MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 5,736
- 18,648
Jingalao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni pwani tu na ndio shows zao mara nyingi hufanya hukohuko.kwa sasa sio pwani tu
Hamna burudani humohujatembea hujui burudani
Sawa mkuu, enjoy ngoma zenu hizokwa asiyeijua burudani atasema hivyo...
Mnataka kutengeneza uchochoro wa kuzipiga kodi zetu, tunataka maji safi na salama mbona hamsikii watu nyie!Baada ya kutambua rasmi juhudi zao za kuitangaza Tanzania kimataifa nje ya mfumo rasmi.
Wakati umefika kutambua utamaduni huu usioyumbishwa na muda au kebehi za wasiojiamini na kuamini katika singeli/ mchiriku/ mnanda .
Wekeni fedha vijana waliojiajiri katika hii entarnmeint industry yenye kuinfluence culture ya kipekee.
Watanzania wengi hawana access ya furaha ya kimuziki yenye kimarekani bali SINGELI za uswazi zinazotaja maisha yao halisia.
Tuwape fursa vijana kwani wapo na wameshaonesha nia.
Rock n Roll ni music wenye maneno ya kihuni lakini kuna ujumbe mkubwa nyuma yake ....hii ni alama ya muziki kule marekani
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Tunataka maji hatutaki viuno vya singeli, unataka wakopeshwe ili wanunue shanga za kiunoni!Hakuna Sekta ambayo haijapata fedha
Mbezi Mwisho, au haujasikia!Wao wanaimba kiuno unakikata wewe na shanga unaivaa wewe.
upo maeneo gani nikutajie mradi wa maji?