Waziri Kijaji: Nasubiri ripoti ya Tume inayochunguza upya tukio la Makonda kuvamia Clouds

Waziri Kijaji: Nasubiri ripoti ya Tume inayochunguza upya tukio la Makonda kuvamia Clouds

Mbona waziri kasema jambo nusu nusu.
Tulitaka kujua haya:

1. Hiyo tume iliundwa lini, na nani na inapaswa kukabidhi hiyo ripoti lini? (Kama ni tume ile ile ya wakati ule iliyoundwa na Nape, ilipewa siku saba na ilipaswa kuwa imekabidhi ripoti kipindi kile kile....)

2. Huyu waziri ana mamlaka gani katika kukabiliana suala la Makonda kuvamia Clauds media. (Kwa mfano kama tume itamuona Makonda alikuwa na makosa, waziri atafanya nini?)

3. Kwanini suala lile halikumalizwa kipindi kile kile na badala yake limekaliwa kimya muda wote?
Wote hao blah blah
 
Waache chokochoko za kisiasa.
Kisheria hakuna haja ya ripoti ya uchunguzi.
Clouds ndio mashahidi na Nape.
Wizara ya utamaduni ina ripoti yote.

Lissu nae atakujamfungulia kesi
Hivi hawezi kusimama mtu yoyote nje ya Clouds kufungua kesi ya ile jinai??????
 
Mbona waziri kasema jambo nusu nusu.
Tulitaka kujua haya:

1. Hiyo tume iliundwa lini, na nani na inapaswa kukabidhi hiyo ripoti lini? (Kama ni tume ile ile ya wakati ule iliyoundwa na Nape, ilipewa siku saba na ilipaswa kuwa imekabidhi ripoti kipindi kile kile....)

2. Huyu waziri ana mamlaka gani katika kukabiliana suala la Makonda kuvamia Clauds media. (Kwa mfano kama tume itamuona Makonda alikuwa na makosa, waziri atafanya nini?)

3. Kwanini suala lile halikumalizwa kipindi kile kile na badala yake limekaliwa kimya muda wote?
Kile kipindi alikuwa na cheo cha Amiri kikosi maalumu kwaniaba ya mtwaliwa wake.
Ilikuwa ngumu kumgusa.
 
Makonda aliwai kuwaambia waalimu wakidai nyongeza ya mshahara atawacharaza viboko kama watoto, mbaki na hapo aliwai kusema ofisi yake imejaa wafanyakazi mizigo hawana kazi wanazunguka zunguka tu, , makonda aliku anawakosea sana watu
lakini sawa tu yaliyopita wayaache ashajifunza wamsamehe
Hakuna nafasi ya kumsamehe mtu kama huyu asiye na chembe ya nidhamu.
 
Hakuna mtu anayekula raha kama Mimi.

Ingawa hapa wengi wenu mmenizidi umri Ila nawazidi sana kwa vitu vingi kwahiyo kuweni makini mnaongea na nani
Adabu kwake ni 0
 
Back
Top Bottom