Chipolopolo
JF-Expert Member
- Feb 14, 2012
- 1,425
- 726
kwani walikuwa na masomo mangapi?
zaidi ya matano
kwani yalikuwa mangapi na yalikuwa yanaitwaje ?, kama yalikuwa hesabu, kingereza, na kiswahili si bado ni kusoma, kuandika na kuhesabu ? haya mambo ni kuleta complications za bure, kazi ya kuelimisha wangeachiwa waalimu na sio wanasiasa
Ameyasema hayo leo akiwa mkoani Arusha akiongea na wadau wa elimu mkoani humo.Amebainisha kwamba masomo kwa darasa la kwanza yatapunguzwa na kuwa matatu:Kusoma,Kuandika na Kuhesabu (KKK).Source TBC1 Taarifa Saa 2 Usiku
Yalikua 12
masomo drs la I yapo saba, hesabu, kiingereza. kiswahili, sayansi, stad za kaz, haiba na michezo na tehama
Duh umechoka kweli jamaa yangu. Ni huyu naibu waziri Tamisemi anayedili na elimu. Mbunge wa RuangwaMajaliwa ni nani jamani? Nipo Tz kweli?
sasa wanafunzi wasifundishwe haiba na michezo ?, Tehama je ?, au hawajui kwamba information technology ndio kuandika na kusoma kwa karne hii ?, na kiswahili na kingereza kuna tofauti gani na kusoma ? au hesabu ina tofauti gani na kuhesabu ?, hawa jamaa wanaleta siasa tu, ndio maana nikasema kazi ya kufundisha waachiwe waalimu na wenyewe ndio watoe mapendekezo kipi ni bora na sio wanasiasa
kupunguziwa masomo ni halali hata walimu walilipigia sana kelele unakuta mtu hajajua hata kuandika bado tayari kashalundikiwa mzigo mwingine ambao ulitakiwa uwe stage nyingine ambayo ameshajua kusoma na kuandika ilikuwa ni mzigo kwa walimu.
kwani walikuwa na masomo mangapi?
Hiyo ndo elimu ya bongo
zaidi ya matano