Waziri Mkulo na Hekaya Za Abunuasi - Alisema Tanzania Haitaathirika na Mtikisiko

Waziri Mkulo na Hekaya Za Abunuasi - Alisema Tanzania Haitaathirika na Mtikisiko

Hivi ni nani alimteua kwa nafsi hiyo na kwa criteria zipi?????

Huenda wako sawa tunawalaumuu tuuuu (ukada, mwenzetu)
 
Uteuzi unaofanywa na KJ unafuata uwana-mtandao, na sio merits za mteuliwa. Hii ndiyo hatari inakotokea. matokeo yake ni kujaza wezi tu na incompetence katika ofisi nyeti za chi yetu
 
nafhani Mheshimiwa yeye anafata watu ambao anaamini wameenda shule kutokana na vyeti vyao walivyo navyo huku akisahau elimu ya kibongobongo madesa kwa sana na kukariri ndio wenyewe lakini kuelewa na kureason akuuuuuu haituhusu kwani shida nini bwana si kufaulu tu kuwa na degree,masters ....... PhD
 
Mimi na washangaa sana hawa viongozi wa hili taifa, hawaoni hata aibu na wabadilike? iweje mtu usemwe kiasi hiki kuanzia huyo monitor wao uendelee kuona mambo ni kawaida tu. hata mtoto ukiona unamueleza kitu kila siku na hakusikilizi kaa ukijua ameshakudharau na hata useme nini hana habari.

Mimi nadhani hawa viongozi wametudharau sana sisi watanzania na nina uhakika wanaambizana waache waseme wakichoka watanyamaza.
 
Mimi na washangaa sana hawa viongozi wa hili taifa, hawaoni hata aibu na wabadilike? iweje mtu usemwe kiasi hiki kuanzia huyo monitor wao uendelee kuona mambo ni kawaida tu. hata mtoto ukiona unamueleza kitu kila siku na hakusikilizi kaa ukijua ameshakudharau na hata useme nini hana habari.

Mimi nadhani hawa viongozi wametudharau sana sisi watanzania na nina uhakika wanaambizana waache waseme wakichoka watanyamaza.
yeaah wanajua mtasema mkichoka mtanyamaza na baada ya miaka mitano mtawachagua tena si ndio? kwani watanzania wakikataaa kumchagua ubunge uwaziri ataupata wapi?
 
Back
Top Bottom