Stan Mashamba
JF-Expert Member
- Apr 22, 2020
- 3,183
- 2,479
Kumbe akili zetu na wazungu watalii ni sawasawa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe akili zetu na wazungu watalii ni sawasawa!
Je, mashine za vipimo zimepona?Mhe Raisi Magufuli amesema corona imeisha, nyie mnataka kuwapima vitu gani tena?.........
kwaio, mtapima madereva na wahudumu wa kitanzania ila hao 'wazungu' hawatapimwa......?? maana Raisi wangu amesema marufuku kuwaweka karantini 'watwalii'
Tatizo la viongozi wetu kila mmoja anasema kitu hata kitu hicho hakijui.Nchi ya propaganda