Waziri Mhagama kiokoe Chuo cha Utumishi wa Umma

Waziri Mhagama kiokoe Chuo cha Utumishi wa Umma

Lijendali

New Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
4
Reaction score
9
Mheshimiwa waziri Mhagama , kwanza nikupongeze kwa jitihada zako za kuujenga na kuuendeleza utumishi wa umma Tanzania. Natambua wewe ni mwanamama shupavu ndio maana Rais wetu ameendelea kukuamini.

Nikiwa kama mdau mkubwa wa utumishi wa umma naomba kuelekeza kwako kilio change cha kukuomba uingile Katina kukiokoa chuo cha utumishi wa umma taasisi ambayo ni kiungo muhimu katika kendeleza na kuboresha utumishi waumma Tanzania. Mh. Waziri ikumbukwe kuwa, chuo hiki ni wakala wa serikali kilichoanzishwa mwaka 2000. Uanzishwaji wake ulilenga kusaidia maboresho katika utumishi wa umma yaani Public Service Reform Program. Lengo Mahsusi lilikuwa ni kujengea uwezo utumishi wa umma ili uwe wenye matokeo katika kutoa huduma bora kwa umma.

Mh. Waziri labda kwa kuweka kumbukumbu sawa majukumu ya chuo cha utumishi wa umma Tanzania yameainishwa katika notisi ya serikali Na. 473 iliyochapishwa tarehe 15 Desemba,2000. Majukumu hayo ni kama ifuatavyo.
  • Kuendeleza ujuzi, maarifa nauelewa wawatumishi waumma katika maeneo ya menejimenti, utawala, uongozi, na uendeshaji wa ofisi
  • Kutoa shauri za kitaalamu katika maeneo ya menejimenti,utawala, uongozi na uendeshaji wa ofisi
  • Kutoa maarifa juu ya utendaji bora katika utumishi wa umma kwa kufanya tafiti
  • Kuendeleza ujuzi katika maeneoya Teknolojia ya habari na mawasiliano
  • Kusimamiana kuendesha mafunzo elekezi yaani induction program
  • Kufanya mapitio na kuendesha mitihani ya utumishi wa umma yaani public service examinations na
  • Kutunuku vyeti katika ngazi ya stashahada na cheti kwa wahitimu waliofuzu mafunzo
Mpaka sasa chuo cha utumishi wa umma kimejikita katika jukumu moja tu ambalo ni kutunuku vyeti kwa wahitimu wa mafunzo ya muda mrefu yaani stashahada na cheti huku majukumu mengine ya msingi yakisuasua.

Mathalani kwa kipindi cha zaidi ya miaka mitatu sasa chuo hakijafanya tafiti hata moja wala kutoa shauri za kitaalamu kwa utumishi wa umma. Hii hupelekea hata baadhi ya mafunzo ya muda mfupi kuripotiwa kama shauri za kitaalamu.

Mafunzo ya muda mfupi hayafanyiki inavyotakiwa kutokana na idadi ndogo sana ya waajiri kuleta watumishi wao chuo cha utumishi wa umma kutokana na chuo kukosa weledi wa utoaji wa mafunzo hayo hivyo kukimbilia kwa washindani.

Chuo kimekuwa kikikabiliwa na ukata mkubwa sana wa kifedha hii ni kutokana na kutokufanya vizuri kwa majukumu yake ya msingi ambayo ndio vyanzo vya mapato. Mathalani kwa sasa kuna idadi kubwa ya watumishi hawajalipwa madai yao mbalimbali kama vile likizo pesa ya chakula, pesa za mitihani na mafunzo ya muda mfupi, na malipo ya wazabuni. Kwa ujumlakuna madeni mengi sana hayajalipwa na chuo hakina fedha kinasubiri udahili wa wanafunzi wapya mwezi Novemba mwaka huu.

Hali katika matawi yake ni mbaya hakuna huduma yeyote itolewayo kwa sasa, baadhi ya kampasi wameshindwa hata kulipa huduma za msingi kama vile maji na internet au hata kutengeneza kitasa cha mlango kutokana na uhaba wa fedha.

Katika kutekeleza majukumu yake vizuri chuo kilianzisha Public sector journal ambayo kwa kipindi cha zaidi ya miaka mitatu sasa hakijatoa issue hata moja. Kwa maelezo haya mh. Waziri chuo kina hali mbaya na hakikidhi haja ya uanzishwaji wake hivyo jitihada za makusudi zinahitajika ili kiweze kurudi katika hali yake.

