- Mengi na Masha, hawakututendea haki wananchi na taifa zima kwa ujumla, kwa sababu watuwazima wamekuja kutishiana nyau kwa expense yetu taifa na hasa sisi wananchi walalahoi, for what hasa?
- Mengi ametuhakikishia kwamba ni very powerful na anaweza kuitikisa serikali at any of his time na Masha ametuhakikishia tu kwamba hana uhakika na either sheria au mipaka ya kazi yake, kwa sababu kwa dataz nilizonazo ni kwamba alifikia mahali aliamuru Mengi akamatwe, lakini wakulu wa polisi aliowapa amri wakamcheka sana kwamba haitakuja kutokea, what an-embarrassment kwa waziri na serikali!
- In the end wananchi walalahoi ambao wengi tulikuwa tume-invest a lot in this sagga, tume-lost maana ni majuzi tu Mengi na Masha walikuwa mahali wakioengea na kucheka as nothing happened, nilijua Mchagga Mengi sio rahisi kumdhuru kijana aliyeoa mtoto wa Mareale Chifu wa wachagga, kamwe haitakuja kutokea maana Mengi atapita wapi huko Uchaggani?
Turudi tu backo to the really ishus za taifa! maana aliyejuu labda umfuatie huko huko juu, yale ya zamani ya kumngojea chini hashuki ng'o maana anaweza kutumia parachute asianguke! Tunamuombea Mengi aendele kusaidia wananchi wanyonge kama anavyofanya, maana kwenye hilo atalipwa na Mungu tu, ingawa kwenye ishu ya Masilingi hakuwa mkweli na what real went down!.