Waziri Masauni: Tendo la ndoa sio haki ya msingi kwa Wafungwa

Waziri Masauni: Tendo la ndoa sio haki ya msingi kwa Wafungwa

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760


Waziri Masauni: Tendo la ndoa sio haki ya msingi kwa Wafungwa
Waziri wa Mambo ya Ndani Hamad Yussuf Masauni amesema mchakato wa haki ya faragha kwa wafungwa kukutana na wenza wao utaanza kutolewa pale ambapo mifumo ya kisheria na miundombinu ya magereza itakapokidhi kutolewa kwa haki hiyo.

Amesema pamoja na hivyo suala la tendo la ndoa ni haki ya mfungwa lakini si haki ya msingi, kwa kuwa haki za msingi ni chakula, mavazi na malazi.

Waziri Masauni amesema “Itakapofika muda wa kuanza mchakato huo tutazingatia mila, usalama, desturi za Watanzania, wakati wmingine siyo jambo zuri kila mtu kujua hawa wanaenda kufanya tendo la ndoa.”
 
Wanasema hamu ya tendo la ndoa sio kama njaa ikizidi inaweza kukuua, ni haki ya msingi, lakini tena anasema sio ya lazima..

Halafu mbele anasema, tutakaporekebisha miundombinu wataruhusu hayo mambo yafanyike, sasa kama shida ni miundombinu si angesema tu moja kwa moja kuliko kuzunguka bila sababu.

Kwa namna magereza yetu yalivyojazana wafungwa, sidhani kama hiyo miundombinu ikiwepo itaweza kukidhi mahitaji ya wafungwa wote, lazima kwanza wapunguze misongamano magerezani ili kuendana na hali halisi.
 
Wanasema hamu ya tendo la ndoa sio kama njaa ikizidi inaweza kukuua, ni haki ya msingi, lakini tena anasema sio ya lazima..

Halafu mbele anasema, tutakaporekebisha miundombinu wataruhusu hayo mambo yafanyike, sasa kama shida ni miundombinu si angesema tu moja kwa moja kuliko kuzunguka bila sababu.

Kwa namna magereza yetu yalivyojazana wafungwa, sidhani kama hiyo miundombinu ikiwepo itaweza kukidhi mahitaji ya wafungwa wote, lazima kwanza wapunguze misongamano magerezani ili kuendana na hali halisi.
Mara ni haki wala sio msingi; kazi kwelikweli
 
Bunge la ccm hili na ndio maana linabariki vitu vya ajabu kila uchwao kwa wananchi bila huruma. kuna sheria kandamizi nyingi walibariki hili bunge la ccm
 


Waziri Masauni: Tendo la ndoa sio haki ya msingi kwa Wafungwa
Waziri wa Mambo ya Ndani Hamad Yussuf Masauni amesema mchakato wa haki ya faragha kwa wafungwa kukutana na wenza wao utaanza kutolewa pale ambapo mifumo ya kisheria na miundombinu ya magereza itakapokidhi kutolewa kwa haki hiyo.

Amesema pamoja na hivyo suala la tendo la ndoa ni haki ya mfungwa lakini si haki ya msingi, kwa kuwa haki za msingi ni chakula, mavazi na malazi.

Waziri Masauni amesema “Itakapofika muda wa kuanza mchakato huo tutazingatia mila, usalama, desturi za Watanzania, wakati wmingine siyo jambo zuri kila mtu kujua hawa wanaenda kufanya tendo la ndo.”


Watu wengi hawana muda na hilo bunge la majizi ya kura. Wenye nafasi wanafuatilia sherehe za kuapishwa kwa Ruto huko Kenya kwenye uchaguzi wa kweli.
 
Wasipojadili tozo.

Wananchi tutawakataa.
Nani kasema wanategemea kura Yako/ upige ama usipige watapita tu tena kwa kishindo.

Tunaposema tume huru muwe mnaelewa kwamba sio kwa faida ya CHADEMA au CUF ila hata kwa Wana CCM wanaotaka mabadiliko ambayo wameshindwa kuyapata ndani ya chama.
 


Waziri Masauni: Tendo la ndoa sio haki ya msingi kwa Wafungwa
Waziri wa Mambo ya Ndani Hamad Yussuf Masauni amesema mchakato wa haki ya faragha kwa wafungwa kukutana na wenza wao utaanza kutolewa pale ambapo mifumo ya kisheria na miundombinu ya magereza itakapokidhi kutolewa kwa haki hiyo.

Amesema pamoja na hivyo suala la tendo la ndoa ni haki ya mfungwa lakini si haki ya msingi, kwa kuwa haki za msingi ni chakula, mavazi na malazi.

Waziri Masauni amesema “Itakapofika muda wa kuanza mchakato huo tutazingatia mila, usalama, desturi za Watanzania, wakati wmingine siyo jambo zuri kila mtu kujua hawa wanaenda kufanya tendo la ndoa.”

ILa kwake yeye kufanya ngono ni sahihi?
 
Hivi hawa wabunge wakisimamishwa wote kazi kwa mwaka mzima....Kuna kitu kitashindwa kwenda?
 
Wanapenda kujadili mambo kama hayo tu

Ova
 
Vitu hovyo kabisa...wewe unajadili mambo ya kupelekeana moto wakati kama huu...ila hawa jamaa ni mizigo balaa..
 
Back
Top Bottom