Waziri Kigwangalla aagiza kampuni ya Uwindaji ya OBC ya Loliondo kurudi walikotokea kabla ya Januari 2018

hawa majamaa wanamikataba ya yakutosha tena miaka 99 hyo fidia ya kuwafukuza itakua balaa...mm binafsi nawachukua hawa waarabu lkn tunawafukuzaje wakati tuliwapa mikataba minono tena halali tena mawakili wa serikali ndo wametia sahihi?
 
Mkuu unafaidika nini na utetezi wa hawa mabwana????
 
Amegusa pengine ninasubili salaama yake na kisima cha mafuta uarabun tunarudisha?
 
Nimesoma bila kuamini kuwa Kampuni ilipewa mkataba wa uwindaji kwa miaka 99 tangu 1990. Hii ina maana kuwa mkataba wao utaisha mwaka 2089. Hili ni jambo lisilovumulika na hii inaonyesha kuwa viongozi wetu hawana uchungu na rasilmali ya nchi hii.

Mtu mwenye akili timamu hawezi kutoa uamuzi kama huo. Ni vyema mhusika akakamatwa na kutueleza kuwa kulikuwa na manufaa gani OBC kupewa mkataba wa miaka 99.
 
hawa watu wamepata vibari kutoka kwenye serikali kufukuza tu na wana hati miliki sio kitu kidogo , tunarudi kwenye azimio la Arusha inavyoonekana
kwani azimio lina ubaya gani
 
Hakika jamiiforums imenisaidia na inaendelea kunisaidia.

Inanijuza mambo mengi sana.
Yaani mtu anaingia mkataba wa miaka 99? Ama kweli hii nchi inaliwa na wengine kabisa
Hizi ndo habari zilizochezewa. No such thing as mkataba wa miaka 99. We umeuona huo mkataba?
 
wachambuzi wa jf mna mbwmbwe kwan ukinunua kiwanja hati ni miaka mingapi....unataka niwekeze mabilion yangu af untimue baada ya miezi acheni uzalendo mbwembwe..kikubwa ni je walikua wanalipa kodi stahiki na kufuata sheria za nchi au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…