Chipolopolo
JF-Expert Member
- Feb 14, 2012
- 1,425
- 726
Ameyasema hayo leo akiwa mkoani Arusha akiongea na wadau wa elimu mkoani humo.Amebainisha kwamba masomo kwa darasa la kwanza yatapunguzwa na kuwa matatu:Kusoma,Kuandika na Kuhesabu (KKK).Source TBC1 Taarifa Saa 2 Usiku