Nini sababu ya changamoto hizi?
Mh. Waziri changamoto kubwa iliyopelekea chuo kufikia hapa ni aina ya uongozi wa chuo uliokosa weledi wa kuongoza wakala hii na hapa nitatoa viashiria kadhaa vinavyoonesha ni kwa jinsi gani uongozi uliopo unakwamisha maendeleo ya chuo.
  • Mh. Waziri watumishi wa chuo wananyanyasika sana na uongozi uliopo kwa sasa. Wengi wanaishi bila kujua kesho yao hasa kutokana na kuhamishwa hamishwa kusikokuwa na tija, kutukanwa, kuzarauliwa,kubaguliwa kwa dini hasa ikizingatiwa mtendaji mkuu ni msabato hivyo watumishi wasabato wamekuwa wakipewa vipaumbele sana katika maamuzi mbalimbali hata nafasi nyingi zimeshikwa na wao. Kuhamisha hamisha watumishi kumewapelekea watumishiwengi kukumbwa na msongo wa mawazo hadi kupelekea kupoteza maisha kwa mtumishi mmoja wa kampasi ya Mbeya hivi karibuni. Licha ya kusababisha usumbufu mkubwa kwa watumishi jambo hili limekuwa likikigharimu chuo kutokana nagharama za uhamisho.
  • Kuhama kwa watumishi wengi ambao walikuwa chachu ya maendeleo ya chuo hasa katika maeneo ya tafiti na shauri za kitaalamu. Mathalani kwa kipindi cha miaka mitatu iliyopita watumishi Dr. Pilieli alihamia TIA, Dr. Enotha TIE, DR. Nguvava ITA, Dr.Hassanali TIA, DR. Lufunyo chuo cha bandari, Dr. Marijani UDOM, DR. Maiga TIA, Dr. Nchimbi MUcoBS, Dr. Mirambo, DIT na Dr Mambo OUT. Hao ni baadhi tu ya magwiji waliohama chuo lakini kuna zaidi ya watumishi 70 walihama taasisi hiyo na kuhamia taasisi mbalimbali kwa kipindi chamuda mfupi na kukiacha chuo katika wakati mgumu.
  • Watumishi wengi waliopo kwa sasa wanakosa weledi wa kutoa shauri za kitaalamu,mafunzo na tafiti hasa kutokana na sababukwamba hakuna mafunzo ya kuwajengea uwezo yanayofanyika pia mtendaji mkuu kwa zaidi ya miaka mitatu sasa amefuta ruhusa zakwenda masomoni kwa watumishi waliopo. Pia idadi kubwa ya watumishi waliopowamehamia kutoa wizara mbalimbali hasa wizara ya elimu yaaani walimu wa sekondari hivyo wanauelewa mdogo sana juu ya utumishi wa umma.
  • Matumizi mabaya ya fedha za chuo hasa kuhudumia kwaya, safari zisizo na lazima kwa viongozi hasa mtendaji mkuu. Inasemekama amejijengea ghorofa kubwa kigamboni lililosimamiwa na meneja wa Manunuzi Mr. Johanus wakati kabla ya kupata uongozo alikuwa hana hata kiwanja. Pia chuo kimekuwa kikilipia mikutano mbalimbali ya kanisa analosali mtendaji mkuu.
  • Viongozi wasaidizi kutomshauri mtendaji mkuu vizuri. Kwa lengo lakuhakikisha kwamba anawaziba midomo wasaidizi wake amekuwa akiwateua watu anaowamudu mathalani makamu mkuu wa chuo taaluma katika kipindi chote cha utumishi wake alikuwa afisa lasimali watu Mzumbe University ndio ameteuliwa kuwa makamu mkuu wa chuo taaluma.ni hatari sana mtu ambaye hana uzoefu wa taaluma kuja kusimamia taaluma.
  • Mtendaji mkuu amekuwa akitumia madaraka yake vibaya hasa kujipandisha cheo kutoka mhsdhiri kuwa mhadhiri mwandamizi kwa kuielekeza kamati ya taaluma impandishe kwa kuwa ameandika kitabu cha kumsifu Magufuli. Mbali na kitabu hicho kukosa maudhui ya utumishi umma kitabu hicho hakijawahi kusomwa na mtu yeyote zaidi ya wajumbe wa kamati ya taaluma.
  • Pia kwa muda mrefu sasa chuo hakina ushirikiano mzuri wa watendaji wa wizara hasa katibu mkuu hivyo kukosa mambo ya msingi ikizingatiwa kwamba ili chuo kifanye vizuri ni muhimu kuwa na ushirikiano mzuri na wizara.
  • nini kifanyike?
Mh. waziri chuo cha utumishi waumma kina majeraha mengi sana. Na kinahitaji uponyaji hasa katika eneo la uongozi. Hali sio nzuri ikikupendezaunda tume iwahoji watumishi wa chuo juu ya mambo mbalimbali yaliyozungumzwa humu kujua ukweli wake. Chuo hiki nimuhimu sanakatika kujenga utumishi wa umma ulio na tija na wenye kujali matokeo katika kutoa huduma kwa umma.
 
Idugunde hata wewe hujawahi kukisoma kitabu tajwa hapa?

"Mtendaji mkuu amekuwa akitumia madaraka yake vibaya hasa kujipandisha cheo kutoka mhsdhiri kuwa mhadhiri mwandamizi kwa kuielekeza kamati ya taaluma impandishe kwa kuwa ameandika kitabu cha kumsifu Magufuli. Mbali na kitabu hicho kukosa maudhui ya utumishi umma kitabu hicho hakijawahi kusomwa na mtu yeyote zaidi ya wajumbe wa kamati ya taaluma."

Hiiiiii bagosha!
 
Mheshimiwa waziri Mhagama , kwanza nikupongeze kwa jitihada zako za kuujenga na kuuendeleza utumishi wa umma Tanzania. Natambua wewe ni mwanamama shupavu ndio maana Rais wetu ameendelea kukuamini.

Nikiwa kama mdau mkubwa wa utumishi wa umma naomba kuelekeza kwako kilio change cha kukuomba uingile Katina kukiokoa chuo cha utumishi wa umma taasisi ambayo ni kiungo muhimu katika kendeleza na kuboresha utumishi waumma Tanzania. Mh. Waziri ikumbukwe kuwa, chuo hiki ni wakala wa serikali kilichoanzishwa mwaka 2000. Uanzishwaji wake ulilenga kusaidia maboresho katika utumishi wa umma yaani Public Service Reform Program. Lengo Mahsusi lilikuwa ni kujengea uwezo utumishi wa umma ili uwe wenye matokeo katika kutoa huduma bora kwa umma.

Mh. Waziri labda kwa kuweka kumbukumbu sawa majukumu ya chuo cha utumishi wa umma Tanzania yameainishwa katika notisi ya serikali Na. 473 iliyochapishwa tarehe 15 Desemba,2000. Majukumu hayo ni kama ifuatavyo.
  • Kuendeleza ujuzi, maarifa nauelewa wawatumishi waumma katika maeneo ya menejimenti, utawala, uongozi, na uendeshaji wa ofisi
  • Kutoa shauri za kitaalamu katika maeneo ya menejimenti,utawala, uongozi na uendeshaji wa ofisi
  • Kutoa maarifa juu ya utendaji bora katika utumishi wa umma kwa kufanya tafiti
  • Kuendeleza ujuzi katika maeneoya Teknolojia ya habari na mawasiliano
  • Kusimamiana kuendesha mafunzo elekezi yaani induction program
  • Kufanya mapitio na kuendesha mitihani ya utumishi wa umma yaani public service examinations na
  • Kutunuku vyeti katika ngazi ya stashahada na cheti kwa wahitimu waliofuzu mafunzo
Mpaka sasa chuo cha utumishi wa umma kimejikita katika jukumu moja tu ambalo ni kutunuku vyeti kwa wahitimu wa mafunzo ya muda mrefu yaani stashahada na cheti huku majukumu mengine ya msingi yakisuasua.

