Waziri mkuu ashiriki mkutano wa ‘summit of the future’

Pfizer

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2021
Posts
590
Reaction score
807
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Septemba 22, 2024 akishiriki katika ufunguzi wa Mkutano wa ngazi ya juu wa Wakuu wa Nchi na Serikali ‘Summit of the Future’ uliofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Umoja wa Mataifa New York nchini Marekani.

Mkutano huo unawaleta pamoja viongozi wa nchi na Serikali duniani ili kujadili masuala mbalimbali ya maendeleo na namna wanaweza kuboresha hali ya sasa na kuzilinda siku zijazo.

Mheshimiwa Majaliwa yupo nchini Marekani kumwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika mkutano Mkutano wa 79 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA79)

Your browser is not able to display this video.
 
Ila jamani Kitila Mkumbo kafupi aosee.... kanaonekana kama kambale kwa mbaaali!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…