Waziri Mchengerwa atoa miezi miwili kwa mkandarasi kukamilisha jengo la TAMISEMI

Waziri Mchengerwa atoa miezi miwili kwa mkandarasi kukamilisha jengo la TAMISEMI

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohammed Mchengerwa amempa mkandarasi anayejenga jengo la TAMISEMI katika Mji wa Serikali Mtumba, Dodoma miezi miwili kuhakikisha anakamilisha ujenzi, ili ifikapo Juni Mosi mwaka huu jengo hilo lianze kutumika rasmi.

Waziri Mchengerwa ametoa agizo hilo jijini Dodoma alipofanya ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo hilo leo tarehe 14.03.2025.

Mhe. Mchengerwa amemtaka mkandarasi huyo kuhakikisha kazi inafanyika kwa ufanisi usiku na mchana bila visingizio vyovyote.

Kwa upande wake, Mkandarasi anayetekeleza mradi huo kutoka Vikosi vya Ujenzi, Mhandisi Deogratius Japhet, ameahidi kutekeleza agizo hilo na kuhakikisha ujenzi unakamilika kwa wakati.
Snapinst.app_483839964_18368383945193701_783705994623631910_n_1080.jpg

Snapinst.app_484021534_18368383996193701_8145364911385204978_n_1080.jpg

Snapinst.app_484070810_18368383927193701_3022662312583275105_n_1080.jpg
 

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohammed Mchengerwa amempa mkandarasi anayejenga jengo la TAMISEMI katika Mji wa Serikali Mtumba, Dodoma miezi miwili kuhakikisha anakamilisha ujenzi, ili ifikapo Juni Mosi mwaka huu jengo hilo lianze kutumika rasmi.

Waziri Mchengerwa ametoa agizo hilo jijini Dodoma alipofanya ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo hilo leo tarehe 14.03.2025.

Mhe. Mchengerwa amemtaka mkandarasi huyo kuhakikisha kazi inafanyika kwa ufanisi usiku na mchana bila visingizio vyovyote.

Kwa upande wake, Mkandarasi anayetekeleza mradi huo kutoka Vikosi vya Ujenzi, Mhandisi Deogratius Japhet, ameahidi kutekeleza agizo hilo na kuhakikisha ujenzi unakamilika kwa wakati.
Oooh! Leo ni Tarehe 14.03.2025?
 
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohammed Mchengerwa amempa mkandarasi anayejenga jengo la TAMISEMI katika Mji wa Serikali Mtumba, Dodoma miezi miwili kuhakikisha anakamilisha ujenzi, ili ifikapo Juni Mosi mwaka huu jengo hilo lianze kutumika rasmi.

Waziri Mchengerwa ametoa agizo hilo jijini Dodoma alipofanya ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo hilo leo tarehe 14.03.2025.

Mhe. Mchengerwa amemtaka mkandarasi huyo kuhakikisha kazi inafanyika kwa ufanisi usiku na mchana bila visingizio vyovyote.

Kwa upande wake, Mkandarasi anayetekeleza mradi huo kutoka Vikosi vya Ujenzi, Mhandisi Deogratius Japhet, ameahidi kutekeleza agizo hilo na kuhakikisha ujenzi unakamilika kwa wakati.
Hiyo Magufuli city mbona imejengwa kizamani sana design ya kale? wangeenda pale Cairo wakachukue madini hata kidogo namna ya kujenga New Administrative Capital, halafu mbona wameruhusu nyumba za waswahili hapo jirani naona zinajaa taratibu.
 
Back
Top Bottom