Mathalani kwa kipindi cha zaidi ya miaka mitatu sasa chuo hakijafanya tafiti hata moja wala kutoa shauri za kitaalamu kwa utumishi wa umma. Hii hupelekea hata baadhi ya mafunzo ya muda mfupi kuripotiwa kama shauri za kitaalamu.

Mafunzo ya muda mfupi hayafanyiki inavyotakiwa kutokana na idadi ndogo sana ya waajiri kuleta watumishi wao chuo cha utumishi wa umma kutokana na chuo kukosa weledi wa utoaji wa mafunzo hayo hivyo kukimbilia kwa washindani.

Chuo kimekuwa kikikabiliwa na ukata mkubwa sana wa kifedha hii ni kutokana na kutokufanya vizuri kwa majukumu yake ya msingi ambayo ndio vyanzo vya mapato. Mathalani kwa sasa kuna idadi kubwa ya watumishi hawajalipwa madai yao mbalimbali kama vile likizo pesa ya chakula, pesa za mitihani na mafunzo ya muda mfupi, na malipo ya wazabuni. Kwa ujumlakuna madeni mengi sana hayajalipwa na chuo hakina fedha kinasubiri udahili wa wanafunzi wapya mwezi Novemba mwaka huu.

Hali katika matawi yake ni mbaya hakuna huduma yeyote itolewayo kwa sasa, baadhi ya kampasi wameshindwa hata kulipa huduma za msingi kama vile maji na internet au hata kutengeneza kitasa cha mlango kutokana na uhaba wa fedha.

Katika kutekeleza majukumu yake vizuri chuo kilianzisha Public sector journal ambayo kwa kipindi cha zaidi ya miaka mitatu sasa hakijatoa issue hata moja. Kwa maelezo haya mh. Waziri chuo kina hali mbaya na hakikidhi haja ya uanzishwaji wake hivyo jitihada za makusudi zinahitajika ili kiweze kurudi katika hali yake.

Nini sababu ya changamoto hizi?
Mh. Waziri changamoto kubwa iliyopelekea chuo kufikia hapa ni aina ya uongozi wa chuo uliokosa weledi wa kuongoza wakala hii na hapa nitatoa viashiria kadhaa vinavyoonesha ni kwa jinsi gani uongozi uliopo unakwamisha maendeleo ya chuo.
  • Mh. Waziri watumishi wa chuo wananyanyasika sana na uongozi uliopo kwa sasa. Wengi wanaishi bila kujua kesho yao hasa kutokana na kuhamishwa hamishwa kusikokuwa na tija, kutukanwa, kuzarauliwa,kubaguliwa kwa dini hasa ikizingatiwa mtendaji mkuu ni msabato hivyo watumishi wasabato wamekuwa wakipewa vipaumbele sana katika maamuzi mbalimbali hata nafasi nyingi zimeshikwa na wao. Kuhamisha hamisha watumishi kumewapelekea watumishiwengi kukumbwa na msongo wa mawazo hadi kupelekea kupoteza maisha kwa mtumishi mmoja wa kampasi ya Mbeya hivi karibuni. Licha ya kusababisha usumbufu mkubwa kwa watumishi jambo hili limekuwa likikigharimu chuo kutokana nagharama za uhamisho.
  • Kuhama kwa watumishi wengi ambao walikuwa chachu ya maendeleo ya chuo hasa katika maeneo ya tafiti na shauri za kitaalamu. Mathalani kwa kipindi cha miaka mitatu iliyopita watumishi Dr. Pilieli alihamia TIA, Dr. Enotha TIE, DR. Nguvava ITA, Dr.Hassanali TIA, DR. Lufunyo chuo cha bandari, Dr. Marijani UDOM, DR. Maiga TIA, Dr. Nchimbi MUcoBS, Dr. Mirambo, DIT na Dr Mambo OUT. Hao ni baadhi tu ya magwiji waliohama chuo lakini kuna zaidi ya watumishi 70 walihama taasisi hiyo na kuhamia taasisi mbalimbali kwa kipindi chamuda mfupi na kukiacha chuo katika wakati mgumu.
  • Watumishi wengi waliopo kwa sasa wanakosa weledi wa kutoa shauri za kitaalamu,mafunzo na tafiti hasa kutokana na sababukwamba hakuna mafunzo ya kuwajengea uwezo yanayofanyika pia mtendaji mkuu kwa zaidi ya miaka mitatu sasa amefuta ruhusa zakwenda masomoni kwa watumishi waliopo. Pia idadi kubwa ya watumishi waliopowamehamia kutoa wizara mbalimbali hasa wizara ya elimu yaaani walimu wa sekondari hivyo wanauelewa mdogo sana juu ya utumishi wa umma.
  • Matumizi mabaya ya fedha za chuo hasa kuhudumia kwaya, safari zisizo na lazima kwa viongozi hasa mtendaji mkuu. Inasemekama amejijengea ghorofa kubwa kigamboni lililosimamiwa na meneja wa Manunuzi Mr. Johanus wakati kabla ya kupata uongozo alikuwa hana hata kiwanja. Pia chuo kimekuwa kikilipia mikutano mbalimbali ya kanisa analosali mtendaji mkuu.
  • Viongozi wasaidizi kutomshauri mtendaji mkuu vizuri. Kwa lengo lakuhakikisha kwamba anawaziba midomo wasaidizi wake amekuwa akiwateua watu anaowamudu mathalani makamu mkuu wa chuo taaluma katika kipindi chote cha utumishi wake alikuwa afisa lasimali watu Mzumbe University ndio ameteuliwa kuwa makamu mkuu wa chuo taaluma.ni hatari sana mtu ambaye hana uzoefu wa taaluma kuja kusimamia taaluma.
  • Mtendaji mkuu amekuwa akitumia madaraka yake vibaya hasa kujipandisha cheo kutoka mhsdhiri kuwa mhadhiri mwandamizi kwa kuielekeza kamati ya taaluma impandishe kwa kuwa ameandika kitabu cha kumsifu Magufuli. Mbali na kitabu hicho kukosa maudhui ya utumishi umma kitabu hicho hakijawahi kusomwa na mtu yeyote zaidi ya wajumbe wa kamati ya taaluma.
  • Pia kwa muda mrefu sasa chuo hakina ushirikiano mzuri wa watendaji wa wizara hasa katibu mkuu hivyo kukosa mambo ya msingi ikizingatiwa kwamba ili chuo kifanye vizuri ni muhimu kuwa na ushirikiano mzuri na wizara.
  • nini kifanyike?
Mh. waziri chuo cha utumishi waumma kina majeraha mengi sana. Na kinahitaji uponyaji hasa katika eneo la uongozi. Hali sio nzuri ikikupendezaunda tume iwahoji watumishi wa chuo juu ya mambo mbalimbali yaliyozungumzwa humu kujua ukweli wake. Chuo hiki nimuhimu sanakatika kujenga utumishi wa umma ulio na tija na wenye kujali matokeo katika kutoa huduma kwa umma.
Kwakweli chuo kiko katika kipindi kigumu sana, uongozi wake wa juu unanyanyasa sana watumishi kwenye maslahi yao. Mtendaji mkuu amewateua wakuu wa Kampasi ambao wanamsikiliza yeye kwa chochote anachoamua. Mfano: Mkuu wa kampasi ya Singida ana uelewa wa kutosha hivyo hakubaliani na mtendaji mkuu, hali iliyopelekea kutaka kumtoa kwenye hiyo nafasi.

