Waziri Mabula: Hatuhitaji miji iliyojaa fremu za maduka. Mipango miji izingatiwe

Waziri Mabula: Hatuhitaji miji iliyojaa fremu za maduka. Mipango miji izingatiwe

Kama hataki Miji iliyojaa fremu za maduka, anataka Miji iliyojaa nini? Vilabu vya pombe za kienyeji?


Awe specific! Anataka nini. Maana hizo fremu za maduka zinajengwa kwenye maeneo ya watu, kwa ajili ya kurahisisha huduma. Au anafikiri kila Mtanzania ana uwezo wa kwenda kwenye malls kama wao?
Una shida za Kisaikolojia sio bure wewe.
 
Hivi hili jambo Lina maslahi gani kwao?

Mfano kwani kuchukua makazi ya slums Kwa kujenga na kuwapa watu floors za Juu huku Serikali ilichukua za chini Kwa Ajili ya biashara Kuna shida gani? Au mnagwana na wenye maeneo Kwa kulipa mdogo mdogo Kuna shida?

Kupima maeneo ya watu na kuyawekea master plan kwamba uendelezaji uzingatie Mpango Mji Kuna shida? Maana shamba linapimwa na linaachwa ila any kind of uendelezaji lazima ufuate ramani Kuna shida hapo?

Sijawahi waelewa ccm Kwa hili kiukweli na wananikera sana,to be honest kama hakuna atakayekuja na idea hii Wala sitokusumbua hata kuwasikiliza.

Haiwezekani binadamu tuwe tunaishi kama mifugo,Ngorongoro wanahamisha watu huku wanashindwa nini?
Ndo uppuuzi huu uliwafanya kuwakatalia wabrazil waliotaka kuondoa slum za milimani Mwanza kisa siasa zao Cha kichwara .... hawafikirii future,,hawajui wanavyoharibu hii miji kizazi kijacho ndio kitateseka ...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa bongo town kitovu Cha biashara hakuna tofaut na eneo la makazi ya watu, kila eneo maduka mtupuu.
 
Mtu unanunua kiwanja chako unajichanga unajenga from no where kiwanja Jirani yako linajengwa kanisa, ukitoka kazini umechoka unakuja nyumbani kwako kukesha kwa lazima kwa makerere ya usiku kucha tunajengeana chuki ambazo si za lazima kabisa na Serikali hao hao wametoa kibali Cha kujengwa kanisa eneo ambalo awali yalikuwa ni makazi tu.
 
Sikubaliani naye. Masikini makazi yake ndiyo workshop yake. Kwanza hatuna magari ya kuendea "Madukani" Tumezoea chochote tunachotaka kwa matumizi ya kila siku tunatembea tu kukifuata. Watuache hivihivi na migahawa, magenge, maduka, bar nk, mitaani.
 
Hongera Waziri Kwa kukuona hili,na Ili kuweza kusimamia vizuri master plan za Miji Serikali Ianzishe Wakala au Mamlaka ya Kusimamia Upangaji Miji na Ardhi yaani Town Planning and Land Administration Authority..



Kiukweli Miji yetu inatia aibu na hasira sana yaani utadhani sisi sio binadamu wenye utashi tunaishi hovyo hovyo kama Wanyama..

Kwa nini mnashindwa kupanga Miji na kupima Ardhi Kwa Ajili ya Matumizi Bora? Tunazidiwa Hadi na Burundi,Somalia,Malawi nk..

Ccm muwe na aibu , hatuwezi kuendelea Kwa utaratibu huu wa Ujenzi wa hivyo hovyo..

Mgombea atayeweka ajenda hii mbele ndio nitampa kura yangu..

Mkuu kura yako kamwe haisaidii kitu. Piga usipige Tume ndo uamua
 
Hongera Waziri Kwa kukuona hili,na Ili kuweza kusimamia vizuri master plan za Miji Serikali Ianzishe Wakala au Mamlaka ya Kusimamia Upangaji Miji na Ardhi yaani Town Planning and Land Administration Authority..



Kiukweli Miji yetu inatia aibu na hasira sana yaani utadhani sisi sio binadamu wenye utashi tunaishi hovyo hovyo kama Wanyama..

