The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Baki hivyo hivyo bila kuelewa.Nimejaribu kukuelewa nimeshindwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baki hivyo hivyo bila kuelewa.Nimejaribu kukuelewa nimeshindwa
Mwandosya aliingia tatu bora na hakuwaKwa hili yuko sawa,Yeye ndio Waziri anaetukanwa Sana na Sukuma gang na Chadomo ..
Sukuma gang wanamuona ni threat Kwenye mambo ya Urais ikizingatiwa aliingia Tano Bora na ana ushawishi kama Lowasa ila Chadomo wanakumbukia maumivu waliyoyapata aliposimamia kile kituo Cha kujumuisha matokeo.
Kushambulia ni aina nyingine ya kutoa maono,aelewe wananchi wanachotaka.Sjoni sababu ya watu kumshambulia makamba. Sioni
Kama Kuna tatizo watu wanaweza kutoa maoni bila kumshambulia
Sasa mawazo yako yatafanyiwa vipi kazi ikiwa hatuyaelewi?Baki hivyo hivyo bila kuelewa.
Unaishi pugu umekua ng'ombe!!!Huku Pugu kila siku unakatika
Hapa California mda huu hakuna umeme japo karibu kupambazukeAfrica umeme hauwezi kuwa sawa %100
Ova
Unamsemea na nani? Huyaelewi wewe na nani? Sio kila mawazo ni ya kufanyia Kazi.Sasa mawazo yako yatafanyiwa vipi kazi ikiwa hatuyaelewi?
Kuna kuingia na kuingizwaMwandosya aliingia tatu bora na hakuwa