kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Kumbe hukuwepo polesana kwasabaya iliundwa kitendo Cha serikali kusema pisha kiti ufanyike uchunguzi ndomaswala yenyewe ,ugaidi haundiwagi time mzee kabwelaNgoja tuone!
Mbona kwa Sabaya na Mbowe hazikuundwa tume?
Ngoja tuone!
Mbona kwa Sabaya na Mbowe hazikuundwa tume?
Simama hapo hapo!Kumbe hukuwepo polesana kwasabaya iliundwa kitendo Cha serikali kusema pisha kiti ufanyike uchunguzi ndomaswala yenyewe ,ugaidi haundiwagi time mzee kabwela
Hahahaaaa...... Mtu kaingia Mawingu na mitutu unaunda tume ya nini?Huyu ni mtt mpendwa bwashee,c unajua mpk Warioba alikula ngwala kwa kutetea chama chakavu????
Polisi tena,mbona alikuwa nao kwenye uvamizi kisha wakamfanyia sherehe huku polisi wamemnyanyua juujuu akiwa na mguu wa kuku.Studio lete ile pichaNilidhani hilo ni jukumu la polisi siyo tume!
Wote hao blah blahMbona waziri kasema jambo nusu nusu.
Tulitaka kujua haya:
1. Hiyo tume iliundwa lini, na nani na inapaswa kukabidhi hiyo ripoti lini? (Kama ni tume ile ile ya wakati ule iliyoundwa na Nape, ilipewa siku saba na ilipaswa kuwa imekabidhi ripoti kipindi kile kile....)
2. Huyu waziri ana mamlaka gani katika kukabiliana suala la Makonda kuvamia Clauds media. (Kwa mfano kama tume itamuona Makonda alikuwa na makosa, waziri atafanya nini?)
3. Kwanini suala lile halikumalizwa kipindi kile kile na badala yake limekaliwa kimya muda wote?
Tuanzie hapo lkn kwa kuwa sasa Nape yupo ndani hiyo wacha kwanza tuipumzishe ili tumalizane na sukuma gang.Ile ripoti ya Nape ilifanyiwa kazi?
Hivi hawezi kusimama mtu yoyote nje ya Clouds kufungua kesi ya ile jinai??????Waache chokochoko za kisiasa.
Kisheria hakuna haja ya ripoti ya uchunguzi.
Clouds ndio mashahidi na Nape.
Wizara ya utamaduni ina ripoti yote.
Lissu nae atakujamfungulia kesi
Makonda kwiiishaaaaaaaaNgoja tuone!
Mbona kwa Sabaya na Mbowe hazikuundwa tume?
Ndiyo maana kwenye msiba wa jiwe walilia kama watoto wadogoKinaumana tena
nibora tume kuliko polisi watakuja na hadithi za sungura na fisiHahahaaaa...... Mtu kaingia Mawingu na mitutu unaunda tume ya nini?
Wanasahau kuwa siku hazigandiCCM "hoyeeeer"??!!! Nyooooo acheni kumtumikia Shetani, hamsikii. Bado Kingai na Mahita kuna siku wattapanda kizimbani
Kile kipindi alikuwa na cheo cha Amiri kikosi maalumu kwaniaba ya mtwaliwa wake.Mbona waziri kasema jambo nusu nusu.
Tulitaka kujua haya:
1. Hiyo tume iliundwa lini, na nani na inapaswa kukabidhi hiyo ripoti lini? (Kama ni tume ile ile ya wakati ule iliyoundwa na Nape, ilipewa siku saba na ilipaswa kuwa imekabidhi ripoti kipindi kile kile....)
2. Huyu waziri ana mamlaka gani katika kukabiliana suala la Makonda kuvamia Clauds media. (Kwa mfano kama tume itamuona Makonda alikuwa na makosa, waziri atafanya nini?)
3. Kwanini suala lile halikumalizwa kipindi kile kile na badala yake limekaliwa kimya muda wote?
Anasubiriwa sega danceKwisha habari yake bwana DAB
Hakuna nafasi ya kumsamehe mtu kama huyu asiye na chembe ya nidhamu.Makonda aliwai kuwaambia waalimu wakidai nyongeza ya mshahara atawacharaza viboko kama watoto, mbaki na hapo aliwai kusema ofisi yake imejaa wafanyakazi mizigo hawana kazi wanazunguka zunguka tu, , makonda aliku anawakosea sana watu
lakini sawa tu yaliyopita wayaache ashajifunza wamsamehe
Adabu kwake ni 0Hakuna mtu anayekula raha kama Mimi.
Ingawa hapa wengi wenu mmenizidi umri Ila nawazidi sana kwa vitu vingi kwahiyo kuweni makini mnaongea na nani