna inachofanya kwenye korosho zaidi ya wizi, ufisadi na kulipana posho.

2. Bodi ya kahawa ni hivyo hivyo
3. Boadi ya pamba ni hivyo hivyo
4. Bodi ya katani ni hivyo hivyo
5. Bodi ya tumbaku ni hivyo hivyo
6. Bodi ya chai

Kimsingi bodi zote za mazao zimekuwa sehemu ya kuhalalisha dhuluma dhidi ya wakulima masikini ambao hata kwenye hizo bodi huwa hawana nafasi ya kuwakilishwa na kusikilizwa kero zao.

Sijui hii ya "hortculture" sababu ina wadau wengi ngozi nyeupe hawatakubali ujinga.

Mi nataka kusema zao lolote likianzishiwa bodi nchini ndiye linakuwa limeanza safari yake ya kuzimu.

Bora mazao yawe huri bila bodi. Mbona hawanzishi bodi ya mahindi, au ulezi au ndizi au mchele? Hayo yote tunaexport.

Nasubiri wakiona wakulima wa maparachichi tunamake sana hela watatuanzishia bodi ya maparachichi
100% correct.

Labda wabadilike.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini Pascal kuna ujinga flan kwenye hii nchi. Kila zao lililoanzishiwa board au mamlaka basi zao hilo limeishia pabaya sana. Mfano:
1. Board ya Korosho hamna inachofanya kwenye korosho zaidi ya wizi, ufisadi na kulipana posho.

2. Bodi ya kahawa ni hivyo hivyo
3. Boadi ya pamba ni hivyo hivyo
4. Bodi ya katani ni hivyo hivyo
5. Bodi ya tumbaku ni hivyo hivyo
6. Bodi ya chai

Kimsingi bodi zote za mazao zimekuwa sehemu ya kuhalalisha dhuluma dhidi ya wakulima masikini ambao hata kwenye hizo bodi huwa hawana nafasi ya kuwakilishwa na kusikilizwa kero zao.

Sijui hii ya "hortculture" sababu ina wadau wengi ngozi nyeupe hawatakubali ujinga.

Mi nataka kusema zao lolote likianzishiwa bodi nchini ndiye linakuwa limeanza safari yake ya kuzimu.

Bora mazao yawe huri bila bodi. Mbona hawanzishi bodi ya mahindi, au ulezi au ndizi au mchele? Hayo yote tunaexport.

Nasubiri wakiona wakulima wa maparachichi tunamake sana hela watatuanzishia bodi ya maparachichi

Hizo bodi karibia zote huwa zinaundwa na watu wenye mitazamo ya kijamaa, hakuna hata mmoja mwenye mtazamo wa kukuza zao husika, zaidi ya kutunga sheria na kanuni za kikiritimba, na sehemu ya kutokea kimaisha. Kisha ukichanganya na sera dhaifu za kilimo, unakuta mazao husika yainshia kudorora, huku viongozi wa bodi wakiwa sehemu ya waongoza dhuluma kwa wakulima wa zao husika. Katika mazingira hayo, mazao mengi yaliyo chini ya bodi mbalimbali huishia kudorora na hata kufa kabisa.
 
Kuna mtu anaweza hapa Ku list
Bodi zote za mazao?
Na mamlaka zote za vyakula na mazao?
 
Mimi nimemuelewa saaaana Dr. Jacky. Sijui nyie!
 
Kwa wakulima tulishazoea maneno mazuri ya majukwaani...na makabrasha ya kuchukulia posho...
Mapinduzi ya kijani..
Green revolution...
Big Results Now...
Kilimo na Viwanda
...blah blah blah..serikali ina mipango haina utekelezaji..kila siku inajipanga

Hawajaanza kuongea leo...

Horticulture kwa Tz ina changamoto nyingi kwenye exporters...wenzetu wa Kenya najisikia vibaya kulisema ila at least serikali yao kimtindo inawa feel..

Everyday is Saturday...................... 😎
 
Kwa wakulima tulishazoea maneno mazuri ya majukwaani...na makabrasha ya kuchukulia posho...
Mapinduzi ya kijani..
Green revolution...
Big Results Now...
Kilimo na Viwanda
...blah blah blah..serikali ina mipango haina utekelezaji..kila siku inajipanga

Hawajaanza kuongea leo...

