Waziri Mkuu amemtaka Shehe Majini kutokata tamaa

Waziri Mkuu amemtaka Shehe Majini kutokata tamaa

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Waziri Mkuu amemtaka Shehe Majini kutokata tamaa kwani kura za maoni ni mchakato tu lakini maamuzi " yenyewe" yanafanyika huko juu.

Mh Majaliwa amesema subra ni jambo muhimu na Shehe Majini aliyegombea ubunge jimbo la Handeni kwa tiketi ya CCM anapaswa kuwa na subra.

Chanzo: TBC

My take; Hata Steve Nyerere wa Iringa mjini awe na subra

Maendeleo hayana vyama!
 
Waziri mkuu amemtaka shehe majini kutokata tamaa kwani kura za maoni ni mchakato tu lakini maamuzi " yenyewe" yanafanyika huko juu.

Mh Majaliwa amesema subra ni jambo muhimu na shehe majini aliyegombea ubunge jimbo la Handeni kwa tiketi ya CCM anapaswa kuwa na subra.

Source TBC

My take; Hata Steve Nyerere wa Iringa mjini awe na subra

Maendeleo hayana vyama!
[emoji15][emoji15][emoji51][emoji51] Sita!!!! Hapana!!!
 
Waziri mkuu amemtaka shehe majini kutokata tamaa kwani kura za maoni ni mchakato tu lakini maamuzi " yenyewe" yanafanyika huko juu.

Mh Majaliwa amesema subra ni jambo muhimu na shehe majini aliyegombea ubunge jimbo la Handeni kwa tiketi ya CCM anapaswa kuwa na subra.

Source TBC

My take; Hata Steve Nyerere wa Iringa mjini awe na subra

Maendeleo hayana vyama!
Steven?
Bwashee acha kunywa wanzukiii
 
Waziri mkuu amemtaka shehe majini kutokata tamaa kwani kura za maoni ni mchakato tu lakini maamuzi " yenyewe" yanafanyika huko juu.

Mh Majaliwa amesema subra ni jambo muhimu na shehe majini aliyegombea ubunge jimbo la Handeni kwa tiketi ya CCM anapaswa kuwa na subra.

Source TBC

My take; Hata Steve Nyerere wa Iringa mjini awe na subra

Maendeleo hayana vyama!

Kada, hata Steve unampa publicity kweli? Mtu mwenyewe hata hajitambui, mnashusha sana hadhi ya ubunge mkiwataja watu kama Steve..
 
So unatoa rushwa kwa wajumbe wanakupigia kura unaonekana umeshinda halafu maamuzi ya juu yanakupindua.

Anyway, Mwijakua asikate tamaa huko lupango anaweza akapita yeye.
 
Shekhe majini atapitishwa ili akawe anawagangua akina Majaliwa
 
Kada, hata Steve unampa publicity kweli? Mtu mwenyewe hata hajitambui, mnashusha sana hadhi ya ubunge mkiwataja watu kama Steve..
Wabunge ndo wamechangia kushusha hadhi ya Ubunge! Wameshindwa kabisa kabisa kutekeleza majukumu yao na kugeuka kuwa Wapiga Makofi! Kazi ambayo nafikir Steve Nyerere anaiweza vizuri sana!
 
Waliotoa Rushwa kwenye mchakato waangaliwe kwa maswali ya uadilifu.
 
Back
Top Bottom