johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #41
Ameanza na gesi bwashee!Kama anaweza kutoa tamko kama hili na bei ikashuka kwanini asitoe siku nyingine 14 ili bei ya petroli nayo ishuke!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameanza na gesi bwashee!Kama anaweza kutoa tamko kama hili na bei ikashuka kwanini asitoe siku nyingine 14 ili bei ya petroli nayo ishuke!?
Selikali ndiyo ilituambia tuachene na nishati ya kuni kulida misitu yetu na ikapenekeza tutumie nishati mbadala kama ges ambayo ni rahisi na haiharibu mazingira. Ndiyo maana inawatetea wananchi wake bei isipande ovyo ovyo mfanya biashara anapojisikia akufanya atakavyo. Serikiali ndiyo yenye maamuzi ya kupanga bei kama vile inavyotangaza bei ya mafuta kwa sababu haa gesi ni zao la mafuta.Waziri wa nishati Dr Kakemani ameitaka Ewura kuhakikisha bei ya gesi ya majumbani inashuka ndani ya siku 14 kuanzia leo.
Source: ITV habari
MKUU. BAKKama anaweza kutoa tamko kama hili na bei ikashuka kwanini asitoe siku nyingine 14 ili bei ya petroli nayo ishuke!?