Horticulture kwa Tz ina changamoto nyingi kwenye exporters...wenzetu wa Kenya najisikia vibaya kulisema ila at least serikali yao kimtindo inawa feel..

Everyday is Saturday...................... 😎
 
Hoja ya kuanzisha mamlaka ya horticulture (Horticultural authority) ni jema sana na laweza kuwa jema sana.

Suala na watu gani wataunda bodi na wana ufahamu kiasi gani wa biashara ya horticulture kimataifa ili kuhimiza uzalishaji wa wingi na ubora kukidhi mahitaji ya soko.

Kuna wakati bodi zimekuwa ni za wastaafu na ni kama eneo la kupumzika, wakati kwa wenzetu, bodi inakuwa ni think-tank ili kutoa mwelekeo wa taasisi.

Nitoe mfano wa bodi moja wapo iliyofeli mpaka ikavunjwa. Bodi ya korosho chini ya mama Anna Abdalla. Nadhani kwa umri wake na background ya Mama Abdala ilikuwa lazima afeli.

Kwasasa korosho iko chini ya bodi ya mazao mchanganyiko; bado sijaona tija kwenye kuhimiza mkakati wa muda mfupi na muda wa kati wa processing ya mazao mchanganyiko ikiwamo korosho unafanyikia ndani ili tuuze finished and packaged products.

Naomba ku-declaire interest, we have many educated people in Tanzania hasa wizarani, ila we have very very few who knows hows the business works; ndiyo maana sasa ni miaka 5 almost inaisha, we are experiencing very very few outcomes kwenye kuviwandisha products za kilimo. Kama huku kwingine hakufanyi vizuri, Waziri Hasunga atatumia mbinu gani ili Horticultural Authority iweze kubamba.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hoja ya kuanzisha mamlaka ya horticulture (Horticultural authority) ni jema sana na laweza kuwa jema sana.

Suala na watu gani wataunda bodi na wana ufahamu kiasi gani wa biashara ya horticulture kimataifa ili kuhimiza uzalishaji wa wingi na ubora kukidhi mahitaji ya soko.

Kuna wakati bodi zimekuwa ni za wastaafu na ni kama eneo la kupumzika, wakati kwa wenzetu, bodi inakuwa ni think-tank ili kutoa mwelekeo wa taasisi.

Nitoe mfano wa bodi moja wapo iliyofeli mpaka ikavunjwa. Bodi ya korosho chini ya mama Anna Abdalla. Nadhani kwa umri wake na background ya Mama Abdala ilikuwa lazima afeli.

Kwasasa korosho iko chini ya bodi ya mazao mchanganyiko; bado sijaona tija kwenye kuhimiza mkakati wa muda mfupi na muda wa kati wa processing ya mazao mchanganyiko ikiwamo korosho unafanyikia ndani ili tuuze finished and packaged products.

Naomba ku-declaire interest, we have many educated people in Tanzania hasa wizarani, ila we have very very few who knows hows the business works; ndiyo maana sasa ni miaka 5 almost inaisha, we are experiencing very very few outcomes kwenye kuviwandisha products za kilimo. Kama huku kwingine hakufanyi vizuri, Waziri Hasunga atatumia mbinu gani ili Horticultural Authority iweze kubamba.



Sent using Jamii Forums mobile app
Nakazia yaani wastaafu wa chamadola wanarejeshewa fadhila kwa kupewa bodi ambazo hawazielewi wao bora posho...

Pia wataalamu wasomi wizarani ni wapo kitheory zaidi, hawaendi shambani, hawakai wakafanya kazi na wakulima mfano tokea nyanya inawekwa kitaluni mpaka kuvunwa...

Wanafanya visit 1-2, kishachukua posho..inatosha, hakuna mtu anavalia njuga jambo kuona linafanikiwa from initiation to completion, hii inaonyesha hakuna scorecard, hakuna performance indicators, hakuna targets, watu wapo bora liende...mtu anawaza aandike proposal apige hela, siyo aione project ikifanikiwa...

Everyday is Saturday........................😎
 
Nakazia yaani wastaafu wa chamadola wanarejeshewa fadhila kwa kupewa bodi ambazo hawazielewi wao bora posho...

Pia wataalamu wasomi wizarani ni wapo kitheory zaidi, hawaendi shambani, hawakai wakafanya kazi na wakulima mfano tokea nyanya inawekwa kitaluni mpaka kuvunwa...