Baada ya kupata taarifa kuhusu kutolewa kwake( mkuu wa Kampasi ya Singida) kwenye hiyo nafasi bila sababu za msingi, alipeleka malalamiko yake Utumishi. Ikaamliwa mtendaji mkuu asitishe mabadiliko hayo mpaka Utumishi itakapo jiridhisha juu ya suala hilo (kwa hiyo Utumishi wanamjua vema mtendaji mkuu)

Mkuu wa Kampasi ya Dar Es salaam naye hakubaliani kabisa na mambo ya mtendaji mkuu hali iliyopelekea kuchukiwa sana na bosi wake. Mtendaji mkuu amekuwa akitishia kumtoa kwenye hiyo nafasi lakini anashindwa kwa kuwa hakuna sababu za msingi za kufanya hivyo.

Mkuu wa kampasi ya Tabora naye hufuata maelekezo yote yatolewayo na mtendaji mkuu hata kama yanawakandamiza watumishi wake. Hawezi kuwatetea watumishi hata siku moja, huchelewesha malipo ya watumishi ili pesa iweze kutumika kusafirisha kwaya ya mtendaji mkuu iende kuwasifu wanasiasa ili aonekane ni mtu wa maana. Mkuu huyu wa Kampasi kwa sasa ameamua kunyanyasa wazi wazi mhasibu wake kwa kumsingizia kutoa hela kiasi cha 15,000,000 kwenye akaunti ya kampasi ili hali pesa hiyo aliipitisha mwenyewe (Mkuu wa Kampasi) itumike kwenye ugeni wa Mtendaji mkuu na msafara wake, walipotembelea kampasi hiyo. Mhasibu amezuiwa kufanya kazi zake, kwa kumtoa kwenye mfumo wa MUSE, na kupewa adhabu ya kufika ofisini kila siku asubuhi na kujiandikisha kwenye daftari la mahudhurio tu. Baada ya hapo anaondoka kwenda nyumbani kwake mpaka siku inayofuata. Naomba wanaohusika wamsaidie huyu kijana maana amesababishiwa msongo mkubwa wa mawazo ambao unaweza kupelekea kudhoofu sana hatimae kupelekea kifo kama ilivyotokea kwa Mtumishi wa Mbeya mwezi huu kifo ambacho bila huo unyanyasaji wa mtendaji mkuu kifo hicho kisingetokea (Marehemu aliandika maoni yake juu ya mtendaji mkuu wakati wa kukabidhi ofisi kwenye Kampasi ya Tanga baada ya kutenguliwa na kuhamishiwa Kampasi ya Mbeya ambako baada tu ya kuripori alidhoofu sana na kuugua)

Wakuu wa Kampasi za Mbeya, Mtwara na Tanga wao hawana wanaloliweza kwenye masuala ya utawala, kwanza ni watumishi waliohamia chuoni kutokea kwenye shule za Sekondari. lolote analolisema mtendaji mkuu kwao ni sawa tu, Hawawezi hata kujaribu kushauri.

Mtendaji mkuu amekuwa akizuia watumishi wanaopata ufadhili wa kwenda masomoni hata kama ofisi haichangii hata mia, ana lengo la kupungua idadi ya wasomi wa ngazi kama yake ( PhD) akihofia kuiwania nafasi aliyo nayo. Mwaka jana kuna mtumishi alipata ufadhili India akaandika barua ya kuomba ruhusa lakini mtendaji mkuu alimkatalia. Baada ya hapo huyo mtumishi alikwenda kwa waziri kupeleka malalamiko yake ndipo Utumishi ikamwamuru mtendaji mkuu amruhusu kisha aiandikie (Utumishi idadi ya watumishi anaotaka ili wajaze ile nafasi iliyoachwa wazi) Kwa hiyo taarifa za mkandamizaji huyu utumishi wanazo muda mrefu tu.

Katika vikao vya mtendaji mkuu na watumishi kwenye kampasi zake, amekuwa akitumia lugha za matusi na uzalilisha sana hasa kwa watumishi wa kike. Mfano: kwenye kikao Singida, alihoji sababu za watumishi kuwa na ujauzito akidai wana zaa zaa ovyo kama mkuu wao wa Kampasi ambaye ana ana wake zaidi ya mmoja. Hayo ni mambo ya ndani sana ya mtumishi ambayo hayafai huhojiwa na mtu mwingine.

Wakati yote hayo yanafanyika, hakuna hata wawakilishi wa TUGHE ambao wamejaribu kupaza sauti zao kwa kuhofia kuhamishwa na mtendaji mkuu.
 
