Waziri Kigwangalla ataka utaratibu wa karantini kwa wageni uondolewe ili kuvutia Watalii

Waziri Kigwangalla ataka utaratibu wa karantini kwa wageni uondolewe ili kuvutia Watalii

Influenza

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2018
Posts
1,509
Reaction score
3,756
Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamis Kigwangalla kupitia twitter ameandika;

Tumeanza kujipanga ndani ya Wizara ili kushawishi serikali yote kukubali namna ya kufungua biashara ya utalii mwezi Juni 2020. Tumefanya utafiti na tathmini (scenario analysis), kuna hatari ya ajira 477,000 kupotea kutokana na hatua mbalimbali zinazochukuliwa na nchi mbalimbali

Kwa kuwa ugonjwa umeishaingia nchini, na kwenye jamii, hai-make sense kuweka masharti magumu kwa watu kuja Tanzania. Tunadhani mkakati wa ‘mandatory quarantine at own cost’ ya siku 14 uondolewe na tuimarishe ‘mandatory mask’ kwa kila mtu, social distancing and hygiene practices.
 
Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamis Kigwangalla kupitia twitter ameandika;

Tumeanza kujipanga ndani ya Wizara ili kushawishi serikali yote kukubali namna ya kufungua biashara ya utalii mwezi Juni 2020. Tumefanya utafiti na tathmini (scenario analysis), kuna hatari ya ajira 477,000 kupotea kutokana na hatua mbalimbali zinazochukuliwa na nchi mbalimbali

Kwa kuwa ugonjwa umeishaingia nchini, na kwenye jamii, hai-make sense kuweka masharti magumu kwa watu kuja Tanzania. Tunadhani mkakati wa ‘mandatory quarantine at own cost’ ya siku 14 uondolewe na tuimarishe ‘mandatory mask’ kwa kila mtu, social distancing and hygiene practices.
Kwahiyo Kigwangalla ameshakata tamaa Corona haitoisha!
 
Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamis Kigwangalla kupitia twitter ameandika;

Tumeanza kujipanga ndani ya Wizara ili kushawishi serikali yote kukubali namna ya kufungua biashara ya utalii mwezi Juni 2020. Tumefanya utafiti na tathmini (scenario analysis), kuna hatari ya ajira 477,000 kupotea kutokana na hatua mbalimbali zinazochukuliwa na nchi mbalimbali

Kwa kuwa ugonjwa umeishaingia nchini, na kwenye jamii, hai-make sense kuweka masharti magumu kwa watu kuja Tanzania. Tunadhani mkakati wa ‘mandatory quarantine at own cost’ ya siku 14 uondolewe na tuimarishe ‘mandatory mask’ kwa kila mtu, social distancing and hygiene practices.

Hii akili au matope anawezaje kuthubutu hivi
 
Ni kweli baada ya Corona watu wengi watakua na hamu ya kutalii na kwenda sehemu mbali mbali kufurahia kuishinda Corona. Ila itakua jambo la ajabu kudhani kua watu ghafla tu watanunua tickets za ndege na kuja Tanzania.

Itachukua mda mpaka pale watakapo kua na uhakika wa usalama wao pindi watakapo kua nchini na kwa kiasi gani tumejiandaa kuwalinda. Sana sana watalii watafanya utalii wa ndani katika nchi zao kama kuona ndugu na rafiki zao ambao hawakupata kuonana kipindi cha hili janga.
 
Waziri nadhani hajajua watalii hasa wazungu wanataka nini
Huwezi kulegeza vigezo vya quarantine wakat watalii wanataka kujua security yao kwanza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom