Waziri Mchengerwa kufanya Mkutano na Vyombo vya Habari asubuhi ya leo 30/5/2024

Waziri Mchengerwa kufanya Mkutano na Vyombo vya Habari asubuhi ya leo 30/5/2024

Huyu tuliambiwa ana kifua kipana, anafaidi binti yetu

Labda ameishatunga kanuni za uchavuzi wa serikari ya mtaa
Anataka kutoa taarifa

Au anatafuta jukwaa la kumsifia mkwe
Mkwe Atatajwa kuliko aichodhamiria kukisema, sijui hii formula wamelazimwa na ccm
Hii ndiyo lengo kuu
 
Back
Top Bottom