Kwakweli chuo kiko katika kipindi kigumu sana, uongozi wake wa juu unanyanyasa sana watumishi kwenye maslahi yao. Mtendaji mkuu amewateua wakuu wa Kampasi ambao wanamsikiliza yeye kwa chochote anachoamua. Mfano: Mkuu wa kampasi ya Singida ana uelewa wa kutosha hivyo hakubaliani na mtendaji mkuu, hali iliyopelekea kutaka kumtoa kwenye hiyo nafasi.

Baada ya kupata taarifa kuhusu kutolewa kwake( mkuu wa Kampasi ya Singida) kwenye hiyo nafasi bila sababu za msingi, alipeleka malalamiko yake Utumishi. Ikaamliwa mtendaji mkuu asitishe mabadiliko hayo mpaka Utumishi itakapo jiridhisha juu ya suala hilo (kwa hiyo Utumishi wanamjua vema mtendaji mkuu)

Mkuu wa Kampasi ya Dar Es salaam naye hakubaliani kabisa na mambo ya mtendaji mkuu hali iliyopelekea kuchukiwa sana na bosi wake. Mtendaji mkuu amekuwa akitishia kumtoa kwenye hiyo nafasi lakini anashindwa kwa kuwa hakuna sababu za msingi za kufanya hivyo.

Mkuu wa kampasi ya Tabora naye hufuata maelekezo yote yatolewayo na mtendaji mkuu hata kama yanawakandamiza watumishi wake. Hawezi kuwatetea watumishi hata siku moja, huchelewesha malipo ya watumishi ili pesa iweze kutumika kusafirisha kwaya ya mtendaji mkuu iende kuwasifu wanasiasa ili aonekane ni mtu wa maana. Mkuu huyu wa Kampasi kwa sasa ameamua kunyanyasa wazi wazi mhasibu wake kwa kumsingizia kutoa hela kiasi cha 15,000,000 kwenye akaunti ya kampasi ili hali pesa hiyo aliipitisha mwenyewe (Mkuu wa Kampasi) itumike kwenye ugeni wa Mtendaji mkuu na msafara wake, walipotembelea kampasi hiyo. Mhasibu amezuiwa kufanya kazi zake, kwa kumtoa kwenye mfumo wa MUSE, na kupewa adhabu ya kufika ofisini kila siku asubuhi na kujiandikisha kwenye daftari la mahudhurio tu. Baada ya hapo anaondoka kwenda nyumbani kwake mpaka siku inayofuata. Naomba wanaohusika wamsaidie huyu kijana maana amesababishiwa msongo mkubwa wa mawazo ambao unaweza kupelekea kudhoofu sana hatimae kupelekea kifo kama ilivyotokea kwa Mtumishi wa Mbeya mwezi huu kifo ambacho bila huo unyanyasaji wa mtendaji mkuu kifo hicho kisingetokea (Marehemu aliandika maoni yake juu ya mtendaji mkuu wakati wa kukabidhi ofisi kwenye Kampasi ya Tanga baada ya kutenguliwa na kuhamishiwa Kampasi ya Mbeya ambako baada tu ya kuripori alidhoofu sana na kuugua)

Wakuu wa Kampasi za Mbeya, Mtwara na Tanga wao hawana wanaloliweza kwenye masuala ya utawala, kwanza ni watumishi waliohamia chuoni kutokea kwenye shule za Sekondari. lolote analolisema mtendaji mkuu kwao ni sawa tu, Hawawezi hata kujaribu kushauri.

Mtendaji mkuu amekuwa akizuia watumishi wanaopata ufadhili wa kwenda masomoni hata kama ofisi haichangii hata mia, ana lengo la kupungua idadi ya wasomi wa ngazi kama yake ( PhD) akihofia kuiwania nafasi aliyo nayo. Mwaka jana kuna mtumishi alipata ufadhili India akaandika barua ya kuomba ruhusa lakini mtendaji mkuu alimkatalia. Baada ya hapo huyo mtumishi alikwenda kwa waziri kupeleka malalamiko yake ndipo Utumishi ikamwamuru mtendaji mkuu amruhusu kisha aiandikie (Utumishi idadi ya watumishi anaotaka ili wajaze ile nafasi iliyoachwa wazi) Kwa hiyo taarifa za mkandamizaji huyu utumishi wanazo muda mrefu tu.

Katika vikao vya mtendaji mkuu na watumishi kwenye kampasi zake, amekuwa akitumia lugha za matusi na uzalilisha sana hasa kwa watumishi wa kike. Mfano: kwenye kikao Singida, alihoji sababu za watumishi kuwa na ujauzito akidai wana zaa zaa ovyo kama mkuu wao wa Kampasi ambaye ana ana wake zaidi ya mmoja. Hayo ni mambo ya ndani sana ya mtumishi ambayo hayafai huhojiwa na mtu mwingine.

Wakati yote hayo yanafanyika, hakuna hata wawakilishi wa TUGHE ambao wamejaribu kupaza sauti zao kwa kuhofia kuhamishwa na mtendaji mkuu.
Nahisii hii taarifa imeandikwa kwa hisia negative tu,why usiangalie na positive zake mleta mada,una uhakika anajenga ghorofa Kigamboni?na hata kama akijenga Ghorofa kwa nafasi yake mbona ni jambo la kawaida tu
 
Mheshimiwa waziri Mhagama , kwanza nikupongeze kwa jitihada zako za kuujenga na kuuendeleza utumishi wa umma Tanzania. Natambua wewe ni mwanamama shupavu ndio maana Rais wetu ameendelea kukuamini.

Nikiwa kama mdau mkubwa wa utumishi wa umma naomba kuelekeza kwako kilio change cha kukuomba uingile Katina kukiokoa chuo cha utumishi wa umma taasisi ambayo ni kiungo muhimu katika kendeleza na kuboresha utumishi waumma Tanzania. Mh. Waziri ikumbukwe kuwa, chuo hiki ni wakala wa serikali kilichoanzishwa mwaka 2000. Uanzishwaji wake ulilenga kusaidia maboresho katika utumishi wa umma yaani Public Service Reform Program. Lengo Mahsusi lilikuwa ni kujengea uwezo utumishi wa umma ili uwe wenye matokeo katika kutoa huduma bora kwa umma.

