Waziri Kinyasu: Watalii wanatupigia simu wamechoka kufungiwa ndani huko Ulaya wanataka kuja Tanzania kupumzika

Waziri Kinyasu: Watalii wanatupigia simu wamechoka kufungiwa ndani huko Ulaya wanataka kuja Tanzania kupumzika

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Naibu waziri wa Maliasili na utalii mh Costantine Kinyasu amesema amekuwa akipokea simu kutoka kwa watalii na wadau wa Utalii kutoka Ulaya wakilalamika kuchoshwa na kufungiwa ndani hivyo wanataka kuja Tanzania kupumzika.

Waziri anasema ameshakutana na wadau wa Utalii hapa nchini kuzungumzia hilo na kimsingi wameshakubaliana mambo kadhaa.

Mosi watoa Huduma za Utalii watapimwa Corona na kupewa vyeti hii ni kuanzia madereva pale Air port hadi wahudumu wa mahotelini.

Pili idadi ya watalii kwenye gari moja huko mbugani kupunguzwa ili kuzingatia social distance

Magari yote ya Tours kupuliziwa dawa na kuhakikisha muda wote kuna Sanitizer, sabuni na maji
Nk...nk

Chanzo: ITV habari za saa

Maendeleo hayana vyama!
 
Mhe Raisi Magufuli amesema corona imeisha, nyie mnataka kuwapima vitu gani tena?.........

kwaio, mtapima madereva na wahudumu wa kitanzania ila hao 'wazungu' hawatapimwa......?? maana Raisi wangu amesema marufuku kuwaweka karantini 'watwalii'
 
huyu anatupiga timba, sidhani kama anapokea simu kama anavyodai, uongo tu shame on him
 
Labda akina Ebitoke, JB na Steve Nyerere wakiongozwa na Shilole ns Kigwangala.
 
Biashara ya kitalii haifanyiki kijinga namna hiyo kama Waziri Kanyasu anavyotaka kutudanganya. Watalii kutumia travel agents kupanga safari zao na hawapigi simu wala TANAPA wala TTB.

Travel agents hii ndiyo biashara yao na kuna wenye ofisi Ulaya na America na matawi kwenye nchi zetu. Alternatively kuna Travel agents local wenye ushirikiano na makampuni ya Ulaya na America.

Travel agents wana data zote za nchi kuanzia vivutio vilivyopo,hali ya uchumi, hali ya usalama, ugaidi, magonjwa yapatikanayo na masuala ya kijiografia.

Hakuna mtu asiyejua kinachoendelea Tanzania with respect to high number za COVID 19 deaths, fake reports zinazotolewa na Serikali and poor health systems and infrastructure.

Nyie endeleeni kupiga NYUNGU tu
 
Biashara ya kitalii haifanyiki kijinga namna hiyo kama Waziri Kanyasu anavyotaka kutudanganya. Watalii kutumia travel agents kupanga safari zao na hawapigi simu wala TANAPA wala TTB. Travel agents hii ndiyo biashara yao na kuna wenye ofisi Ulaya na America na matawi kwenye nchi zetu. Alternatively kuna Travel agents local wenye ushirikiano na makampuni ya Ulaya na America.

Travel agents wana data zote za nchi kuanzia vivutio vilivyopo,hali ya uchumi, hali ya usalama, ugaidi, magonjwa yapatikanayo na masuala ya kijiografia.

Hakuna mtu asiyejua kinachoendelea Tanzania with respect to high number za COVID 19 deaths, fake reports zinazotolewa na Serikali and poor health systems and infrastructure.

Nyie endeleeni kupiga NYUNGU tu
Sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Biashara ya kitalii haifanyiki kijinga namna hiyo kama Waziri Kanyasu anavyotaka kutudanganya. Watalii kutumia travel agents kupanga safari zao na hawapigi simu wala TANAPA wala TTB. Travel agents hii ndiyo biashara yao na kuna wenye ofisi Ulaya na America na matawi kwenye nchi zetu. Alternatively kuna Travel agents local wenye ushirikiano na makampuni ya Ulaya na America.

Travel agents wana data zote za nchi kuanzia vivutio vilivyopo,hali ya uchumi, hali ya usalama, ugaidi, magonjwa yapatikanayo na masuala ya kijiografia.

Hakuna mtu asiyejua kinachoendelea Tanzania with respect to high number za COVID 19 deaths, fake reports zinazotolewa na Serikali and poor health systems and infrastructure.

Nyie endeleeni kupiga NYUNGU tu
Nchi ya propaganda
 
Back
Top Bottom