M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
Mheshimiwa huu ni wakati wa wewe kuitisha Mkutano na kufafanua mambo ya Kimataifa ikiwamo usitishwaji wa Msaada kwa Tanzania. Nataarifiwa EU nao wapo mbioni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanasemaje?Kenya wameshatoa ufafanuzi Kwa niaba ya Africa Mashariki
Ajira zote kupitia USAID zimekufa rasmiWanasemaje?
www.voanews.com
Huelewi unachoongea..!NGOs zifungwe Tu aisee. Tumechoka
Ni kweli,Mheshimiwa huu ni wakati wa wewe kuitisha Mkutano na kufafanua mambo ya Kimataifa ikiwamo usitishwaji wa Msaada kwa Tanzania. Nataarifiwa EU nao wapo mbioni.
Kitendo cha kusema dawa zimesitishwa tayari uhaba utakuwepo kuanzia sasa maana wajanja wachache watazificha ili kupiga hela na baadhi ya waathirika wenye uwezo watanunua nyingi na kusababisha uhaba!Ajira zote kupitia USAID zimekufa rasmi
Dawa zitaendelea kutolewa Kwa miezi 6 Baada ya hapo Kila nchi ijitegemee
Umechoka nini specifically? Kuna uwezekano mkubwa wewe unapata kipato chako indirectly kupitia hela za NGOs.NGOs zifungwe Tu aisee. Tumechoka
Inaweza kuwa bado anaishi kwa wazazi wake.Huelewi unachoongea..!
Bado nasubiri waje wakiunga mkono hatua ya kusitishwa kwa misaada toka Marekani.Kuna wakati NGO zinazojihusisha na masuala ya afya na uzazi wa mpango hasa zinazofadhiliwa na US zilikuwa zikiandamwa kwa “kuhamasisha ushoga” nchini.
Na kweli misaada ya kupambana na ukimwi haikosi kipengele cha focus on lgbt community.
Nilidhani kusitishwa kwa misaada ya US kutapokelewa vyema na wanaochukia mabeberu kwa “kulazimisha” ushoga nchini. Au ndio imekuwa tena hadithi ya baniani mbaya …
Ifungwe tu tutakunywa dawa za asiliVipi miradi mikubwa ya malaria nchini kama ile ya ifakara na Bagamoyo, utapona kweli?
Utachoka bure. Watanzania wengi hawana uwezo au hulka ya kuunganisha mambo kichwani.Bado nasubiri waje wakiunga mkono hatua ya kusitishwa kwa misaada toka Marekani.