Mh. Waziri labda kwa kuweka kumbukumbu sawa majukumu ya chuo cha utumishi wa umma Tanzania yameainishwa katika notisi ya serikali Na. 473 iliyochapishwa tarehe 15 Desemba,2000. Majukumu hayo ni kama ifuatavyo.
  • Kuendeleza ujuzi, maarifa nauelewa wawatumishi waumma katika maeneo ya menejimenti, utawala, uongozi, na uendeshaji wa ofisi
  • Kutoa shauri za kitaalamu katika maeneo ya menejimenti,utawala, uongozi na uendeshaji wa ofisi
  • Kutoa maarifa juu ya utendaji bora katika utumishi wa umma kwa kufanya tafiti
  • Kuendeleza ujuzi katika maeneoya Teknolojia ya habari na mawasiliano
  • Kusimamiana kuendesha mafunzo elekezi yaani induction program
  • Kufanya mapitio na kuendesha mitihani ya utumishi wa umma yaani public service examinations na
  • Kutunuku vyeti katika ngazi ya stashahada na cheti kwa wahitimu waliofuzu mafunzo
Mpaka sasa chuo cha utumishi wa umma kimejikita katika jukumu moja tu ambalo ni kutunuku vyeti kwa wahitimu wa mafunzo ya muda mrefu yaani stashahada na cheti huku majukumu mengine ya msingi yakisuasua.

Mathalani kwa kipindi cha zaidi ya miaka mitatu sasa chuo hakijafanya tafiti hata moja wala kutoa shauri za kitaalamu kwa utumishi wa umma. Hii hupelekea hata baadhi ya mafunzo ya muda mfupi kuripotiwa kama shauri za kitaalamu.

Mafunzo ya muda mfupi hayafanyiki inavyotakiwa kutokana na idadi ndogo sana ya waajiri kuleta watumishi wao chuo cha utumishi wa umma kutokana na chuo kukosa weledi wa utoaji wa mafunzo hayo hivyo kukimbilia kwa washindani.

Chuo kimekuwa kikikabiliwa na ukata mkubwa sana wa kifedha hii ni kutokana na kutokufanya vizuri kwa majukumu yake ya msingi ambayo ndio vyanzo vya mapato. Mathalani kwa sasa kuna idadi kubwa ya watumishi hawajalipwa madai yao mbalimbali kama vile likizo pesa ya chakula, pesa za mitihani na mafunzo ya muda mfupi, na malipo ya wazabuni. Kwa ujumlakuna madeni mengi sana hayajalipwa na chuo hakina fedha kinasubiri udahili wa wanafunzi wapya mwezi Novemba mwaka huu.

Hali katika matawi yake ni mbaya hakuna huduma yeyote itolewayo kwa sasa, baadhi ya kampasi wameshindwa hata kulipa huduma za msingi kama vile maji na internet au hata kutengeneza kitasa cha mlango kutokana na uhaba wa fedha.

Katika kutekeleza majukumu yake vizuri chuo kilianzisha Public sector journal ambayo kwa kipindi cha zaidi ya miaka mitatu sasa hakijatoa issue hata moja. Kwa maelezo haya mh. Waziri chuo kina hali mbaya na hakikidhi haja ya uanzishwaji wake hivyo jitihada za makusudi zinahitajika ili kiweze kurudi katika hali yake.

Nini sababu ya changamoto hizi?
Mh. Waziri changamoto kubwa iliyopelekea chuo kufikia hapa ni aina ya uongozi wa chuo uliokosa weledi wa kuongoza wakala hii na hapa nitatoa viashiria kadhaa vinavyoonesha ni kwa jinsi gani uongozi uliopo unakwamisha maendeleo ya chuo.
  • Mh. Waziri watumishi wa chuo wananyanyasika sana na uongozi uliopo kwa sasa. Wengi wanaishi bila kujua kesho yao hasa kutokana na kuhamishwa hamishwa kusikokuwa na tija, kutukanwa, kuzarauliwa,kubaguliwa kwa dini hasa ikizingatiwa mtendaji mkuu ni msabato hivyo watumishi wasabato wamekuwa wakipewa vipaumbele sana katika maamuzi mbalimbali hata nafasi nyingi zimeshikwa na wao. Kuhamisha hamisha watumishi kumewapelekea watumishiwengi kukumbwa na msongo wa mawazo hadi kupelekea kupoteza maisha kwa mtumishi mmoja wa kampasi ya Mbeya hivi karibuni. Licha ya kusababisha usumbufu mkubwa kwa watumishi jambo hili limekuwa likikigharimu chuo kutokana nagharama za uhamisho.
  • Kuhama kwa watumishi wengi ambao walikuwa chachu ya maendeleo ya chuo hasa katika maeneo ya tafiti na shauri za kitaalamu. Mathalani kwa kipindi cha miaka mitatu iliyopita watumishi Dr. Pilieli alihamia TIA, Dr. Enotha TIE, DR. Nguvava ITA, Dr.Hassanali TIA, DR. Lufunyo chuo cha bandari, Dr. Marijani UDOM, DR. Maiga TIA, Dr. Nchimbi MUcoBS, Dr. Mirambo, DIT na Dr Mambo OUT. Hao ni baadhi tu ya magwiji waliohama chuo lakini kuna zaidi ya watumishi 70 walihama taasisi hiyo na kuhamia taasisi mbalimbali kwa kipindi chamuda mfupi na kukiacha chuo katika wakati mgumu.
  • Watumishi wengi waliopo kwa sasa wanakosa weledi wa kutoa shauri za kitaalamu,mafunzo na tafiti hasa kutokana na sababukwamba hakuna mafunzo ya kuwajengea uwezo yanayofanyika pia mtendaji mkuu kwa zaidi ya miaka mitatu sasa amefuta ruhusa zakwenda masomoni kwa watumishi waliopo. Pia idadi kubwa ya watumishi waliopowamehamia kutoa wizara mbalimbali hasa wizara ya elimu yaaani walimu wa sekondari hivyo wanauelewa mdogo sana juu ya utumishi wa umma.
  • Matumizi mabaya ya fedha za chuo hasa kuhudumia kwaya, safari zisizo na lazima kwa viongozi hasa mtendaji mkuu. Inasemekama amejijengea ghorofa kubwa kigamboni lililosimamiwa na meneja wa Manunuzi Mr. Johanus wakati kabla ya kupata uongozo alikuwa hana hata kiwanja. Pia chuo kimekuwa kikilipia mikutano mbalimbali ya kanisa analosali mtendaji mkuu.
  • Viongozi wasaidizi kutomshauri mtendaji mkuu vizuri. Kwa lengo lakuhakikisha kwamba anawaziba midomo wasaidizi wake amekuwa akiwateua watu anaowamudu mathalani makamu mkuu wa chuo taaluma katika kipindi chote cha utumishi wake alikuwa afisa lasimali watu Mzumbe University ndio ameteuliwa kuwa makamu mkuu wa chuo taaluma.ni hatari sana mtu ambaye hana uzoefu wa taaluma kuja kusimamia taaluma.
  • Mtendaji mkuu amekuwa akitumia madaraka yake vibaya hasa kujipandisha cheo kutoka mhsdhiri kuwa mhadhiri mwandamizi kwa kuielekeza kamati ya taaluma impandishe kwa kuwa ameandika kitabu cha kumsifu Magufuli. Mbali na kitabu hicho kukosa maudhui ya utumishi umma kitabu hicho hakijawahi kusomwa na mtu yeyote zaidi ya wajumbe wa kamati ya taaluma.
  • Pia kwa muda mrefu sasa chuo hakina ushirikiano mzuri wa watendaji wa wizara hasa katibu mkuu hivyo kukosa mambo ya msingi ikizingatiwa kwamba ili chuo kifanye vizuri ni muhimu kuwa na ushirikiano mzuri na wizara.
  • nini kifanyike?
Mh. waziri chuo cha utumishi waumma kina majeraha mengi sana. Na kinahitaji uponyaji hasa katika eneo la uongozi. Hali sio nzuri ikikupendezaunda tume iwahoji watumishi wa chuo juu ya mambo mbalimbali yaliyozungumzwa humu kujua ukweli wake. Chuo hiki nimuhimu sanakatika kujenga utumishi wa umma ulio na tija na wenye kujali matokeo katika kutoa huduma kwa umma.
Kuhusu ubadhilifu wa fedha siwezi kusemea sana,ila nacho jua mtendaji mkuu unae mzunguzia ni mtu mwema sana na ana hofu ya Mungu,ni mnyenyekevu sana

