Waziri Kigwangala ikuingie kichwani kwako, Wanyama, Mbuga hazileti Watalii!

[emoji23][emoji23][emoji23] wewe ni mdau wa sex tourism..
Hahah hizo ndio enjoyment za watasha,sasa sisi tunaanza story zetu ooh maadili ya ki-Tanzania yanapungua sijui nini,sasa tuchague 1 tunataka hela zao kwa kuvumilia tutakayoyaona huko beach au tulinde maadili yetu na tupishane na hela zao.

dodge
 


Huo ni upande mwingine wa Shilingi lkn matatizo mengi unaweza kutatua ukiwa na fedha na hilo ni mojawapo, kama Mabinti wetu wakipata ajira zitakazowalipa vizuri hawawezi kujiuza bali watafanya sex ndiyo lkn kwa hiari, hivyo ni swala la Serikali kuwalinda kwa kuhakikisha kazi watakazopata ziwalipe vizuri.
 
Hahah sisi hawa hawa ambao hali yetu ni tete kila siku tunaomba watoto wetu wasomeshwe shule za elimu bure ndio tukatalii?

Ili tukatalii kwa wingi tunahitaji kua na watu wa middle income wa kutosha (wenye disposable income) sasa sisi kupata mahitaji yetu ya msingi tu ni changamoto, huo utalii tuta ufanya vipi mkuu?
Mbona hapo mnazungumzia Mzungu mzungu... Hamumgusii kabisa mbongo. .. Kwamba sisi ndio hatutaki kutalii.. .

dodge
 


Na hapo ndipo kwa maoni yangu shida ilipo, siyo kweli kwamba Arusha city ndio kitivo cha Utalii Tanzania kwani Watalii wengi wanaokuja TZ hawaji kwa sababu kuna Arusha bali wanakuja kwa sababu kuna Zanzibar, > 60% ya Watalii wanaoingia TZ wanakuja kwa sababu Zanzibar ni sehemu TZ hivyo wanaingia kwenye takwimu za ,, Watalii walioitembelea TZ “ , lkn kama ukiondoa Zanzibar Watalii watapungua kwa > 50%.
 
Siku hizi Holland wameanzisha sex tourism na wanaingiza pesa nyingi Sana, watu wenye hela wanaenda kuwafyatua wanawake wa kiholanzi, na sisi tuanzishe biashara hiyo

[emoji23][emoji23][emoji23]
Ina miaka kibao Mkuu
Red street


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Suala la Utalii ni suala zaidi la nyie Wahusika kujipanga, bila kujali ni kivutio gani kipo nchini kwako.

Mamilioni ya Watu wanatembelea Eiffel Tower (mnara wa Paris) kuliko hata fukwe nyingi maarufu au matamasha maarufu yaliyopo duniani...ni wewe ndio ujiulize kuna nini maalum kwenda kuona Eiffel Tower na si Ngorongoro au Serengeti?

Moja ya mambo wanayozingatia Watalii ni usalama na miundo mbinu, kuanzia usalama wa Mtu kama Mtu na usalama wa eneo husika.

Kwa mfano wakati ule Michael Jackson alikataa kwenda kati ya Ngorongoro au Serengeti sikumbuki vizuri, aliahirisha baada tu ya kuona miundo mbinu sio rafiki na rahisi kwa yeye kufika kule.

Sio vibaya tukawekeza kwenye huo Utalii wa fukwe, matamasha n.k, lakini tusije tukapotezea vile vitu adimu tulivyonavyo...wanasema 'stand out of the crowd' hizo fukwe na matamasha yapo sehemu nyingi, lakini Serengeti, Kilimanjaro, Ngorongoro zipo Tanzania pekee.

Tuwekeze kwenye kusambaza taarifa na kuboresha miundo mbinu, Mtu apate taarifa sahihi na uhakika kwamba akija anapata alichotarajia walau kwa asilimia 80.
 
Unakaa siku ngapi kwa hiyo hela? Mwaka?
 
Sasa beach zetu huku ukikutwa unachakata totozi kwny gari/mchangani police hawa hapa na matochi yao unaanza kumulikwa na pingu juu,huo utalii wa beach utatoka wapi.

Ufuska ufweni ni jinai.

Misri wanaongoza dunia kwa utalii, wana ma beach gani Misri???

We remain an ultra conservative afro-islamo-christian country; sex tourism on the beach is the antithesis of who we are.

Let's keep pushing the envelope of what is possible with the long and iconic list of landmarks we have including the Kilimanjaro, the Serengeti and Oldonyo Lengai, the cradle of mankind, to name but a few.
 
Hahah hizo ndio enjoyment za watasha,sasa sisi tunaanza story zetu ooh maadili ya ki-Tanzania yanapungua sijui nini,sasa tuchague 1 tunataka hela zao kwa kuvumilia tutakayoyaona huko beach au tulinde maadili yetu na tupishane na hela zao.

dodge
Lakini mbona kama unavutia waya upande wako. Jipange tu utimize fantasies zako [emoji23][emoji23]
 
Uko sawa sana mkuu,hata kwenye seminars za mambo ya utalii hua tunaambiwa mtalii analipia 'EXPERIENCE' na sio kitu kingine chochote na msisitizo miaka yote hua unawekwa hapo tu,hivyo vingine ni ziada tu.

dodge
True mkuu, kuna siku nilikuwa naangalia utalii wa south yaani unakuta hata kama ni park bhasi wanaongezea na vitu kadhaa vya kumfanya mtu avutike kukaa zaidi. Hata Kenya the same

Tumekosa tu plan nzuri na rundo la vivutio linazotulemaza
 
Arusha imezungukwa na the BIG FIVE..
kushindwa kuitangaza kama EA tourism gateway ni udhembe wetu binafsi ..

Kushindwa kuitengeneza kuwa mji wa kitalii wenye experience mbalimbali ni uvivu wetu binafsi...

Arusha kuna aina za utalii mwingi na vitu vilivyopo zanzbar ukitoa stone town hata Tanga kwa kiasi flani inaweza kuikalisha vizuri kama nchi ikiamua. Narudia ni udhembe wetu tu
 
Mbona umekwepa kuitaja burigi

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku zote huwa nakupingaga lkn
Sauti ya busara ndiyo tamasha kubwa kuliko yoyote tz.... Na garama ya uandaaji ni kbwa
Mataifa mbalimbali wanakujaga
Wabongo wa nafikiri matamasha makubwa ni fiesta na hiyo ya wasafi kmbe ni vitamasha tu vdg

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Watalii wanakwenda Zanzibar shauri ya fukwe nzuri, ni kama tu Malindi au Lamu.
 


Wanazo nyingi tu jielimishe vizuri!
 
Wizara ya utali naona hawako creative
Wangetumia bagamoyo vizuri kwa mijumba ya kale Ile Pamoja Na fukwe zake!
Ila mawazo Tao yamebakia kwa kuwatumia bongo movie tu

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…