pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
dah eti Phd imesimama...😀😀😀😀 tuambie ubunifu wake alowahi kuufanya mkuu,,,Huyu sio Ndalichako Mkuu. Ni mchaga na ni mbunifu. PhD yake imesimama sio Phd ya akina Doto Biteko
Ukijibiwa uni tag mkuudah eti Phd imesimama...😀😀😀😀 tuambie ubunifu wake alowahi kuufanya mkuu,,,
Maprofesa wetu kazi kweli kweli. Wamesikia chuo gani kinatengeneza vipuri? Badala ya watu kufanya tafiti ambazo zitawasaidia watu kuanzisha viwanda vya kutengeneza vitu vya maana anataka vyuo vigeuke viwanda vya kutengeza vitu ambavyo tayari vina patent. Na anatoa maelekezo bila feasibility study! Na Profesa mwenzake anapokea maelekezo!Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda ameitaka Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) kujitanua zaidi kwa kutengeneza vipuri vya vyombo vya moto ikiwemo vya bajaji na pikipiki.
Ameyasema hayo Januari 28, 2022 Jijini Dar es Salaam wakati alipotembelea Taasisi hiyo ili kujionea shughuli mbalimbali zinazofanywa hapo ambapo amesema tunaweza kukua kiteknolojia kwa kuboresha vitu ambavyo tayari vimeshatengenezwa na nchi nyingine.
"Nimefurahi sana kuona mna kampuni inayosaidia kubiasharisha bidhaa za ubunifu ila niwatake mboreshe kwa kutengeneza vipuri ambavyo vinahitajika sana kama vya bajaji na pikipiki," amesema Prof. Mkenda.
Aidha Waziri Mkenda ameipongeza taasisi hiyo kwa kuwa na kampuni inayosaidia kubiasharisha bunifu mbalimbali na kuwataka DIT kuhamisha ujuzi wa kiteknolojia kutoka nchi nyingine na kuja kuutumia hapa nchini katika uzalishaji wa bidhaa zitakazokidhi mahitaji ya jamii.
"Tunaweza tukaleta nchini kitu ambacho kimezalishwa mfano nchi ya Uturuki kisha tukaangalia uwezekano wa kukitengeneza na kukiuza ndani na nje ya nchi ili kukuza uchumi wetu," amesema Prof. Mkenda.
Katika hatua nyingine Waziri Mkenda ameusisitiza uongozi wa DIT kuendelea kujenga na kukuza ushirikiano na taasisi nyingine hasa za nje ya nchi ili kubadilishana wataalamu watakaosaidia kuendelea kukuza teknolojia nchini.
Kwa upande wake Mkuu wa Taasisi hiyo, Prof. Preksedis Ndomba amesema wamepokea maelekezo hayo na kuahidi kuyafanyia kazi ili kuboresha utendaji wa taasisi hiyo.
View attachment 2099078View attachment 2099079
Si ndio huo wa kutengeneza spea za bajaji? 🤣🤣🤣🤣dah eti Phd imesimama...😀😀😀😀 tuambie ubunifu wake alowahi kuufanya mkuu,,,
Why?HALITAWEZEKANA.
Kiufupi ameongea siasa, ila safari ni ndefu na siku wakiwa na dhamira ya dhati watenge pesa ya kutosha pengine itawezekana. Ukitembelea vyuo vyetu vya sayansi na teknologia utaamini bado safari ni ndefu, wanatengeneza vibuyu chirizi, mashine za kukoboa karanga n.k, na bado quality yake ni ngumu kushindana sokoniKila lisemwalo na Mwanadau laweza kuwa la kweli au uongo.
Mkuu hapa siongelei ndarichako au kutoweza kwa huyo unayempa kuwa na Phd, ni wangapi mlikuwa mnawasema humu kuwa na uwezo baadaye kilichotokea au kinachotokea mbona mnaanza kuponda huku mnajifucha?.
Mfumo wetu siyo huo wa msomi wa Phd ndiye atafanya mapinduzi kwa sababu ni mchaga au kasoma sijui urusi au Mangapwani NO, kama na wewe ni mchaga na unampigia debe huyo mjombako umechemsha sana, Afrika we`re different from yo` brain thinker, na bahati mbaya hata pale DIT hujawahi kufika au kutembelea baadhi ya vyuo vya ufundi na sayansi uende kukaa au hata kuangalia nini wanachofanya.
👇Why?
