Waziri Mchengerwa kufanya Mkutano na Vyombo vya Habari asubuhi ya leo 30/5/2024

Waziri Mchengerwa kufanya Mkutano na Vyombo vya Habari asubuhi ya leo 30/5/2024

BWANKU M BWANKU

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
377
Reaction score
435
20240530_061512.jpg

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. Mohamed Mchengerwa (Mtu Kazi) asubuhi hii ya leo Alhamisi Mei 30, 2024 atakuwa na Mkutano na Vyombo vya Habari katika Ukumbi wa Video Conference katika Jengo la Sokoine- TAMISEMI Dodoma. Mkutano utaanza saa 5 asubuhi hii.

Watanzania wote mnasisitizwa sana kufuatilia.
 
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. Mohamed Mchengerwa (Mtu Kazi) asubuhi hii ya leo Alhamisi Mei 30, 2024 atakuwa na Mkutano na Vyombo vya Habari katika Ukumbi wa Video Conference katika Jengo la Sokoine- TAMISEMI Dodoma. Mkutano utaanza saa 5 asubuhi hii.

Watanzania wote mnasisitizwa sana kufuatilia.
Ataongelea uchafuzi wa serikali za mitaa na kufungua dirisha la kutuma maombi ya ajira kiduchu. Ataleta longolongo kidogo kwenye suala la lile bwawa na hali ya Rufiji kwa sasa.
 
Naona makonda kawaficha hawa wote 😄
Eh kumbe mawaziri wapo
Maana wanaosikika mawaziri ni slaa na mkuu mkoa makonda
Haha,au Tlaatlaah unasemajemwanangu

ova
 
Naona makonda kawaficha hawa wote 😄
Eh kumbe mawaziri wapo
Maana wanaosikika mawaziri ni slaa na mkuu mkoa makonda
Haha,au Tlaatlaah unasemajemwanangu

ova
mim sifahamu hilo unalodhani...

ninachojua ni kwamba mawaziri wote wa serikali sikivu ya CCM, chini ya Rais na kiongozi wetu wa nchi, comrade Dr Samia Suluhu Hassan wanafanya kazi na majukumu yao vizuri sana, kwa weledi, mkubwa kuambatana na ilani ya uchaguzi ya ccm na maelekezo ya Rais....

kipekee zaidi,
kuambatana na viongozi wengine Paul Christian Makonda na Jerry Silaa wamekua wakitekeleza wajibu wao, kwa wanainch, kwa aina na mitindo tofauti, na ya kipekee sana ukilinganisha na viongozi wengine, tena bila kuvunja sheria wala katiba ya nchi , ispokua kuchochea uwazi na uwajibikaji 🐒
 
mim sifahamu hilo unalodhani...

ninachojua ni kwamba mawaziri wote wa serikali sikivu ya CCM, chini ya Rais na kiongozi wetu wa nchi, comrade Dr Samia Suluhu Hassan wanafanya kazi na majukumu yao vizuri sana, kwa weledi, mkubwa kuambatana na ilani ya uchaguzi ya ccm na maelekezo ya Rais....

kipekee zaidi,
kuambatana na viongozi wengine Paul Christian Makonda na Jerry Silaa wamekua wakitekeleza wajibu wao, kwa aina na mitindo tofauti, na ya kipekee sana ukilinganisha na viongozi wengine, tena bila kuvunja sheria wala katika ya nchi , ispokua kuchochea uwazi na uwajibikaji 🐒
Hufahamu nini, mbona kama unaogopa 😄

Ova
 
Mh Waziri Mchengerwa, ikupendeza utolee MAAMUZI/TAMKO suala la UHAMISHO wa Wafanyakazi kwa mwezi huu wa JUNE,2024...wafanyakazi wamekata tamaa
 
H

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. Mohamed Mchengerwa (Mtu Kazi) asubuhi hii ya leo Alhamisi Mei 30, 2024 atakuwa na Mkutano na Vyombo vya Habari katika Ukumbi wa Video Conference katika Jengo la Sokoine- TAMISEMI Dodoma. Mkutano utaanza saa 5 asubuhi hii.

Watanzania wote mnasisitizwa sana kufuatilia.
Hapo tutarajie ngonjera za kumsifu Mwenyekiti!
 
Huyu tuliambiwa ana kifua kipana, anafaidi binti yetu

Labda ameishatunga kanuni za uchavuzi wa serikari ya mtaa
Anataka kutoa taarifa

Au anatafuta jukwaa la kumsifia mkwe
Mkwe Atatajwa kuliko aichodhamiria kukisema, sijui hii formula wamelazimwa na ccm
 
Back
Top Bottom