Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Waziri Mchengerwa ametoa agizo hilo jijini Dodoma alipofanya ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo hilo leo tarehe 14.03.2025.
Mhe. Mchengerwa amemtaka mkandarasi huyo kuhakikisha kazi inafanyika kwa ufanisi usiku na mchana bila visingizio vyovyote.
Kwa upande wake, Mkandarasi anayetekeleza mradi huo kutoka Vikosi vya Ujenzi, Mhandisi Deogratius Japhet, ameahidi kutekeleza agizo hilo na kuhakikisha ujenzi unakamilika kwa wakati.