Waziri Kabudi: Viongozi wa dini ambao hawajasajiliwa na RITA hawataruhusiwa kufungisha ndoa ya aina yoyote

Waziri Kabudi: Viongozi wa dini ambao hawajasajiliwa na RITA hawataruhusiwa kufungisha ndoa ya aina yoyote

SHERIA ILIKUWA HIVYO MIAKA YOTE.
WACHUNGAJI NA MAASKOFU LAZIMA WAWE NA LESENI YA:

1. KUFUNGISHA NDOA
2. KUONGOZA MAZISHI.

SASA HUYU KABUDI NADHANI ANATUKUMBUSHA TU.
Vipi waislamu hawahusiki na sheria hiyo?
 
Back
Top Bottom