Waziri Makamba, Wamemaliza gesi uliyowagawia. Wafanyeje?

Waziri Makamba, Wamemaliza gesi uliyowagawia. Wafanyeje?

JF Member

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2014
Posts
7,914
Reaction score
10,793
Waziri Makamba, huku mkoani (mkoa kapuni kwa Sasa) wememaliza gesi ulio waletea. Sasa wanataka wajue wanaenda kujaza wapi?
Wengenine hawana hela ya kujaza geti.

Mnawasaidiaje?
 
Waziri Makamba, huku mkoani (mkoa kapuni kwa Sasa) wememaliza gesi ulio waletea. Sasa wanataka wajue wanaenda kujaza wapi?
Wengenine hawana hela ya kujaza geti.

Mnawasaidiaje?
Kuchamba kwingi mwisho unashika mavi!
 
Yeye mwenyewe anasema anataka kuacha Legacy kwa kugawa mitungi ya gesi kupromote utunzaji wa mazingira, little did he know that hizo gesi watatumia mara moja tu zikiisha mitungi inaingia stoo, wananchi tulio wengi hatuna uwezo wa kumudu gharama za mkaa achilia mbali hiyo gesi.
 
Waziri Makamba, huku mkoani (mkoa kapuni kwa Sasa) wememaliza gesi ulio waletea. Sasa wanataka wajue wanaenda kujaza wapi?
Wengenine hawana hela ya kujaza geti.

Mnawasaidiaje?
Wale maharage kwa wingi kisha wakalie mtungi, gesi itajaa.
 
aliwwpelekea viti ya kukalia tu usanii wa huyo bwana anafikri watanzania ni wazama zile
 
Yeye mwenyewe anasema anataka kuacha Legacy kwa kugawa mitungi ya gesi kupromote utunzaji wa mazingira, little did he know that hizo gesi watatumia mara moja tu zikiisha mitungi inaingia stoo, wananchi tulio wengi hatuna uwezo wa kumudu gharama za mkaa achilia mbali hiyo gesi.
Uwezo wao wa kununua ni msimu wa mavuno.. na pia hakuna supply.
 
Back
Top Bottom