Waziri Mchengerwa amsimamisha kazi Mkurugenzi wa Busega, kupisha Uchunguzi wa tuhuma zinazomkabili

Wakati mwingine ni ujinga na upumbavu wa hao maDED....unawezaje kufanya kazi bila ya kushirikiana wenzako ?!!! [emoji15][emoji15][emoji15][emoji1787]

Hata mfalme anashirikisha watu....

Watu aina ya huyo DED hawatufai hata chembe....

KIBURI
 
Tembea taratibu,huyu mama aliwahi nitishia kuwa hawezi nipa ukuu wa shule kisa nimetofautiana naye kimtazamo,hatari sana yaani
Kumbe wewe ndiye yule ticha smart kichwani ?!!! [emoji1787][emoji1787]

Kongole komredi[emoji120]

Unastahili makubwa zaidi ya ulipo....
 
Huyo sayore ni mtoto wake au mkwe??
 
Drama as usual.

Aliyesaini Mkataba wa DP World yupo ofisini na walinzi kibao. Anapaswa aanze kujitathmini yeye na kukaa pembeni kisha mengine yafuatie
 
Katika nchi iliyo-oza hii nadhani hii is fighting a loosing better.Anyway, I wish him all the best.Uwajibikaji unatakiwa kuanzia juu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…