King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Ushauri Mzuri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha tu Mkuu Leo tumekutana na Wataalam wa umemesasa mkuu ndiyo wapitishe 100mm kweli ?
napinga uliposema 'maeneo mengi sana' yanasambazwa na 25mm kitu ambacho siyo kweli
huo ni upotoshaji
Nakuhurumia kubishana na mimi,nime experience hii kitu kwa muda mrefu ikanitia hasara pia,kutokana na hilo nilipata wasaha wakufuatilia kwa kina,data ninazotoa hapa pata muda fuatilia Tanesco situngi ila ndivyo ilivyo 100mm ndio standard inayotakiwa kwenye distribution line,tanesco wanatumia terminology wanaita (point five) wakimaanisha waya wa 100mmUnaijua 100mm vizuri kuwa serious kaka, na Mara nyingi TANESCO wanatumia 95mm na sio 100mm
Tatizo hujui,transformer inatakiwa kusambaza umeme kwa diameter ya kilomita moja (1000m) kila upande kuelekea kwa mteja,hii sio siasa ni technical demand.Kwa mteja yeyote atakaekuwa umbali wa zaidi ya 1000m kutoka kwenye transformer atambue kutakuwa na voltage drop yaani umeme unaanza kupoteza nguvu.Haya ni mambo yakitaalam sio ngonjera.Mpaka hapo wewe ni mweupe jaribu kuuliza upate faida.Acha tu Mkuu Leo tumekutana na Wataalam wa umeme
Nijuavyo majumbani wire wa 6mm au 10 ndio unatumika kutoka kwenye mita kuingia ndani ya nyumba, halafu vijijini umeme wa REA hauhitaji transformer kila mita 1000 inaweza tosha Kijiji kimoja transformer moja
Ndugu upo sahihi sema naogopa kuitwa mweupe kichwan na mtoa madaAcha tu Mkuu Leo tumekutana na Wataalam wa umeme
Nijuavyo majumbani wire wa 6mm au 10 ndio unatumika kutoka kwenye mita kuingia ndani ya nyumba, halafu vijijini umeme wa REA hauhitaji transformer kila mita 1000 inaweza tosha Kijiji kimoja transformer moja
Nishafanya kazi kwenye kiwanda Cha cable na kampuni ya electric yenye tender za REA nauhakika na ninachoongea mim ndo nakuonea huruma kwa sababu hujui kitu waya size kubwa ni 95mm ambayo ni size, na TANESCO na kampuni husika lazma waifanyie FIT kabla hawajaichukua hivi vitu vinaenda kitaalamuNakuhurumia kubishana na mimi,nime experience hii kitu kwa muda mrefu ikanitia hasara pia,kutokana na hilo nilipata wasaha wakufuatilia kwa kina,data ninazotoa hapa pata muda fuatilia Tanesco situngi ila ndivyo ilivyo 100mm ndio standard inayotakiwa kwenye distribution line,tanesco wanatumia terminology wanaita (point five) wakimaanisha waya wa 100mm
wewe ni muongo na mweupe kwa huo umeme, huku mjini Transfomer zinaweza kuwekwa hata mitaa 2 tu wakaweka nyingine Mfano kwenye maofisi, Hospital nk tofauti na umeme wa Vijijini (REA)Tatizo hujui,transformer inatakiwa kusambaza umeme kwa diameter ya kilomita moja (1000m) kila upande kuelekea kwa mteja,hii sio siasa ni technical demand.Kwa mteja yeyote atakaekuwa umbali wa zaidi ya 1000m kutoka kwenye transformer atambue kutakuwa na voltage drop yaani umeme unaanza kupoteza nguvu.Haya ni mambo yakitaalam sio ngonjera.Mpaka hapo wewe ni mweupe jaribu kuuliza upate faida.
Ninyi ndio baadhi yenu mnaajiriwa Tanesco kwa migongo ya wajomba zenu halafu mnaanza kututesa.