Waziri Masauni tupunguzie Traffic Polisi barabarani


Mnataka traffic wapungue barabarani ili muendeshe magari vichwa vyenu vikiwa nje ya gari?
 
Ukipunguza unafiki na uzandiki utasaidia kupunguza ulemavu na vifo vitokanavyo na ajali na hutoona hakuna ulazima wa trafiki

We ni kilaza mmoja ambaye hujatembea hata nchi moja iliyoendelea.

Ajali za barabarani lawama zinatupwa kwa madereva tu, ukweli hausemwi barabara zetu ni mbaya, mbovu na nyembamba.

Uwepo wa trafiki hauna maana kabisa Serikali inajificha kwenye shamba la karanga.

Kuna nchi ukienda utakaa mwezi mzima na hutaona trafiki wala kusikia honi ya gari wala pikipiki.

Acheni rushwa tunajua mnapewa malengo ya kukusanya na kupelekea mabosi zenu gawio kila jioni, na mnaambiwa kila siku hakikisha umepiga faini gari zisizopungua 10.
 

Mnataka traffic wapungue barabarani ili muendeshe magari vichwa vyenu vikiwa nje ya gari?
Tunataka tufanye BIASHARA na tushindane na nchi Jirani huku tupunguze gharama za uendeshaji. Huu mradi wenu wa kukusanya fine bila kufanya kazi ni mwizi kuibia raia na makampuni na tunapinga rushwa. Hatutaki watoto wakue wakute rushwa ni halal sie tumefundishwa rushwa ni adui wa haki
 

Mnataka traffic wapungue barabarani ili muendeshe magari vichwa vyenu vikiwa nje ya gari?
Wanaondesha magari vibaya ni madereva wenu wa serikali na majeshi yenu wao hata afisa akiwa anaenda nyumba ndogo ni misafara na kutanua. Miundo mbinu yenu ni wizi mwendazake kajenga barabara njia 8 na bado Polisi wenu wanadangia humo humo
 
Njaa kali hao majamaa
 
Idadi ya traffic polisi inatakiwa kuongezeka ili wananchi waache ukondoo
Duh! Waongezeeni maarifa Hawa mlio nao kwanza wajitambue na waache rushwa. Wapeni technolojia makondoo ni Hao traffic wanasimamisha gari moja na wanauliza maswali hayo hayo katika vitu zaidi ya 20 ndani ya km 200. Hii nchi ni ya kwetu sote na tunajua hamtaki mawazo tofauti na yenu lakini lazima tuweke record Sawa kwamba tuliwakumbusha na mnachofanya tunakiona
 
Mkuu unanionea mimi. Siko huko
 
Maili Moja trafic,kiluvya traffic,kwa Komba traffic,Luguruni traffic,Temboni traffic,bucha traffic,, UBUNGO maji traffic kudadadeki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…