Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 24,606
- 39,289
Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani akikagua Miundombinu ya Umeme eneo la Ntyuka Jijini Dodoma 1 Aprili 2021, amewataka Wananchi kutoa taarifa sahihi na mapema pale Umeme unapokatika katika maeneo yao ili TANESCO iweze kuwafikia haraka na kurejesha Umeme mapema.
Waziri Kalemani ameeleza kuwa, hali ya upatikanaji wa Umeme nchini kwa sasa ni shwari na Umeme upo wa kutosheleza mahitaji baada ya kukamilika kwa matengenezo na ukarabati mkubwa wa mitambo mikubwa ya kuzalisha Umeme Nchini.
===
UMEME UKIKATIKA KWENYE ENEO LAKO TOA TAARIFA, MAMENEJA WA WILAYA NTAWASHUSHA WASIPOTIMIZA WAJIBU KWA SIKU 15.
Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani akikagua Miundombinu ya Umeme eneo la Ntyuka Jijini Dodoma 1 Aprili 2021, amewataka Wananchi kutoa taarifa sahihi na mapema pale Umeme unapokatika katika maeneo yao ili TANESCO iweze kuwafikia haraka na kurejesha Umeme mapema.
Waziri Kalemani ameeleza kuwa, hali ya upatikanaji wa Umeme nchini kwa sasa ni shwari na Umeme upo wa kutosheleza mahitaji baada ya kukamilika kwa matengenezo na ukarabati mkubwa wa mitambo mikubwa ya kuzalisha Umeme Nchini.
Waziri Kalemani ameeleza kuwa, hali ya upatikanaji wa Umeme nchini kwa sasa ni shwari na Umeme upo wa kutosheleza mahitaji baada ya kukamilika kwa matengenezo na ukarabati mkubwa wa mitambo mikubwa ya kuzalisha Umeme Nchini.
===
UMEME UKIKATIKA KWENYE ENEO LAKO TOA TAARIFA, MAMENEJA WA WILAYA NTAWASHUSHA WASIPOTIMIZA WAJIBU KWA SIKU 15.
Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani akikagua Miundombinu ya Umeme eneo la Ntyuka Jijini Dodoma 1 Aprili 2021, amewataka Wananchi kutoa taarifa sahihi na mapema pale Umeme unapokatika katika maeneo yao ili TANESCO iweze kuwafikia haraka na kurejesha Umeme mapema.
Waziri Kalemani ameeleza kuwa, hali ya upatikanaji wa Umeme nchini kwa sasa ni shwari na Umeme upo wa kutosheleza mahitaji baada ya kukamilika kwa matengenezo na ukarabati mkubwa wa mitambo mikubwa ya kuzalisha Umeme Nchini.