peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Ninapata shida kidogo kuhusu kauli ya Prof Mkenda.
Wanaofaulu somo la Hisabati wanaajiriwa wapi?
Somo la hisabati linawasaidia nini wansfaulu kama wanashindwa kujiajiri na kuajiriwa?
Prof Mkenda, kwa ufahamu wako mkubwa tambua kuwa walimu wanao fundisha somo la Hisabati Form four walifeli Hisabsti na ndio walimu walio ajiri na wizara yako.
Ushauri wa bure, fanya utafiti wa walimu wanao fundisha hisabati wao walifaulu hilo somo?
Wanaofaulu somo la Hisabati wanaajiriwa wapi?
Somo la hisabati linawasaidia nini wansfaulu kama wanashindwa kujiajiri na kuajiriwa?
Prof Mkenda, kwa ufahamu wako mkubwa tambua kuwa walimu wanao fundisha somo la Hisabati Form four walifeli Hisabsti na ndio walimu walio ajiri na wizara yako.
Ushauri wa bure, fanya utafiti wa walimu wanao fundisha hisabati wao walifaulu hilo somo?