Waziri Kabudi: Viongozi wa dini ambao hawajasajiliwa na RITA hawataruhusiwa kufungisha ndoa ya aina yoyote

SHERIA ILIKUWA HIVYO MIAKA YOTE.
WACHUNGAJI NA MAASKOFU LAZIMA WAWE NA LESENI YA:

1. KUFUNGISHA NDOA
2. KUONGOZA MAZISHI.

SASA HUYU KABUDI NADHANI ANATUKUMBUSHA TU.
Vipi waislamu hawahusiki na sheria hiyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…