Chipolopolo
JF-Expert Member
- Feb 14, 2012
- 1,425
- 726
- Thread starter
- #21
Majaliwa ni nani jamani? Nipo Tz kweli?
Waziri Elimu (N) Tamisemi.Inashughulika na Shule za Msingi Sekondari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majaliwa ni nani jamani? Nipo Tz kweli?
hata wakibakiza somo moja haitasaidia kitu bado wengi watamaliza std 7 bila kujua kusoma wala kuandika.
Wanatapatapa tu, bila maslahi mazuri kwa walimu hapataeleweka kitu, tushachoka walimu sasa ni passive strike tu.
kwani yalikuwa mangapi na yalikuwa yanaitwaje ?, kama yalikuwa hesabu, kingereza, na kiswahili si bado ni kusoma, kuandika na kuhesabu ? haya mambo ni kuleta complications za bure, kazi ya kuelimisha wangeachiwa waalimu na sio wanasiasa
Yalikua 12
Good move KKK kwa watoto ni proper
Kwa hiyo Tume Ya Mizengo haina kazi. Maana majibu ya tatizo la elimu Tanzania kumbe anayo waziri Majaliwa!! Kweli Nchi hii ni banda la vituko
Hapo kuna vitu kama Stadi za Kazi au Haiba na Michezo huoni faida yake ?, Hususan michezo inamsaidia ku-refresh ili asiwe bored na shule, after all All work and no play makes Jack a Dull Boy
Usimalo ni kweli lakini ingefaa zaidi wangewanzia wakiwa darasa la tatu wakiwa tayari na msingi wa kujua kusoma na kuandika. Kumbuka mtoto wake mchezo hata akiwa nyumbani. Na wanaposema kuhesabu ni pamoja na kujumlisha na kutoa.
Mwanafunzi asipoweza kusoma na kuandika arudie darasa la Pili. Pia mtihani wa darasa la Nne utiliwe mkazo, yaani mwanafunzi asipofaulu arudie darasa.
Ameyasema hayo leo akiwa mkoani Arusha akiongea na wadau wa elimu mkoani humo.Amebainisha kwamba masomo kwa darasa la kwanza yatapunguzwa na kuwa matatu:Kusoma,Kuandika na Kuhesabu (KKK).Source TBC1 Taarifa Saa 2 Usiku
Mwanafunzi asipoweza kusoma na kuandika arudie darasa la Pili. Pia mtihani wa darasa la Nne utiliwe mkazo, yaani mwanafunzi asipofaulu arudie darasa.
Hata mchezo hakuna?
Kwa nini mtoto afikie darasa la pili bila kujua kusoma na kundika?
Vipi akirudia na bado akashindwa kusoma na kuandika? Ataendelea kurudia tuu?
Yaani mwanafunzi asipofaulu arudie darasa ndiyo solution ya kumfanya afaulu?
ndo maana watoto wanafeli misomo saba yote ya nn hiyo!!!!!
Ukistaajabu ya Mungai
Utaona ya Majariwa
Ccm inaweweseka hawa ndiyo wenye dhamana
ya Elimu yaani masomo yanapunguzwa hawakujua darasa la kwanza na masomo saba
mtoto hatayaweza?
Mwanafunzi asipoweza kusoma na kuandika arudie darasa la Pili. Pia mtihani wa darasa la Nne utiliwe mkazo, yaani mwanafunzi asipofaulu arudie darasa.