Waziri Masauni: NIDA kuna shida ya usimamizi, Uongozi una shida, Watu wanateseka kupata Vitambulisho

Taasisi nyingine?
 
Lete solution siyo waziri nae analalamika.
 
Muundo wake ndiyo chanzo cha matatizo + Wizara mama ndiyo imeoza haswa
 
Kwa hiyo mnaendelea kucheka na nyani!!
Haiwezekani kutolewa kitambulisho ichukue mwaka na zaidi hizo computer kazi zake ni nini!?
Ilitakiwa hiyo ofisi kufukuza wote kuanzia waziri hadi mfagiaji na mleta Chai.
Huu ni uzembe wa Hali ya juu!.
Nilipoteza kitambulisho wameniambia kupata hadi miez 5 ipite.nawakati nina dokoment zote.nida ni uchafu watumish wake wafagiliwe wote
 
Bila kutoa Hongo hupati kitambulisho cha Uraia cha NIDA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…