Kwa nini mnashindwa kupanga Miji na kupima Ardhi Kwa Ajili ya Matumizi Bora? Tunazidiwa Hadi na Burundi,Somalia,Malawi nk..

Ccm muwe na aibu , hatuwezi kuendelea Kwa utaratibu huu wa Ujenzi wa hivyo hovyo..

Mgombea atayeweka ajenda hii mbele ndio nitampa kura yangu..

Hii ni long overdue
 
kwani wanaoharibu miji kina nani? umeona hata maeneo yasiyoruhusiwa kujengwa vituo vya mafuta vimejengwa kama uyoga na watoa vibali ndio nyie wenyewe sasahivi unajifanya kulalamiiika , kwanza wanaojenga hayo mafremu ni nyie wenyewe wala hakuna mwingine nyambaffff zenu
 
Sahihi kabisa, unakuta mtaa mzima wa makazi ya watu umeja viduka vya mtaji wa laki moja. Hii ni aibu kubwa sana na kuendeleza umaskini tu.
uwepo wa fremu nyingi ni matokeo ya uchumi wa uchuuzi na ukosefu wa ajira za viwandani matokeo yake vijana nguvu kazi wanakwenda kuwa wachuuzi wa bidhaa za wachina.

Taifa linatakiwa lijikite kwenye uchumi wa viwanda vikubwa na vidogo na sio uchuuzi.
 
Kunatakiwa kuweke sheria fremu au makanisa katika makazi ya watu viachane kwa umbali kadhaa.
Mtu unanunua kiwanja chako unajichanga unajenga from no where kiwanja Jirani yako linajengwa kanisa, ukitoka kazini umechoka unakuja nyumbani kwako kukesha kwa lazima kwa makerere ya usiku kucha tunajengeana chuki ambazo si za lazima kabisa na Serikali hao hao wametoa kibali Cha kujengwa kanisa eneo ambalo awali yalikuwa ni makazi tu.
 
Hili mbona linarudiwa kila mara ila utekelezaji bado changamoto, halmashauri hazina nguvu kazi kusimamia suala hilo,
 
Hongera Waziri Kwa kukuona hili,na Ili kuweza kusimamia vizuri master plan za Miji Serikali Ianzishe Wakala au Mamlaka ya Kusimamia Upangaji Miji na Ardhi yaani Town Planning and Land Administration Authority..


Kiukweli Miji yetu inatia aibu na hasira sana yaani utadhani sisi sio binadamu wenye utashi tunaishi hovyo hovyo kama Wanyama..

Kwa nini mnashindwa kupanga Miji na kupima Ardhi Kwa Ajili ya Matumizi Bora? Tunazidiwa Hadi na Burundi,Somalia,Malawi nk..

Ccm muwe na aibu , hatuwezi kuendelea Kwa utaratibu huu wa Ujenzi wa hivyo hovyo..

Mgombea atayeweka ajenda hii mbele ndio nitampa kura yangu..

Kwahili na kuunga mkono,miji yetu imekaa hovyo hovyo,ardhi haijapimwa ujenzi holela kila mahali na serikali ipo wizara ipo maafisa ardhi wapo sijui kazi zao ni nini hasa.

Serikali iweke hela miji yote ipimwe ardhi yote nchini ipimwe. Tuondoe hizi squatter na slams tunatia aibu sana.
 
Hongera Waziri Kwa kukuona hili,na Ili kuweza kusimamia vizuri master plan za Miji Serikali Ianzishe Wakala au Mamlaka ya Kusimamia Upangaji Miji na Ardhi yaani Town Planning and Land Administration Authority..


Kiukweli Miji yetu inatia aibu na hasira sana yaani utadhani sisi sio binadamu wenye utashi tunaishi hovyo hovyo kama Wanyama..

Kwa nini mnashindwa kupanga Miji na kupima Ardhi Kwa Ajili ya Matumizi Bora? Tunazidiwa Hadi na Burundi,Somalia,Malawi nk..

Ccm muwe na aibu , hatuwezi kuendelea Kwa utaratibu huu wa Ujenzi wa hivyo hovyo..

Mgombea atayeweka ajenda hii mbele ndio nitampa kura yangu..
Kila siku porojo badala ya kutoa pesa kuanza upimaji.

 
Back
Top Bottom