Waziri Makamba atembelea Kisiwa cha Ukara ambacho Viongozi huwa hawaendi, azungumza na Wananchi na kuahidi kuwapunguzia bei ya Umeme

Waziri Makamba atembelea Kisiwa cha Ukara ambacho Viongozi huwa hawaendi, azungumza na Wananchi na kuahidi kuwapunguzia bei ya Umeme

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Waziri wa Nishati January Makamba ametembelea Kisiwa cha Ukara na kuwaahidi watapata bei mpya ya Umeme yenye unafuu kuanzia August Mosi 2022.

Pia Makamba ameongea na mwekezaji wa Umeme hapo Ukara na kumtaka aongeze muda wa kusupply Umeme tofauti na saa 12 kama anavyofanya sasa.

Wananchi wa Ukara wamemshukuru Makamba na kusema ujio wake ni baraka kwao kwani wao ni nadra sana kutembelewa na Viongozi, wamtabiria makubwa yenye heri kwenye safari yake ya Kisasa.

Chanzo: ITV habari
 
Ukara ni wapi.

Dogo anajiamini, hata mzee wake alikuwa anajiamini hivyo hivyo ila watu wa hapo jagwani walimpa dispilinyi
 
Back
Top Bottom