Waziri Mkuu anavamia lini ATCL?

Waziri Mkuu anavamia lini ATCL?

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Mabibi na mabwana tumesikia Waziri Mkuu kuvamia UDART leo tena kazukia SGR.

Vipi kwenye madege yetu? Tupeane habari wakuu. Je, anao mpango wa kutimba chighafla ghafla hapo ATCL pia?

Bila shaka yale mabilioni alivyosema CAG yatakuwa yanamfikirisha naye pia.

Mrejesho tokea ATCL utatupa picha ya uelekeo wa dhati katika jitihada za kumletea mtanzania maendeleo ya kweri kweri.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Ila nchi ilipitia pagumu sana...
images (24).jpeg
 
Heheheh kupata kituko kama hicho tunabonyeza ngapi mkuu...
 
Back
Top Bottom