Waziri Makamba aeleza alivyovumilia mashambulizi, ajifananisha na Kocha Mourinho sakata la kukatika kwa umeme

Waziri Makamba aeleza alivyovumilia mashambulizi, ajifananisha na Kocha Mourinho sakata la kukatika kwa umeme

Kwa hili yuko sawa,Yeye ndio Waziri anaetukanwa Sana na Sukuma gang na Chadomo ..

Sukuma gang wanamuona ni threat Kwenye mambo ya Urais ikizingatiwa aliingia Tano Bora na ana ushawishi kama Lowasa ila Chadomo wanakumbukia maumivu waliyoyapata aliposimamia kile kituo Cha kujumuisha matokeo.
Mwandosya aliingia tatu bora na hakuwa
 
Kijana Hodari sana anayechukiwa na Wahamiaji haramu.
Makamba junior
 
Sasa bwana makamba wewe SI ndo mwenye dhamana ya umeme.
Usiposemwa wewe atasemwa Nani?
 
FB_IMG_1657869431781.jpg
 
Back
Top Bottom