Waziri Kabudi sasa ni wakati wa kuwakopesha wasanii wa Singeli

Mnataka kutengeneza uchochoro wa kuzipiga kodi zetu, tunataka maji safi na salama mbona hamsikii watu nyie!
 
Tunataka maji hatutaki viuno vya singeli, unataka wakopeshwe ili wanunue shanga za kiunoni!
Wao wanaimba kiuno unakikata wewe na shanga unaivaa wewe.
upo maeneo gani nikutajie mradi wa maji?
 
Hakuna cha maana kinachoimbwa kwenye singeli zaidi ya makelele na ujingaujinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…