Maumivu ya kichwa huanza poole pole. Ndugulile soooma hiyoooo.Waziri Mkuu amemtaka Shehe Majini kutokata tamaa kwani kura za maoni ni mchakato tu lakini maamuzi " yenyewe" yanafanyika huko juu.
Mh Majaliwa amesema subra ni jambo muhimu na Shehe Majini aliyegombea ubunge jimbo la Handeni kwa tiketi ya CCM anapaswa kuwa na subra.
Chanzo: TBC
My take; Hata Steve Nyerere wa Iringa mjini awe na subra
Maendeleo hayana vyama!
Washindi wajiandae kisaikolojia!Maumivu ya kichwa huanza poole pole. Ndugulile soooma hiyoooo.
Naona maandalizi ya kumfaulisha DAB yanafanyika kwa kasi sana kupitia mgongo wa Sheikh Majini na Gwajima
Kwa mujibu wa katiba........Kada, hata Steve unampa publicity kweli? Mtu mwenyewe hata hajitambui, mnashusha sana hadhi ya ubunge mkiwataja watu kama Steve..
Maendeleo hayana chamaSiku hizi mnaifunguliq sisiemu champaign?
Kada, hata Steve unampa publicity kweli? Mtu mwenyewe hata hajitambui, mnashusha sana hadhi ya ubunge mkiwataja watu kama Steve..
Wanzuki na Konyagi!Steven?
Bwashee acha kunywa wanzukiii
Anazichanganya?Wanzuki na Konyagi!
Unauliza jibu!Anazichanganya?
Mkuu hiyo signature yako inapingana na kauli alizotoa mkulu kule jimboni kwa BwegeWaziri Mkuu amemtaka Shehe Majini kutokata tamaa kwani kura za maoni ni mchakato tu lakini maamuzi " yenyewe" yanafanyika huko juu.
Mh Majaliwa amesema subra ni jambo muhimu na Shehe Majini aliyegombea ubunge jimbo la Handeni kwa tiketi ya CCM anapaswa kuwa na subra.
Chanzo: TBC
My take; Hata Steve Nyerere wa Iringa mjini awe na subra
Maendeleo hayana vyama!
Mzee mbona unakichwa kigumu kung'amua mambo? Hiyo kauli inamlenga Makondakta wa daladala, wanaoshangilia anguko lake wajiandae kusaikolojiaKada, hata Steve unampa publicity kweli? Mtu mwenyewe hata hajitambui, mnashusha sana hadhi ya ubunge mkiwataja watu kama Steve..