LGE2024 Waziri Mchengerwa: Vyama vingine viendelee kujiimarisha

LGE2024 Waziri Mchengerwa: Vyama vingine viendelee kujiimarisha

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa, amepongeza vyama 19 vya siasa kwa kushiriki kwa uwazi na utulivu katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa mwaka 2024, licha ya baadhi yao kushindwa kupata nafasi mbalimbali za uongozi.

Akizungumza Novemba 28, 2024, jijini Dodoma wakati wa kutangaza matokeo ya jumla ya uchaguzi huo, Mchengerwa amrwataka wanasiasa kuendelea kushikamana na kujiimarisha kwa chaguzi zijazo, akisisitiza umuhimu wa mshikamano katika kukuza demokrasia ya nchi.

Pia, Soma: CCM yashinda 98.83% Wenyeviti Serikali za Mitaa

Aidha, amewataka viongozi wa vyama hivyo na wanachama wao kuendelea kushirikiana katika kulijenga taifa kwa kuzingatia uzalendo, huku akiwakumbusha kuwa uchaguzi huu ni hatua moja kati ya chaguzi nyingi zinazofuata.
 
Mmhhh ..! Ndo maana sikutaka kujiangaisha kwenda kupiga kura.
 
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa, amepongeza vyama 19 vya siasa kwa kushiriki kwa uwazi na utulivu katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa mwaka 2024, licha ya baadhi yao kushindwa kupata nafasi mbalimbali za uongozi.

Akizungumza Novemba 28, 2024, jijini Dodoma wakati wa kutangaza matokeo ya jumla ya uchaguzi huo, Mchengerwa amrwataka wanasiasa kuendelea kushikamana na kujiimarisha kwa chaguzi zijazo, akisisitiza umuhimu wa mshikamano katika kukuza demokrasia ya nchi.

Pia, Soma: CCM yashinda 98.83% Wenyeviti Serikali za Mitaa

Aidha, amewataka viongozi wa vyama hivyo na wanachama wao kuendelea kushirikiana katika kulijenga taifa kwa kuzingatia uzalendo, huku akiwakumbusha kuwa uchaguzi huu ni hatua moja kati ya chaguzi nyingi zinazofuata.
View attachment 3164824
Hii ni kejeli kabisa yaani ushirikiane na wezi wa kura?
 
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa, amepongeza vyama 19 vya siasa kwa kushiriki kwa uwazi na utulivu katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa mwaka 2024, licha ya baadhi yao kushindwa kupata nafasi mbalimbali za uongozi.

Akizungumza Novemba 28, 2024, jijini Dodoma wakati wa kutangaza matokeo ya jumla ya uchaguzi huo, Mchengerwa amrwataka wanasiasa kuendelea kushikamana na kujiimarisha kwa chaguzi zijazo, akisisitiza umuhimu wa mshikamano katika kukuza demokrasia ya nchi.

Pia, Soma: CCM yashinda 98.83% Wenyeviti Serikali za Mitaa

Aidha, amewataka viongozi wa vyama hivyo na wanachama wao kuendelea kushirikiana katika kulijenga taifa kwa kuzingatia uzalendo, huku akiwakumbusha kuwa uchaguzi huu ni hatua moja kati ya chaguzi nyingi zinazofuata.
Watu wameuwawa, waneumizwa yeye bado anasema uchaguzi ulikuwa tulivu?
 
Watu wameuwawa, waneumizwa yeye bado anasema uchaguzi ulikuwa tulivu?
Huyu ni wakala wa shetani.

Wananchi tusitoe ushirikiano wowote kwa hawa mashetani wanaoumiza na kuua watu kwa sababu ya vyeo.

Mungu mwenye huruma na muweza wa yote, kisasi juu ya hawa na wana hadi wana wa wana wao, wanaodhulumu haki za watu wengine hadi kuwaua, ni juu yako, BWANA, tunaomba na kushukuru.
 
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa, amepongeza vyama 19 vya siasa kwa kushiriki kwa uwazi na utulivu katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa mwaka 2024, licha ya baadhi yao kushindwa kupata nafasi mbalimbali za uongozi.

Akizungumza Novemba 28, 2024, jijini Dodoma wakati wa kutangaza matokeo ya jumla ya uchaguzi huo, Mchengerwa amrwataka wanasiasa kuendelea kushikamana na kujiimarisha kwa chaguzi zijazo, akisisitiza umuhimu wa mshikamano katika kukuza demokrasia ya nchi.

Pia, Soma: CCM yashinda 98.83% Wenyeviti Serikali za Mitaa

Aidha, amewataka viongozi wa vyama hivyo na wanachama wao kuendelea kushirikiana katika kulijenga taifa kwa kuzingatia uzalendo, huku akiwakumbusha kuwa uchaguzi huu ni hatua moja kati ya chaguzi nyingi zinazofuata.

Huyu MKWE MWENYE KIFUA KIPANA ajue hayo anayoyafanya yana mwisho wake.

Kazi aliyoifanya safari hii ni UBAKAJI ..... UBAKAJI wa Demokrasia!!
 
Kuna viongozi wakubwa wa CCM hawatauona uchaguzi wa 2025. Na iwe kama nilivyofunuliwa.
 
Back
Top Bottom