Sasa kipi afadhali maana bila hivo anaweza asikupatie nyumbaHela ya udalali inauma asee, yaani unatoa 70k hivi hivi kwa jamaa anayepiga stori kitaa na umeisotea asee.
Hatukatai madalali wana msaada ila wachukue asilimia flani.
Dawa ni kufungua Website wenye Nyumba wawe wanatangaza na sisi tunaingia na kukodiSasa kipi afadhali maana bila hivo anaweza asikupatie nyumba
Hizo website na page za mitandao ya kijamii hao madalali wanazo na wengi ndo wanaziendeshaDawa ni kufungua Website wenye Nyumba wawe wanatangaza na sisi tunaingia na kukodi
Mawaziri wa ccm bhanaWaziri wa Ardhi, William Lukuvi amepiga marufuku Madalali kuwadai Wapangaji Fedha ya Mwezi Mmoja, akiita kitendo hicho kuwa ni ujambazi
Amesema, "Kuna baadhi ya Madalali wanapangisha nyumba halafu wanachukua kwa Wapangaji Kodi ya mwezi. Hawa wanaochukua pesa za wapangaji waache mchezo huo kwasababu ni wizi wa mchana kabisa. Wewe umeajiriwa na mwenye nyumba, yeye lazima akulipe wewe"
View attachment 2011900
Labda nyumba kubwa kubwa ila hizi za uswahili sidhani kama website zitasaidiaSikujua Kumbe bado nchi iko gizani halafu bado wanasema Jiwe alikusanya kodi hivi kodi kiasi gani imepotea kwa hawa watu wanaofanya udalali??
Kuna haja ya kuwa na website za rental houses mtu akitaka anaingia na kulipa akiridhika hij ni rahisi na salama na kila kitu kiko traced!
Happ kodi itaonekana na kukatwa kodi na hizo commision za udalali zitakatwa kodi pia
Unless wairasimishe hii biashara ya udalali na kuwasajili na waweke kima cha Chini, la sivyo Hanna kituLukuvi hawa wapo kwenye mfumo wa biashara na sio mfumo wa siasa kuwadhibiti ni ngumu.
Unadhani mwenye nyumba atakubali nyumba yake ikae bila mpangaji kisa pesa ya dalali?Sasa kipi afadhali maana bila hivo anaweza asikupatie nyumba