Waziri Mkuu amemtaka Shehe Majini kutokata tamaa

Waziri Mkuu amemtaka Shehe Majini kutokata tamaa

Waziri Mkuu amemtaka Shehe Majini kutokata tamaa kwani kura za maoni ni mchakato tu lakini maamuzi " yenyewe" yanafanyika huko juu.

Mh Majaliwa amesema subra ni jambo muhimu na Shehe Majini aliyegombea ubunge jimbo la Handeni kwa tiketi ya CCM anapaswa kuwa na subra.

Chanzo: TBC

My take; Hata Steve Nyerere wa Iringa mjini awe na subra

Maendeleo hayana vyama!
Maumivu ya kichwa huanza poole pole. Ndugulile soooma hiyoooo.

Naona maandalizi ya kumfaulisha DAB yanafanyika kwa kasi sana kupitia mgongo wa Sheikh Majini na Gwajima
 
Tukumbushane tarehe ya maamuzi ya Kamati kuu juu ya Nani mgombea pendekezwa
 
Hata Mwijaku avute subra. Tunampitisha na ile kesi yake ya picha za X tunafuta.
 
Kada, hata Steve unampa publicity kweli? Mtu mwenyewe hata hajitambui, mnashusha sana hadhi ya ubunge mkiwataja watu kama Steve..


Steven Nyerere ndio chaguo la Kamati Kuu wengine wote tupa kuleee
 
Waziri Mkuu amemtaka Shehe Majini kutokata tamaa kwani kura za maoni ni mchakato tu lakini maamuzi " yenyewe" yanafanyika huko juu.

Mh Majaliwa amesema subra ni jambo muhimu na Shehe Majini aliyegombea ubunge jimbo la Handeni kwa tiketi ya CCM anapaswa kuwa na subra.

Chanzo: TBC

My take; Hata Steve Nyerere wa Iringa mjini awe na subra

Maendeleo hayana vyama!
Mkuu hiyo signature yako inapingana na kauli alizotoa mkulu kule jimboni kwa Bwege
 
Kada, hata Steve unampa publicity kweli? Mtu mwenyewe hata hajitambui, mnashusha sana hadhi ya ubunge mkiwataja watu kama Steve..
Mzee mbona unakichwa kigumu kung'amua mambo? Hiyo kauli inamlenga Makondakta wa daladala, wanaoshangilia anguko lake wajiandae kusaikolojia
 
Back
Top Bottom