Huwenda akawa na mapungufu kama binadamu,ila si vyema kuzunguzia negative tu,nahisi umeangalia upande mmoja mtoa mada
 
Kuhusu ubadhilifu wa fedha siwezi kusemea sana,ila nacho jua mtendaji mkuu unae mzunguzia ni mtu mwema sana na ana hofu ya Mungu,ni mnyenyekevu sana

Huwenda akawa na mapungufu kama binadamu,ila si vyema kuzunguzia negative tu,nahisi umeangalia upande mmoja mtoa mada
Kama huwezi kusema sana ni bora ukae kimya usije ukasababisha baba wa watu avuliwe nguo hadharani.

Huyu mtu namfahamu mpaka anahama Mtwara hajawahi kumiliki hata kiwanja ghafla akaja kuibuka na ghorofa pale Kigamboni na mbaya zaidi usimamizi wa ghorofa lile umefanywa na H PMU wake Mr.Jovinus ambaye alihama nae toka Mtwara na ni marafiki wa kufa na kuzikana je hapo huoni kama kuna uwezekano wa fedha za umma kutumika?

Anyway tuachane na mambo ya Maghorofa huyu ndugu ni tatizo amesababisha usumbufu kwa watu wengi sana na amesababisha taasisi ishindwe kutimiza majukumu yake vizuri.

Tuwaachie wenye mamlaka wataamua, wataamua either kukiacha chuo kididimie au kukiokoa. Ikumbukwe kwamba Chuo cha Utumishi wa Umma ni wakala wa serikali. Wakala hizi zinaundwa na sheria namba 30 ya mwaka 1997 (Executive agency Act) Sheria hii zimetoa mamlaka kwa wakala kujiendesha kibiashara hivyo ni tofauti na taasisi zingine za serikali ndio maana mkuu wa chuo anaitwa CEO hii inamaana kwamba anahitajika mtu mwenye uwezo mkubwa kuunganisha watu na kuleta matokeo.

Hata upatikanaji wa CEO unatakiwa uwe wa ushindani watu wafanyiwe interview atakayeshinda anapewa performance contract anafanya kazi na akishindwa anaondolewa sio nafasi ya uteuzi kama alivyoteuliwa huyu ndugu.

Ikitokea wizara inaachana na huyu ndugu lisifanyike kosa lingine la kumpata kiongozi wa taasisi hii kwa kuungaunga kama ilivyotokea kwa huyu bwana.

Nafasi ishindaniwe mwenye uwezo apate naamini kama wakati anapata huyu bwana ingekuwa wameshindanishwa asingeweza kupatikana yeye.
 
Kama huwezi kusema sana ni bora ukae kimya usije ukasababisha baba wa watu avuliwe nguo hadharani.

Huyu mtu namfahamu mpaka anahama Mtwara hajawahi kumiliki hata kiwanja ghafla akaja kuibuka na ghorofa pale Kigamboni na mbaya zaidi usimamizi wa ghorofa lile umefanywa na H PMU wake Mr.Jovinus ambaye alihama nae toka Mtwara na ni marafiki wa kufa na kuzikana je hapo huoni kama kuna uwezekano wa fedha za umma kutumika?

Anyway tuachane na mambo ya Maghorofa huyu ndugu ni tatizo amesababisha usumbufu kwa watu wengi sana na amesababisha taasisi ishindwe kutimiza majukumu yake vizuri.

Tuwaachie wenye mamlaka wataamua, wataamua either kukiacha chuo kididimie au kukiokoa. Ikumbukwe kwamba Chuo cha Utumishi wa Umma ni wakala wa serikali. Wakala hizi zinaundwa na sheria namba 30 ya mwaka 1997 (Executive agency Act) Sheria hii zimetoa mamlaka kwa wakala kujiendesha kibiashara hivyo ni tofauti na taasisi zingine za serikali ndio maana mkuu wa chuo anaitwa CEO hii inamaana kwamba anahitajika mtu mwenye uwezo mkubwa kuunganisha watu na kuleta matokeo.