Pamoja na hilo Muhitimu nimekuwa napata nafasi kupita katika vyuo kadhaa hapa nchini kikiwepo hicho DIT mfano, pale kuna vijana wanabuni vitu vizuri sana na ambavyo kwa hapa nchini is to hard to make it possible sababu bado tupo nyuma kama mdau alivyosema hapo juu.Kiufupi ameongea siasa, ila safari ni ndefu na siku wakiwa na dhamira ya dhati watenge pesa ya kutosha pengine itawezekana. Ukitembelea vyuo vyetu vya sayansi na teknologia utaamini bado safari ni ndefu, wanatengeneza vibuyu chirizi, mashine za kukoboa karanga n.k, na bado quality yake ni ngumu kushindana sokoni
sababu jiulize... very funny kwa kweli! Tunashindwa ku-reverse engineer hata kibajaji tukatoka na version yetu! I don't believe; ni utashi tu unakosekana.Inawezekana hata tukaunda za kwetu wenyewe...
Unafanya kuagiza tu engine, gearbox na spares nyinginezo...
Hata haya magari tunayoendesha huundwa na vifaa toka sehemu tofauti...
Hapa haujaleta zile katuni zako [emoji16]Huyu sio Ndalichako Mkuu. Ni mchaga na ni mbunifu. PhD yake imesimama sio Phd ya akina Doto Biteko
Sio kazi ya vyuo kutengeneza vifaa vya kushindana kwenye masoko. Kazi hiyo ni ya wenye viwanda na wakina Sido. Umewahi kusikia M.I.T wanatengeneza vifaa vya kuuza kwenye masoko? Wao wanafanya utafiti na kufundisha watu ambao wakiajiriwa Apple na Tesla wanatumia walichojifunza MIT kuboresha bidhaa zao au kutengeneza mpya. Chuo sio kiwanda.Kiufupi ameongea siasa, ila safari ni ndefu na siku wakiwa na dhamira ya dhati watenge pesa ya kutosha pengine itawezekana. Ukitembelea vyuo vyetu vya sayansi na teknologia utaamini bado safari ni ndefu, wanatengeneza vibuyu chirizi, mashine za kukoboa karanga n.k, na bado quality yake ni ngumu kushindana sokoni
Mkuu inatakiwa kwanza utashi,kuna chuo kimmoja cha umma nchini kilinunua CNC machine yaani Computer Numerical Controlled machine ambayo lathe au milling machines zaweza kuchonga vipuri kutumia program za computer .Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda ameitaka Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) kujitanua zaidi kwa kutengeneza vipuri vya vyombo vya moto ikiwemo vya bajaji na pikipiki.
Ameyasema hayo Januari 28, 2022 Jijini Dar es Salaam wakati alipotembelea Taasisi hiyo ili kujionea shughuli mbalimbali zinazofanywa hapo ambapo amesema tunaweza kukua kiteknolojia kwa kuboresha vitu ambavyo tayari vimeshatengenezwa na nchi nyingine.
"Nimefurahi sana kuona mna kampuni inayosaidia kubiasharisha bidhaa za ubunifu ila niwatake mboreshe kwa kutengeneza vipuri ambavyo vinahitajika sana kama vya bajaji na pikipiki," amesema Prof. Mkenda.
Aidha Waziri Mkenda ameipongeza taasisi hiyo kwa kuwa na kampuni inayosaidia kubiasharisha bunifu mbalimbali na kuwataka DIT kuhamisha ujuzi wa kiteknolojia kutoka nchi nyingine na kuja kuutumia hapa nchini katika uzalishaji wa bidhaa zitakazokidhi mahitaji ya jamii.
"Tunaweza tukaleta nchini kitu ambacho kimezalishwa mfano nchi ya Uturuki kisha tukaangalia uwezekano wa kukitengeneza na kukiuza ndani na nje ya nchi ili kukuza uchumi wetu," amesema Prof. Mkenda.
Katika hatua nyingine Waziri Mkenda ameusisitiza uongozi wa DIT kuendelea kujenga na kukuza ushirikiano na taasisi nyingine hasa za nje ya nchi ili kubadilishana wataalamu watakaosaidia kuendelea kukuza teknolojia nchini.
Kwa upande wake Mkuu wa Taasisi hiyo, Prof. Preksedis Ndomba amesema wamepokea maelekezo hayo na kuahidi kuyafanyia kazi ili kuboresha utendaji wa taasisi hiyo.
View attachment 2099078View attachment 2099079
Wewe ndio mbongo halisi sasa, maana wabongo halisi ndio wenye mawazo Kama yako , wengine photocopyHALITAWEZEKANA.