Tetesi: Waziri Maghembe kutumbuliwa

Mkuu PM anawatafuteni awasomeshe namba.

 
Faru John kapotea au kafa wakati Maghembe ni waziri wa Mali asili na Utalii au kabla?
Maghembe anawajibishwa kama waziri japo wapiga deal ni watu wengine.
Wizara hii ni ngumu imekuwa inabadirisha mawaziri wengi Kagasheki,Nyirandu hadi sasa Maghembe
 
Kulia na kucheka vyote kelele
 
Unaweza kuthibitisha habari zako kwa jamii kuwa waziri anahusika na wizi?
Waziri anahusika kwa kuwa alimdanganya Waziri Mkuu kwamba faru amekufa kumbe ni uongo mtupu. Kama amekufa kwa ugonjwa, kaburi lake mbona wanashindwa kulionyesha lilipo? Mkuu ina maana wewe huna uchungu na rasilimali ZETU? Nakushangaa sana.
 
Prof. Maghembe mbunge wangu wa Wilaya ya Mwanga nilikozaliwa.
 
Kwa sababu yeye Ni touchable.
 
Kwani huyo faru John aliuzwa mwaka gani
 
Wazir mkuu alisema kuwa serikali imetoa trilion 1 kununua madawa. Magufuli akasema serikali imetoa billion 200 kunuNua dawa. Nani apo ni muongo?
Muongo ni waziri ila wanishati na madini[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji15] [emoji18] [emoji198] [emoji198] [emoji198]
 
Mama yake mdogo le mutuz aliongoa ukweli wakamfukuza huyu kaongea uongo wanamuacha sijui hii ni serikali awamu ya 5 ni matatizo tu mara rambirambi mara pesa za wahanga kununua ndege mimi sijui tu hapa kwetu Arusha ccm hawatapata chochote.


swissme
#CHOMAKADICCM#
 
Hii wizara mtu aliyekuwa sahihi pale alikuwa kagesheki ni hiz siasa zetu za kijinga zimeshindwa kuuona huo ukweli.
 
Faru anawahenyesha watu wazima. Tunaacha kufanya ya msingi wanahangaika na faru aliepigwa dili.
 
Mkuu sio kweli kwamba waziri mkuu hawezi kusema uongo.
Asiseme uongo kwa nini wakati yeye ni binadamu?

Pili, huyo mwandishi amesema waziri mkuu anazo taarifa..., anajuaje kama hizo taarifa alizo nazo ni sahihi?
 
Sidhani kama Prof Maghembe anahusika moja kwa moja kwenye hili sakata, hivi huo mchakato wa kumhamisha Faru John ulifanyika wakati Prof ni waziri wa maliasili na utalii? au ndo dhana pana ya uwajibikaji?
 
Wazir mkuu alisema kuwa serikali imetoa trilion 1 kununua madawa. Magufuli akasema serikali imetoa billion 200 kunuNua dawa. Nani apo ni muongo?
Unaweza kutupa evidence ya hizo statement mbili? MaanA ipo tabia ya kubadilisha maelezo kwa sababu binafsi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…