Waziri Makamba na mitungi ya Taifa Gas

Camilo Cienfuegos

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2015
Posts
18,960
Reaction score
67,654
Nimekuwa nikifatilia ziara za huko mikoani ambapo Waziri wa Nishati, Januari Makamba akihamasisha na namna ya kutumia nishati ya gesi na kupunguza matumizi ya mkaa na kuni.

Katika ziara yake amekuwa akigawa mitungi ya Taifa gas inayomilikiwa na mfanyabiashara Rostam Aziz.

Naona kama Mh. Makamba kaamua kuipigia debe kampuni binafsi ya Taifa gas, kwanini asitumie na mitungi ya kampuni nyinginezo?

Naombeni mnijuze
 
Hili swali lilinitesa sana kwenye dissertation yangu

Why Kinondoni Municipality and not Kigoma District Council

Bila kumpa nafasi akamba mwenyewe kujibu hutopata majibu

Hizi zinaitwaga fundemental questions???
 
Labda mh ni afisa masoko wa taifa gas,pia kaona huku alikoenda kuna soko kubwa.

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
... kwa nchi makini kwa kiongozi wa kitaifa kuonesha upande/upendeleo wa waziwazi ilitakiwa hadi muda huu awe ameondolewa straight away. Ila ndio hivyo tena banana republics huwa zina untouchables wanaomiliki nchi.
 
Mwendazake alikuwa na hisa kwenye haya makampuni/viwanda/taasisi.
Voda.
Tigo
Taifa Gas.
Bagamoyo Sugar.
Vitambulisho vya machinga.
Etc.
Hizo hisa familia inazijua!?
Vipi kuhusu yale mabilioni yaliofishwa kwa wafanyabiashara kama kampuni zile tatu za ukandarasi!!???
 
Ina rangi ya CCM ila siku hizi pesa zinachotwa tu bila kupangwa na bunge, nchi ya chama kimoja.
 
Kwa sisi ambao tunatokea taifa la tanzagiza, lenye viongozi, waroho wa madaraka, wachumia tumbo si kitu cha ajabu, sijui kwenu huko kama mnaona ajabu.
 
Kutumia mitungi mingine;hayo yataamliwa na wananchi wenyewee kwa gharama zao baada ya kubaini nafuu kwenye makampuni hayo.Tatizo la waziri li wapi?Yani kutwa kuwaza upigaji tu
 
Lake GAS tumehujumiwa
 
Dalali huyo..hata usihangaike naye..kesha pesa 10% hapo.

Its all about upigaji..ndio mana akiulizwa kuhusu jnhpp anakuwa makali mana anajua likikamilika wapiga dili kupitia nishati na gesi biashara zao zitadoda.

#MaendeleoHayanaChama
 
Shida sioni
Hata kampuni zingine zi donate mitungi agawe

Huko ni kupambana na uharibifu wa mazingira. Makampuni yote ya Gas yaige Taifa gas

Hapo sio tu ku promote taifa gas ni ku promote matumizi ya gas na kuachana na uharibifu wa mazingira

Hongera taifa gas
 
Kiukweli tz kuna maajabu ya dunia ukimsilikza ndugu Makamba anaongea huwezi amin kama ni waziri waziri mipasho kwa saaana na utani mwingi kwenye vitu vya msingi. Kwanini anakuwa na kigugumizi? Hata kama jamani hii nchi wananchi tunaidhalilisha.
 
Kwa tabia za Makamba hapo naiona 10% tu.
 
Kiukweli tz kuna maajabu ya dunia.ukimsilikza ndugu makamba anaongea huwezi amin Kama ni waziri waziri.mipasho kwa saaana na utani mwingi kwenye vitu vya msingi.kwa nini anakuwa na kigugumizi??ata kama jamani hii nchi wananchi tunaidhalilisha.
Hana uwezo si unajua is by default,huko kwao hawana namna Mana wanatishiwa huyu familia yao inafahamika ivyo mtasaidiwa.
 
LIST OF LICENSED LPG WHOLESALERS IN TANZANIA AS OF SEPTEMBER 2020
  • Manjis Logistics Limited of P.O. Box 3110 Arusha
  • Camel Oil (T) Limited
  • Acer Petroleum (T) Ltd
  • KMJ Limited, P.O. Box 20139 Dar es Salaam
  • Taifa Gas Tanzania Ltd, P.O. Box 77578 Dar es Salaam
  • Hamgas Company Limited of P. O. Box 4878 Dar es Salaam
  • Manjis Gas Supply Company Ltd of P.O Box 41088 Dar es salaam
  • Manjis Logistics Limited of P.O. Box 3110 Arusha
  • Oilcom (T) Limited of P. O. Box 20831 Dar es Salaam
  • Lake Gas Limited of P.O. Box 5055 Dar es Salaam
  • Oryx Gas Tanzania Limited of P.O. Box 9540 Dar es Salaam
  • Orange Gas Limited of P.O. Box 12318 Arusha
Source: EWURA
 
Kwani humjuwi Rostam? Na connection na hao majamaa... I love idara
 
Next mimi keep cool
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…