Waziri Makamba akutana kwa mazungumzo na Waziri wa Viwanda na Teknolojia ya Juu wa Serikali ya UAE

And why Arabs only?
[emoji23][emoji23][emoji23]Ni kwa sababu wanapesa lukuki.
 
Hakuna kitu kama hicho !! Bandari ni mali za Nchi wale Dipiwedi ni wawekezaji tu kama wengine waliokuwepo kabla yao !
TICTS and the likes πŸ˜…πŸ™

Maubaguzi hayafai bandugu πŸ™πŸ™πŸ™
Duuh! Kumbe najadiliana na mtu asiyetumia akili zake! Mkataba wa DPW na TICTS ni sawa?

Siwezi kuwa na ndugu mjinga asiyefundishika nikatulia bila kujali!
 
Duuh! Kumbe najadiliana na mtu asiyetumia akili zake! Mkataba wa DPW na TICTS ni sawa?

Siwezi kuwa na ndugu mjinga asiyefundishika nikatulia bila kujali!
Hata waheshimiwa wabunge wote waliridhia uwekezaji wa dipiwedi !
Yaani unataka kusema nao hawajui kitu ??!
 
Amepelekwa kulinda maslahi ya maza kwa waarabu
 
Waarabu sio watu wazuri, wametutesa Sana biashara ya utumwa, tukae nao mbali #okoa bandari #Okoa Ngorongoro #okoa Misitu
 
Sijakuelewa hapo kuna tatizo gani?

Au ulifikiri Makamba alikwenda kucheza Nairobi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…