ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #21
Una shida za Kisaikolojia sio bure wewe.Kama hataki Miji iliyojaa fremu za maduka, anataka Miji iliyojaa nini? Vilabu vya pombe za kienyeji?
Awe specific! Anataka nini. Maana hizo fremu za maduka zinajengwa kwenye maeneo ya watu, kwa ajili ya kurahisisha huduma. Au anafikiri kila Mtanzania ana uwezo wa kwenda kwenye malls kama wao?
Ndo uppuuzi huu uliwafanya kuwakatalia wabrazil waliotaka kuondoa slum za milimani Mwanza kisa siasa zao Cha kichwara .... hawafikirii future,,hawajui wanavyoharibu hii miji kizazi kijacho ndio kitateseka ...Hivi hili jambo Lina maslahi gani kwao?
Mfano kwani kuchukua makazi ya slums Kwa kujenga na kuwapa watu floors za Juu huku Serikali ilichukua za chini Kwa Ajili ya biashara Kuna shida gani? Au mnagwana na wenye maeneo Kwa kulipa mdogo mdogo Kuna shida?
Kupima maeneo ya watu na kuyawekea master plan kwamba uendelezaji uzingatie Mpango Mji Kuna shida? Maana shamba linapimwa na linaachwa ila any kind of uendelezaji lazima ufuate ramani Kuna shida hapo?
Sijawahi waelewa ccm Kwa hili kiukweli na wananikera sana,to be honest kama hakuna atakayekuja na idea hii Wala sitokusumbua hata kuwasikiliza.
Haiwezekani binadamu tuwe tunaishi kama mifugo,Ngorongoro wanahamisha watu huku wanashindwa nini?
Mkuu kura yako kamwe haisaidii kitu. Piga usipige Tume ndo uamuaHongera Waziri Kwa kukuona hili,na Ili kuweza kusimamia vizuri master plan za Miji Serikali Ianzishe Wakala au Mamlaka ya Kusimamia Upangaji Miji na Ardhi yaani Town Planning and Land Administration Authority..
Kiukweli Miji yetu inatia aibu na hasira sana yaani utadhani sisi sio binadamu wenye utashi tunaishi hovyo hovyo kama Wanyama..
Kwa nini mnashindwa kupanga Miji na kupima Ardhi Kwa Ajili ya Matumizi Bora? Tunazidiwa Hadi na Burundi,Somalia,Malawi nk..
Ccm muwe na aibu , hatuwezi kuendelea Kwa utaratibu huu wa Ujenzi wa hivyo hovyo..
Mgombea atayeweka ajenda hii mbele ndio nitampa kura yangu..
Hii ni long overdueHongera Waziri Kwa kukuona hili,na Ili kuweza kusimamia vizuri master plan za Miji Serikali Ianzishe Wakala au Mamlaka ya Kusimamia Upangaji Miji na Ardhi yaani Town Planning and Land Administration Authority..
Kiukweli Miji yetu inatia aibu na hasira sana yaani utadhani sisi sio binadamu wenye utashi tunaishi hovyo hovyo kama Wanyama..
Kwa nini mnashindwa kupanga Miji na kupima Ardhi Kwa Ajili ya Matumizi Bora? Tunazidiwa Hadi na Burundi,Somalia,Malawi nk..
Ccm muwe na aibu , hatuwezi kuendelea Kwa utaratibu huu wa Ujenzi wa hivyo hovyo..
Mgombea atayeweka ajenda hii mbele ndio nitampa kura yangu..
uwepo wa fremu nyingi ni matokeo ya uchumi wa uchuuzi na ukosefu wa ajira za viwandani matokeo yake vijana nguvu kazi wanakwenda kuwa wachuuzi wa bidhaa za wachina.
Taifa linatakiwa lijikite kwenye uchumi wa viwanda vikubwa na vidogo na sio uchuuzi.
Mtu unanunua kiwanja chako unajichanga unajenga from no where kiwanja Jirani yako linajengwa kanisa, ukitoka kazini umechoka unakuja nyumbani kwako kukesha kwa lazima kwa makerere ya usiku kucha tunajengeana chuki ambazo si za lazima kabisa na Serikali hao hao wametoa kibali Cha kujengwa kanisa eneo ambalo awali yalikuwa ni makazi tu.
Wamachinga na bajaj hawaamini macho yaoNimepita Iringa.Wanaicheza ngoma (wanadua)huku wananung'unika.Cheki nao.
Hongera Waziri Kwa kukuona hili,na Ili kuweza kusimamia vizuri master plan za Miji Serikali Ianzishe Wakala au Mamlaka ya Kusimamia Upangaji Miji na Ardhi yaani Town Planning and Land Administration Authority..
Kiukweli Miji yetu inatia aibu na hasira sana yaani utadhani sisi sio binadamu wenye utashi tunaishi hovyo hovyo kama Wanyama..
Kwa nini mnashindwa kupanga Miji na kupima Ardhi Kwa Ajili ya Matumizi Bora? Tunazidiwa Hadi na Burundi,Somalia,Malawi nk..
Ccm muwe na aibu , hatuwezi kuendelea Kwa utaratibu huu wa Ujenzi wa hivyo hovyo..
Mgombea atayeweka ajenda hii mbele ndio nitampa kura yangu..
Kila siku porojo badala ya kutoa pesa kuanza upimaji.Hongera Waziri Kwa kukuona hili,na Ili kuweza kusimamia vizuri master plan za Miji Serikali Ianzishe Wakala au Mamlaka ya Kusimamia Upangaji Miji na Ardhi yaani Town Planning and Land Administration Authority..
Kiukweli Miji yetu inatia aibu na hasira sana yaani utadhani sisi sio binadamu wenye utashi tunaishi hovyo hovyo kama Wanyama..
Kwa nini mnashindwa kupanga Miji na kupima Ardhi Kwa Ajili ya Matumizi Bora? Tunazidiwa Hadi na Burundi,Somalia,Malawi nk..
Ccm muwe na aibu , hatuwezi kuendelea Kwa utaratibu huu wa Ujenzi wa hivyo hovyo..
Mgombea atayeweka ajenda hii mbele ndio nitampa kura yangu..