Wanafanya visit 1-2, kishachukua posho..inatosha, hakuna mtu anavalia njuga jambo kuona linafanikiwa from initiation to completion, hii inaonyesha hakuna scorecard, hakuna performance indicators, hakuna targets, watu wapo bora liende...mtu anawaza aandike proposal apige hela, siyo aione project ikifanikiwa...

Everyday is Saturday........................😎
Sio sawa kuwalaumu CCM kwa kila jambo kwa kuwa wao ndiyo wanashika dola.

Ni muda umefika, tujikite kwenye issues na kuleta solutions.
Mathalani, tufanye nini ili kupata watu ambao wanaweza kusimia menejiment za mazao mbalimbali kubiashara.
Hapa ndipo tunatendea haki bongo zetu.

Katika hili; Waziri Hasunga kama inawezekana afungue milango ya kukutana na wadau ambao watampa business models ambazo zishakuwa tested sehemu nyingine duniani, na namna gani such model inaweza kuwa customized kukidhi uhitaji wa soko la ndani na nje hali kadhalika mnyororo wa thamani unajikita kwenye kuhakikisha fedha za mauzo zinarejea ndani.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio sawa kuwalaumu CCM kwa kila jambo kwa kuwa wao ndiyo wanashika dola.

Ni muda umefika, tujikite kwenye issues na kuleta solutions.
Mathalani, tufanye nini ili kupata watu ambao wanaweza kusimia menejiment za mazao mbalimbali kubiashara.
Hapa ndipo tunatendea haki bongo zetu.

Katika hili; Waziri Hasunga kama inawezekana afungue milango ya kukutana na wadau ambao watampa business models ambazo zishakuwa tested sehemu nyingine duniani, na namna gani such model inaweza kuwa customized kukidhi uhitaji wa soko la ndani na nje hali kadhalika mnyororo wa thamani unajikita kwenye kuhakikisha fedha za mauzo zinarejea ndani.



Sent using Jamii Forums mobile app
Waziri analinda ugali wake....
Kwa nchi hii huo ndiyo uhalisia...
Wapi Bashe na mapointi kedekede akiwa mbunge,kabla ya kuwa Naibu waziri??
Leo hii anajibu kama aliokuwa anawapinga yale yale, serikali inalifanyia kazi, inaanda mpango kabambe, pamoja na changamoto, imeshashirikisha wadau...blah blah blah...

Nani alitegemea Bashe atapoa?? Ilitegemewa kweli angeleta mapinduzi...
Ifike mahali hivi positions zisiwe za kisiasa.

Everyday is Saturday................... 😎
 
Eleza mafanikio ya Bodi ya Pamba au Tumbaku au Chai au katani. Hizi Body kwa sasa hazina maana tena make ni kwa ajili ya Ujamaa sana
Hoja ya kuanzisha mamlaka ya horticulture (Horticultural authority) ni jema sana na laweza kuwa jema sana.

Suala na watu gani wataunda bodi na wana ufahamu kiasi gani wa biashara ya horticulture kimataifa ili kuhimiza uzalishaji wa wingi na ubora kukidhi mahitaji ya soko.

Kuna wakati bodi zimekuwa ni za wastaafu na ni kama eneo la kupumzika, wakati kwa wenzetu, bodi inakuwa ni think-tank ili kutoa mwelekeo wa taasisi.

Nitoe mfano wa bodi moja wapo iliyofeli mpaka ikavunjwa. Bodi ya korosho chini ya mama Anna Abdalla. Nadhani kwa umri wake na background ya Mama Abdala ilikuwa lazima afeli.

Kwasasa korosho iko chini ya bodi ya mazao mchanganyiko; bado sijaona tija kwenye kuhimiza mkakati wa muda mfupi na muda wa kati wa processing ya mazao mchanganyiko ikiwamo korosho unafanyikia ndani ili tuuze finished and packaged products.

Naomba ku-declaire interest, we have many educated people in Tanzania hasa wizarani, ila we have very very few who knows hows the business works; ndiyo maana sasa ni miaka 5 almost inaisha, we are experiencing very very few outcomes kwenye kuviwandisha products za kilimo. Kama huku kwingine hakufanyi vizuri, Waziri Hasunga atatumia mbinu gani ili Horticultural Authority iweze kubamba.



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom