Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Ni majangili haswaHii sentence iwafikie kwa ukubwa sana miguru kwa kuwafanya WaTz mavuno bila kupanda. Imfikie kwa ukubwa wa kati February hawa ni sehemu siwakubali kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni majangili haswaHii sentence iwafikie kwa ukubwa sana miguru kwa kuwafanya WaTz mavuno bila kupanda. Imfikie kwa ukubwa wa kati February hawa ni sehemu siwakubali kabisa
Hii ndiyo lengo kuuHuyu tuliambiwa ana kifua kipana, anafaidi binti yetu
Labda ameishatunga kanuni za uchavuzi wa serikari ya mtaa
Anataka kutoa taarifa
Au anatafuta jukwaa la kumsifia mkwe
Mkwe Atatajwa kuliko aichodhamiria kukisema, sijui hii formula wamelazimwa na ccm
Muda mwingi atatumia kumsifia mama mkweAtaongelea uchafuzi wa serikali za mitaa na kufungua dirisha la kutuma maombi ya ajira kiduchu. Ataleta longolongo kidogo kwenye suala la lile bwawa na hali ya Rufiji kwa sasa.
Mama mkwe not MwenyekitiH
Hapo tutarajie ngonjera za kumsifu Mwenyekiti!