Hata upatikanaji wa CEO unatakiwa uwe wa ushindani watu wafanyiwe interview atakayeshinda anapewa performance contract anafanya kazi na akishindwa anaondolewa sio nafasi ya uteuzi kama alivyoteuliwa huyu ndugu.

Ikitokea wizara inaachana na huyu ndugu lisifanyike kosa lingine la kumpata kiongozi wa taasisi hii kwa kuungaunga kama ilivyotokea kwa huyu bwana.

Nafasi ishindaniwe mwenye uwezo apate naamini kama wakati anapata huyu bwana ingekuwa wameshindanishwa asingeweza kupatikana yeye.
Hii ni epsode ya ngapi, wagombea vyeo mna kazi sana....
 
Kama huwezi kusema sana ni bora ukae kimya usije ukasababisha baba wa watu avuliwe nguo hadharani.

Huyu mtu namfahamu mpaka anahama Mtwara hajawahi kumiliki hata kiwanja ghafla akaja kuibuka na ghorofa pale Kigamboni na mbaya zaidi usimamizi wa ghorofa lile umefanywa na H PMU wake Mr.Jovinus ambaye alihama nae toka Mtwara na ni marafiki wa kufa na kuzikana je hapo huoni kama kuna uwezekano wa fedha za umma kutumika?

Anyway tuachane na mambo ya Maghorofa huyu ndugu ni tatizo amesababisha usumbufu kwa watu wengi sana na amesababisha taasisi ishindwe kutimiza majukumu yake vizuri.

Tuwaachie wenye mamlaka wataamua, wataamua either kukiacha chuo kididimie au kukiokoa. Ikumbukwe kwamba Chuo cha Utumishi wa Umma ni wakala wa serikali. Wakala hizi zinaundwa na sheria namba 30 ya mwaka 1997 (Executive agency Act) Sheria hii zimetoa mamlaka kwa wakala kujiendesha kibiashara hivyo ni tofauti na taasisi zingine za serikali ndio maana mkuu wa chuo anaitwa CEO hii inamaana kwamba anahitajika mtu mwenye uwezo mkubwa kuunganisha watu na kuleta matokeo.

Hata upatikanaji wa CEO unatakiwa uwe wa ushindani watu wafanyiwe interview atakayeshinda anapewa performance contract anafanya kazi na akishindwa anaondolewa sio nafasi ya uteuzi kama alivyoteuliwa huyu ndugu.

Ikitokea wizara inaachana na huyu ndugu lisifanyike kosa lingine la kumpata kiongozi wa taasisi hii kwa kuungaunga kama ilivyotokea kwa huyu bwana.

Nafasi ishindaniwe mwenye uwezo apate naamini kama wakati anapata huyu bwana ingekuwa wameshindanishwa asingeweza kupatikana yeye.
Mkuu sometimes ukawa sahihi au si sahihi, huyu unaemzungunzia Mimi namfaha huwenda zaidi yako, toka akiwa Mtwara,akaja Magogoni then akawa CEO

Swali langu kwako,shinda ni madudu anayo fanya au kumiliki mali?Toka atoke Mtwara ni zaidi ya miaka minne je kwa nafasi yake atashindwa kujenga ?kwani Ghorofa ni kitu cha kushangaza kama mtu wa kawaida wa mshara wa 3m anaweza kumiliki Ghorofa huyu CEO anashindwa nini?
 
Kama huwezi kusema sana ni bora ukae kimya usije ukasababisha baba wa watu avuliwe nguo hadharani.

Huyu mtu namfahamu mpaka anahama Mtwara hajawahi kumiliki hata kiwanja ghafla akaja kuibuka na ghorofa pale Kigamboni na mbaya zaidi usimamizi wa ghorofa lile umefanywa na H PMU wake Mr.Jovinus ambaye alihama nae toka Mtwara na ni marafiki wa kufa na kuzikana je hapo huoni kama kuna uwezekano wa fedha za umma kutumika?

Anyway tuachane na mambo ya Maghorofa huyu ndugu ni tatizo amesababisha usumbufu kwa watu wengi sana na amesababisha taasisi ishindwe kutimiza majukumu yake vizuri.

Tuwaachie wenye mamlaka wataamua, wataamua either kukiacha chuo kididimie au kukiokoa. Ikumbukwe kwamba Chuo cha Utumishi wa Umma ni wakala wa serikali. Wakala hizi zinaundwa na sheria namba 30 ya mwaka 1997 (Executive agency Act) Sheria hii zimetoa mamlaka kwa wakala kujiendesha kibiashara hivyo ni tofauti na taasisi zingine za serikali ndio maana mkuu wa chuo anaitwa CEO hii inamaana kwamba anahitajika mtu mwenye uwezo mkubwa kuunganisha watu na kuleta matokeo.

Hata upatikanaji wa CEO unatakiwa uwe wa ushindani watu wafanyiwe interview atakayeshinda anapewa performance contract anafanya kazi na akishindwa anaondolewa sio nafasi ya uteuzi kama alivyoteuliwa huyu ndugu.

Ikitokea wizara inaachana na huyu ndugu lisifanyike kosa lingine la kumpata kiongozi wa taasisi hii kwa kuungaunga kama ilivyotokea kwa huyu bwana.

Nafasi ishindaniwe mwenye uwezo apate naamini kama wakati anapata huyu bwana ingekuwa wameshindanishwa asingeweza kupatikana yeye.
Unapo zungumzia mali unaishia kusema nyumba moja,hebu hizo mali anazo miliki mbona huzitajia tofauti na hicho kijumba kimoja?mshara wake unaujua?je hana mkopo kuweza support project zake nje ya kazi?
 
Nimeshangazwa sana na hoja zisivokuwa na maana kama hizo za kumsema mtendaji mkuu wa chuo hicho cha utumishi wa umma (èti ni mkandamizaji) mimi kama mdau wa zamani ninayoyajua fika ni haya.......https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/2026544/
 
Back
Top Bottom