MR. MORRIS T. J.
JF-Expert Member
- Apr 18, 2013
- 1,167
- 403
ngoja nione michango ya wengine.
Ila huu mkuki ni mkali, hata kama haunichomi mm!
Kasim Majaliwa Amenukuliwa Akisema Kuwa Waalimu Lazima Wakatwe Kila Mwezi Kwenye Mishahara Yao Kwa Ajili Ya Ujenzi Wa Maabara Za Shule, Najiuliza Yeye Anakatwa Ngapi Kuchangia Ujenzi Wa Maabara Hizo? Je Vp Wafanyakazi Wa Kada Zingine Hawana Watoto Hadi Wasikatwe Kwenye Mishahara Yao? Mbona Cwt Imekaa Kimya Ili Hali Waalimu Wanalazimishwa Kuchangia Michango Ya Kinyonyaji Ili Hali Na Kodi Wanakatwa Kwenye Mishahara Yao Kwa Ajili Ya Maendeleo Ya Nchi Ikiwemo Na Ujenzi Wa Maabara Hizo? Je Kwenye Mikataba Ya Ajira Kuna Kifungu Kinachowapa Mamlaka Ya Kuwakata Fedha Hizo Hao Waalimu? CWT MPO WAPI? MBONA MNARUHUSU WAALIMU KUONEWA KIASI HIKI?
mleta mada.
Naomba kaa chini uandike umetulia ukaeleza vizuri zaidi ya hapo juu.
Mfano k.majaliwa amesema wapi, alikuwa anahojiwa na media yoyote, aliongea bar? Hiyo kauli ni azimio la kiakao flani. Je ni tamko la serikali? N.k
na watakatwa asilimia ngapi ya mshahara, na mamlaka hao yametoka wapi? Je walimu wapo tayari? N.k
jumla ya kiasi cha kujenga mahabara kina julikana, watakatwa kwa muda gani?
Mwisho kwanini walimu.
Tafadhali sana rudi ulikopata hilo...... Uje "full nondo"
sp